Congressman JF-Expert Member Joined Jun 2, 2020 Posts 781 Reaction score 2,305 Sep 10, 2020 #41 Wagombea wetu wa upinzani wanatia aibu, yani posters za kutangaza sera wao wamekalia kukusanya michango. Jamani nadini sera za chama pamoja na mgombea urais.
Wagombea wetu wa upinzani wanatia aibu, yani posters za kutangaza sera wao wamekalia kukusanya michango. Jamani nadini sera za chama pamoja na mgombea urais.
M mwaimu Jt JF-Expert Member Joined May 7, 2017 Posts 878 Reaction score 429 Sep 10, 2020 #42 muafi said: huyu mtu sasa amesahau hadi kunadi sera amejikita kwenye omba omba, hivi CHADEMA hamkufanya maandalizi ya kampeni? huyu mrema huku sio kuomba aisee inaonekana ana tamaa sana ya pesa View attachment 1565159View attachment 1565155View attachment 1565156View attachment 1565157View attachment 1565158 Click to expand... Kwani ni lazima awe mbunge?
muafi said: huyu mtu sasa amesahau hadi kunadi sera amejikita kwenye omba omba, hivi CHADEMA hamkufanya maandalizi ya kampeni? huyu mrema huku sio kuomba aisee inaonekana ana tamaa sana ya pesa View attachment 1565159View attachment 1565155View attachment 1565156View attachment 1565157View attachment 1565158 Click to expand... Kwani ni lazima awe mbunge?
muafi JF-Expert Member Joined Oct 6, 2015 Posts 2,557 Reaction score 6,128 Sep 11, 2020 #43 ORCA ACE said: We mwanamke mbona unateseka?? Click to expand... mwanamke ni mama yako, mimi ni baba yako niliyetia mbegu kwa mamaako
ORCA ACE said: We mwanamke mbona unateseka?? Click to expand... mwanamke ni mama yako, mimi ni baba yako niliyetia mbegu kwa mamaako
Niwaheri JF-Expert Member Joined May 2, 2020 Posts 2,994 Reaction score 4,729 Sep 11, 2020 #44 Mpe pole hyo anayekutuma
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Sep 11, 2020 #45 muafi said: huyu mtu sasa amesahau hadi kunadi sera amejikita kwenye omba omba, hivi CHADEMA hamkufanya maandalizi ya kampeni? huyu mrema huku sio kuomba aisee inaonekana ana tamaa sana ya pesa View attachment 1565159View attachment 1565155View attachment 1565156View attachment 1565157View attachment 1565158 Click to expand... Atafaa Sana akiwa Nabii.
muafi said: huyu mtu sasa amesahau hadi kunadi sera amejikita kwenye omba omba, hivi CHADEMA hamkufanya maandalizi ya kampeni? huyu mrema huku sio kuomba aisee inaonekana ana tamaa sana ya pesa View attachment 1565159View attachment 1565155View attachment 1565156View attachment 1565157View attachment 1565158 Click to expand... Atafaa Sana akiwa Nabii.