Uchaguzi 2020 CHADEMA mchukulieni hatua John Mrema, anachofanya ni unyang'anyi

Uchaguzi 2020 CHADEMA mchukulieni hatua John Mrema, anachofanya ni unyang'anyi

Countrywide

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2015
Posts
20,694
Reaction score
32,527
Nimepitia kwenye account ya twitter ya John Mrema, kwa hakika anachofanya kimenifanya nistaajabu.

Mrema ni mkurugenzi wa mawasialiano na mambo ya nje wa CHADEMA, hivyo ni mtu ambae yupo supported na chama kwa 100%. Ila hiki anachofanya kimenifanya niwaze mara mbilimbili.

Anataka nusu ya followers wake wachangie shillingi elfu mbili (2000). Hapa kwa haraka haraka nikapiga hesabu hizi:

Mrema ana followers 100k (laki moja), hivyo nusu yake ni 50k(elfu hamsini). Ukichukua 50,000×2,000 = 100,000,000
Millioni mia moja. Anachotaka yeye ni kuchangia tu bila kutueleza ni kwa namna gani au gharama ya kampeni ni kiasi gani? Maana isije kuwa watu wanatafuta pesa za mtaji kwa shughuli zao nyingine.

Pia kuna jambo linanitatiza sana, sisi wafuasi wa chama tuna pesa kiasi gani hadi tuweze kuchangia chama, kuchangia wabunge karibu na madiwani karibu wote?

Kila anayegombea ubunge anataka kuchangiwa, sasa hizo pesa tunazitoa wapi?

Tuoneeni huruma.
IMG_20200903_113615.jpg
 
huyu mtu sasa amesahau hadi kunadi sera amejikita kwenye omba omba, hivi CHADEMA hamkufanya maandalizi ya kampeni?

huyu mrema huku sio kuomba aisee inaonekana ana tamaa sana ya pesa


IMG_20200910_140153.jpg
IMG_20200910_140348.jpg
IMG_20200910_140327.jpg
IMG_20200910_140302.jpg
IMG_20200910_140229.jpg
 
Hizi hazina tofauti na Desi au Panda Mbegu au Ponzi au Pyramid schemes za miaka nenda miaka rudi mtu mjanja anatumia mitaji yenu kwa faida yake.Hakuna transparency ya michango ya watu kama inatumikaje?
Wajinga ndio waliwao.
 
Nimepitia kwenye account ya twitter ya John Mrema, kwa hakika anachofanya kimenifanya nistaajabu.

Mrema ni mkurugenzi wa mawasialiano na mambo ya nje wa CHADEMA, hivyo ni mtu ambae yupo supported na chama kwa 100%. Ila hiki anachofanya kimenifanya niwaze mara mbilimbili.

Anataka nusu ya followers wake wachangie shillingi elfu mbili (2000). Hapa kwa haraka haraka nikapiga hesabu hizi:

Mrema ana followers 100k (laki moja), hivyo nusu yake ni 50k(elfu hamsini). Ukichukua 50,000×2,000 = 100,000,000
Millioni mia moja. Anachotaka yeye ni kuchangia tu bila kutueleza ni kwa namna gani au gharama ya kampeni ni kiasi gani? Maana isije kuwa watu wanatafuta pesa za mtaji kwa shughuli zao nyingine.

Pia kuna jambo linanitatiza sana, sisi wafuasi wa chama tuna pesa kiasi gani hadi tuweze kuchangia chama, kuchangia wabunge karibu na madiwani karibu wote?

Kila anayegombea ubunge anataka kuchangiwa, sasa hizo pesa tunazitoa wapi?

Tuoneeni huruma.View attachment 1557319
Huyo anajua kwa uhakika hawezi kushinda kwa hyo anatafuta mtaji ili asije akapoteza vyote lakini atawashika wajinga tu
 
Nimepitia kwenye account ya twitter ya John Mrema, kwa hakika anachofanya kimenifanya nistaajabu.

Mrema ni mkurugenzi wa mawasialiano na mambo ya nje wa CHADEMA, hivyo ni mtu ambae yupo supported na chama kwa 100%. Ila hiki anachofanya kimenifanya niwaze mara mbilimbili.

Anataka nusu ya followers wake wachangie shillingi elfu mbili (2000). Hapa kwa haraka haraka nikapiga hesabu hizi:

Mrema ana followers 100k (laki moja), hivyo nusu yake ni 50k(elfu hamsini). Ukichukua 50,000×2,000 = 100,000,000
Millioni mia moja. Anachotaka yeye ni kuchangia tu bila kutueleza ni kwa namna gani au gharama ya kampeni ni kiasi gani? Maana isije kuwa watu wanatafuta pesa za mtaji kwa shughuli zao nyingine.

Pia kuna jambo linanitatiza sana, sisi wafuasi wa chama tuna pesa kiasi gani hadi tuweze kuchangia chama, kuchangia wabunge karibu na madiwani karibu wote?

Kila anayegombea ubunge anataka kuchangiwa, sasa hizo pesa tunazitoa wapi?

Tuoneeni huruma.View attachment 1557319
Wewe inakuhusu nini hapo,kwani ukinyamaza siku iishe utapugukiwa nini,kwani wewe mapato yako yote ni ya......
 
Nimepitia kwenye account ya twitter ya John Mrema, kwa hakika anachofanya kimenifanya nistaajabu.

Mrema ni mkurugenzi wa mawasialiano na mambo ya nje wa CHADEMA, hivyo ni mtu ambae yupo supported na chama kwa 100%. Ila hiki anachofanya kimenifanya niwaze mara mbilimbili.

Anataka nusu ya followers wake wachangie shillingi elfu mbili (2000). Hapa kwa haraka haraka nikapiga hesabu hizi:

Mrema ana followers 100k (laki moja), hivyo nusu yake ni 50k(elfu hamsini). Ukichukua 50,000×2,000 = 100,000,000
Millioni mia moja. Anachotaka yeye ni kuchangia tu bila kutueleza ni kwa namna gani au gharama ya kampeni ni kiasi gani? Maana isije kuwa watu wanatafuta pesa za mtaji kwa shughuli zao nyingine.

Pia kuna jambo linanitatiza sana, sisi wafuasi wa chama tuna pesa kiasi gani hadi tuweze kuchangia chama, kuchangia wabunge karibu na madiwani karibu wote?

Kila anayegombea ubunge anataka kuchangiwa, sasa hizo pesa tunazitoa wapi?

Tuoneeni huruma.View attachment 1557319
Yaani hawa jamaa ukiwaonyesha hela .yeye na Mbowe ni mchwa.hawa ndio wanasababisha Chadema mpaka leo hii hawana ofisi.ni kupanga tu wakati walikuwa wanachukua ruzuku ya milioni 300 kila mwezi
 
Kwa kuwa nia afisa habari wa kupost doctored picha. Mpe na link hii hapa chini achuke video humo na picha aweke kwenye twitter yake kuwa zimetokea nchi moja huko Afrika Mashariki.

WATCH: Houses burned down, neighborhoods left in ashes by devastating Oregon wildfires
===
Nawaza, hili lingekuwa limetokea kwenye nchi moja ya kusini mwa jangwa la Sahara. Sipati picha povu lingewatoka kiasi gani akina Salary slip, Mmawia na their co. Ha ha haaa!
 
Back
Top Bottom