CHADEMA leo umeiga nyendo za CCM za kuengua watia nia ujumbe na nyadhifa mbalimbali ndani yako?

CHADEMA leo umeiga nyendo za CCM za kuengua watia nia ujumbe na nyadhifa mbalimbali ndani yako?

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
Rip chadema, ndivyo hivyo tunavyokuaga huku wakuu walliokuua maksudi wakipanga namna ya kujipoza mioyo yao kutokana na majeraha uliowaachia?

Chadema leo umeiga nyendo za CCM za kuengua watia nia ujumbe na nyadhifa mbalimbali ndani yako?

Chadema leo hii umewaliza watu kwa kuwakumbusha magereza mbalimbali walizopitia walizosota kwa ajili yako?

Chadema uliepelekea kuuawa kwa Ben saa 8, azory Gwanda, alphonce mawazo , deusdedith soka nk leo hii umesahau damu za hao ndugu?

Naam, ni zamu yako chadema, baada ya TLP , NCCR na CUF ni zamu yako chadema.

Leo hii tumeona rangi harisi yako chadema, kumbe hukuwa na nia njema ispokuwa ulitanguliza maslahi ya wanaokuendesha na wala si ya wananchi kama vile ulivyojinasbu ?

Watanzania sio wajinga , wameiona rangi yako halisi CHADEMA, na kabuli lako hilo limeandaliwa maalumu ya maziko yako tar 22 mara baada ya kuidhinisha matokeo yenye damu za watu.

R.I.P chadema, wasalimie marehemu NCCR, TLP na CUF ya lipumba chadema.

Waambie wenzio Tanzania ni kijani kitupu, maana wewe na marehemu wenzako wote mlikuwa wachumia tumbo kwa mgongo wa kupigania haki ya watanzania na sio hivyo.

R.I.P chadema, tulikupenda ila Mungu amekupenda zaidi
 
CDM imeshinda vita kubwa sana.

CDM haiwez kuporwa na wanaharakati uchwara kwa kisingizio chochote kile...

Nendeni CCM au anzisheni chama kipya
 
Acha uwoga, CCM wataondolewa madarakani iwe kwa sanduku la Kura au vita, mapanga na mashoka au kwa vita tatu ya Dunia.

Mwisho wa CCM ukaribu,


Kuishi ama kuishia.
 
Ukweli ni kwamba chadema ilishakufa kutokea uchaguzi na pombe
Sema FAR, aliendelea kuiungaunga mpaka leo, angejitoa ndio ingezikwa kabisa....
Hawa wanaotaka kuichukua sasa ni njaa zao za kutaka kula ruzuku kama kina CUF
 
Chadema haitakufa ila Chama dume kitakufa kifo kisichotarqjiwa cha ghafla RIP chama dume,uliendekeza ubabe na kuona hakuna kama wewe na kujiona unajua sana kuliko Mungu.(dawa ya maneno ya kichawi ni maneno hayo hayo maana maneno huumba)
 
Ndio maana vijana hampewi nyadhifa za juu ndani ya chama na serikali. Yaani unakaa unaandika ujinga mpaka watu wanajifikiria mambo mengi sana kuhusu wewe.
 
Acha uwoga, CCM wataondolewa madarakani iwe kwa sanduku la Kura au vita, mapanga na mashoka au kwa vita tatu ya Dunia.

Mwisho wa CCM ukaribu,


Kuishi ama kuishia.
Haitatokea milele yote
 
Ndio maana vijana hampewi nyadhifa za juu ndani ya chama na serikali. Yaani unakaa unaandika ujinga mpaka watu wanajifikiria mambo mengi sana kuhusu wewe.
Naam naona hata ID yako inadhihirisha uchawa ulionao ili upate teuzi, tufanye kazi mkuu hakuna cha bure
 
Siasa za kihuni hatuzitaki CDM. Asanteni sana Kamati kuu kuliona hilo.
 
Back
Top Bottom