Pre GE2025 CHADEMA Mbeya: Mkituletea Mbowe Chama kinakufa

Pre GE2025 CHADEMA Mbeya: Mkituletea Mbowe Chama kinakufa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Mbeya wamewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho watakaoshiriki uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa kumchagua Tundu Lissu ili aweze kushika wadhifa huo.

Wakizugumza katika mkutano na wanahabari uliofayika mbeya mjini wanachama hao wamesema mbowe amefaya kazi kwa muda mrefu ndani ya chama hicho hivyo waaheshimu yote aliyoyafaya ila kwa sasa chama kinahitaji maadiliko, na mabadiliko hayo yataletwa na Tundu lissu.

Aidha wanachama hao wamewaagiza wajumbe wa mkutao mkuu wa chadema kutofanya makosa ili kuepuka kukipoteza chama hicho.
Soma: Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
 
Mbeya mjini mzee wa ubwabwa aliwagalagaza Chadema, akàpàta sahani moja ya ubwabwa.
 
Mbowe ameyatimba uchaguzi huu, wapambe nuksi wameingiza cha kike!!.
 
Aidha wanachama hao wamewaagiza wajumbe wa mkutao mkuu wa chadema kutofanya makosa ili kuepuka kukipoteza chama hicho.
Waambie waache vitisho. Demokrasia na vitisho havikai pamoja. Waiache demokrasia ifanye kazi yake.
 
Wafuasi na Wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoani Mbeya wamewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho watakaoshiriki uchaguzi wa kumpata mwenyekiti wa chama hicho ngazi ya Taifa kumchagua Tundu Lissu ili aweze kushika wadhifa huo.

Wakizugumza katika mkutano na wanahabari uliofayika mbeya mjini wanachama hao wamesema mbowe amefaya kazi kwa muda mrefu ndani ya chama hicho hivyo waaheshimu yote aliyoyafaya ila kwa sasa chama kinahitaji maadiliko, na mabadiliko hayo yataletwa na Tundu lissu.

Aidha wanachama hao wamewaagiza wajumbe wa mkutao mkuu wa chadema kutofanya makosa ili kuepuka kukipoteza chama hicho.
Soma: Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti
Mbowe hana chake kabisa
 
Back
Top Bottom