Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
“Each time I want to fight for African rights, I use only one hand because the other hand is busy trying to keep away Africans who are fighting me.”Mi ni ccm lakini unawezaje kuwadanganya watu wenye access ya kuingia online YouTube, wenye WhatsApp n.k. Hii wadanganye wale watu vijijini wasiokua na smartphone
Misukule ni jina maalumu kwa vijana wa lumumba!Naomba hilo liheshimiwe!CCM haina misukule
unakana jina?Misukule ni jina maalumu kwa vijana wa lumumba!Naomba hilo liheshimiwe!
Kwani huu uzi wako ni hoja?Jikite kwenye hoja
Lissu kashika korodani za mwenyekiti wenyu!Hakika anatosha umakamu mwenyekiti chadema
Wewe mwenyewe Masukule au umehama CCM?CCM haina misukule
Si uweke weweHalafu hizo picha hewa wanarushiana chap chap ma group ya watsap kutiana moyo badala ya kurushiana picha halisia ili washauriane kwenye groups nini kifanyike lakini kuna sababu wanaogopa mimi pia niko group la watsap la Chadema wanajua mikakati ita leak!!
Kwani nyie TBC mlitumia nini kule Mbagala?Picha za drone zimekua adimu sana kwa Chadema au ile dolA 100 ni shida
kwani mpaka sasa nyomi zimetokea mara ngapi???Kukiwa na nyomi mnasema siyo kigezo cha ushindi, mara hawajajiandikisha! Angalia usijisahau pia, kanuni za ccm, viti maalumu wanatakiwa kuwapigia kampeni wagombea halisi! Ukijisahau kwenye umbea huko, angalia kwenu kusidode!
Kama walivyotuletea picha ya Lowasa kule Sumbawanga 2015 na kutudanganya eti ni Shinyanga 02/09/2020Ndugu zangu,
Hili la CHADEMA kumnyooshea kidole Makene si sawa. Ieleweke kuwa kuna picha na video zingine anazuia zisiende kwa umma kimkakati kwani hali ya mahudhurio huwa ni mbaya.
Akiweka kila kitu msianze kulaumu na kukata tamaaa, ndio maana baadhi ya viongozi wameteuliwa kutengeneza picha ili angalau kubakiza matumaini ya makamanda.
Tusimtupie Makene mawe asiyostahili.
Ile ya Mwanza vipi?!kwani mpaka sasa nyomi zimetokea mara ngapi???
moja mpaka sasa si ndio???Ile ya Mwanza vipi?!
Arusha?moja mpaka sasa si ndio???
Lissu kashika korodani za mwenyekiti wenyu!
Kama walivyotuletea picha ya Lowasa kule Sumbawanga 2015 na kutudanganya eti ni Shinyanga 02/09/2020
Weka picha yako basi hapa tuioneNdugu zangu,
Hili la CHADEMA kumnyooshea kidole Makene si sawa. Ieleweke kuwa kuna picha na video zingine anazuia zisiende kwa umma kimkakati kwani hali ya mahudhurio huwa ni mbaya.
Akiweka kila kitu msianze kulaumu na kukata tamaaa, ndio maana baadhi ya viongozi wameteuliwa kutengeneza picha ili angalau kubakiza matumaini ya makamanda.
Tusimtupie Makene mawe asiyostahili.