Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Kuna tatizo kubwa lipo kwa mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo Mh.Boniface Jacob.
Siasa za upinzani sio za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, lakini anachofanya huyu kitapelekea tatizo kubwa kwa vyma hivi viwili CHADEMA na ACT.
Kwanza kabisa, kuwekewa pingamizi sio kosa bali ni utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria.
Pili, mbali na kuwa wote yeye Boni na Renatus pamba ni wapinzani, lakini wanaweza kuwa na matatizo yao wenyewe binafsi .
Boniface Jacob anakituhumu chama cha ACT kumuewekea pingamizi lakini anasahau kuwa hata kule jimbo la isimani mgombea wa CHADEMA Mh. Ole Sosopi amemuwekea pingamizi mgombea wa ACT ila hakuna sehemu ACT wamekishutumu chama cha CHADEMA.
Hivyo ni wazi ndugu Boni Jacob ana siasa ambazo hazina ustaarabu ndani yake dhidi ya wengine.
Wemgi mtakumbuka kipindi mchakato wa kura za maoni jimbo la Ubungo hali ilivyokuwa na kupelekea wanachama wengi kufukuzwa sababu tu walikuwa hawamuungi mkono huyi Boni Jacob.
Anasahau kuwa haiwezekani kila mwanachama akuunge mkono. Ndugu Boni Jacob akafanya kila namna ya kufukuzwa uanachama hawa watu. CHADEMA linisuru jimbo la Ubungo kwa kukaa chini na huyu jamaa aache siasa anazokwenda nazo.
Siasa za upinzani sio za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, lakini anachofanya huyu kitapelekea tatizo kubwa kwa vyma hivi viwili CHADEMA na ACT.
Kwanza kabisa, kuwekewa pingamizi sio kosa bali ni utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria.
Pili, mbali na kuwa wote yeye Boni na Renatus pamba ni wapinzani, lakini wanaweza kuwa na matatizo yao wenyewe binafsi .
Boniface Jacob anakituhumu chama cha ACT kumuewekea pingamizi lakini anasahau kuwa hata kule jimbo la isimani mgombea wa CHADEMA Mh. Ole Sosopi amemuwekea pingamizi mgombea wa ACT ila hakuna sehemu ACT wamekishutumu chama cha CHADEMA.
Hivyo ni wazi ndugu Boni Jacob ana siasa ambazo hazina ustaarabu ndani yake dhidi ya wengine.
Wemgi mtakumbuka kipindi mchakato wa kura za maoni jimbo la Ubungo hali ilivyokuwa na kupelekea wanachama wengi kufukuzwa sababu tu walikuwa hawamuungi mkono huyi Boni Jacob.
Anasahau kuwa haiwezekani kila mwanachama akuunge mkono. Ndugu Boni Jacob akafanya kila namna ya kufukuzwa uanachama hawa watu. CHADEMA linisuru jimbo la Ubungo kwa kukaa chini na huyu jamaa aache siasa anazokwenda nazo.