Uchaguzi 2020 CHADEMA mbona wameanza kampeni kabla ya muda?

eretzisrael

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2016
Posts
331
Reaction score
474
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
 
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
Unajua maana ya neno kampen ww !!?
 
Hukuona kauli ya yesu wa lugola kuhusu kuigeuza Tanzania kuwa Ulaya na tamasha la muziki Dom na Dar kiingilio BURE kumnadi yesu fake na maccm? Au kampeni zilikuwa zimeanza!? 😳😳
Acha ujinga!

mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
 
Watakuja kukutukana wasubiri maana hawajafunzwa vizur na walezi wao

Afu wanavunja sheria Sana na wanaachwa,wakiulizwa wanacompare na wengine.
 
Watakuja kukutukana wasubiri maana hawajafunzwa vizur na walezi wao

Afu wanavunja sheria Sana na wanaachwa,wakiulizwa wanacompare na wengine.
Hukuona kauli ya yesu wa lugola kuhusu kuigeuza Tanzania kuwa Ulaya na tamasha la muziki Dom na Dar kiingilio BURE kumnadi yesu fake na maccm? Au kampeni zilikuwa zimeanza!? 😳😳
Acha ujinga!
Hivi kosa la mwingine linaleta uhalali kwa wewe kufanya kosa?
 
Watakuja kukutukana wasubiri maana hawajafunzwa vizur na walezi wao

Afu wanavunja sheria Sana na wanaachwa,wakiulizwa wanacompare na wengine.
1.Kuna mgombea kahonga mama mzazi kwa jogoo.
2.Kuna mgombea kaahidi mil.100 kwa wauza mahindi.
3.Kuna mgombea kaitishiwa kongamano la wasanii kumnadi.
4.Kuna mgombea viongozi wa dini wameitana wakiongozwa na Alhad Mussa kumpigia kampeni.
5.Kuna mgombea baada ya kuteuliwa tu na chama chake kaandaliwa kinachoitwa "mapokezi" utafikiri ni mgeni wa Dar na alivyofika akatoa ahadi kibao na kutusi wapinzani wake
6.Kuna mgombea mwingine wa nchi ndogo ya Visiwa kapokelewa Zanzibar na kampeni zikapigwa.

Hao wote ni wa kijani, unawasemeaje na hao?
 
Ahsante sana Mkuu. Huu ni ushahidi tosha kabisa wa maccm na huyo yesu fake wao lakini hawa wahuni hawataki kuliona.

 
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
Sheria ichukue mkondo wake
 
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?
Naona mnatafuta pakutokea wandugu, hivi Kwa nini Ccm ni waoga kiasi hiki? Mtu ana kila rasilimali Ya nchi Ya kumwezesha kufanya kampeni, bado anaogopa mna hela zote za umma, Magari Yote ya umma, watumishi, polisi, jeshi bado kwenye Uchaguzi ukifika mnakuwa waoga kias hicho? Si mlikuwa mnatamba kuwa mko na yesu? Si mlifanya siasa pekeee yenu miaka mitano? Bado hamuamini kinachotokea?
 
Isije ikawa hata Lisu ni pandikizi la ccm kuua upinzani.
Haiwezekani kuwa hajui kama anapiga kampeni, halafu anasema anajua sheria.

Ina maana amejiandaa kuwa na kesi ambazo kwa mujibu wa katiba Tume haitawajibishwa kwa kumtoa wala kuingiliwa na chombo chochote. ANAJUA

Anajua kuwa Jpm anapotembe hatembei kama mgombea bali kama rais aliyeko madarakani kwahiyo hata kama ndani yake ana kampeni yuko kwenye mwamvuli wa urais alionao. TL ANAJUA

Je hii sio kuhujumu upinzani akienguliwa?

Je sio Mamuluki wa ccm ambaye anatudanganya chini ya kanuni zao za ujasusi za " deception and Matipulation"?
 
Akili zenu mbovu Sana,kwa hyo tuna maraisi wangapi wanawatumikia wananchi?
Hivi Raisi akifanya ziara zake na wewe unafanya?

Hizi ndo akili za Vijana wa bavicha,huenda mnatamani kipindi hili asiwepo hata rais maana mnajistukia Sana.
Nyinyi ni wavunja sheria wakubwa Sana kwa mgongo wa Sacco's yenu ya kisiasa hyo
 
mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na maendeleo Tundu Lissu amekua akizunguka mikoa kadhaa akifanya kampeni kwa kutumia mgongo wa kutafta wadhamini, JE tume ya Uchaguzi hawaoni anavyokiuka utaratibu?

Kwani kuna mgombea ameshateuliwa na NEC nilidhani NEC ilisema uteuzi ni tarehe 25/8 kama nakumbuka vizuri. Sasa hivi hakuna mgombea sasa ukisema kufanya siasa ni kufanya kampaini wakati hakuna mgombea ameteuliwa unakuwa hueleweki
 

Ni sheria namba ngapi hiyo inayokatazwa maana naona mambo ya kwenye vyama vya CCM huko ambako huwa watu wanaondolewa ugombea kwa madai ya kuanza mapema kampeni lakini sheria za nchi hazitambuwi kuanza mapema kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…