Uchaguzi 2020 CHADEMA mfungeni Speed Governor Boniface Jacob

Uchaguzi 2020 CHADEMA mfungeni Speed Governor Boniface Jacob

Tatizo chadema wamepata MJUAJI na Kimbelembele, Lisu ni MJUAJI hatari.
 
Lakini huwezi kutumia kosa kutetea kosa kama ACT wazalendo imekosea ubungo haiwezi kuwa ni sawa kwakuwa CDM imekosea Ismani. Hilo siyo jibu sahihi. Kusema watu wana ugomvi binafsi hapo pia siyo sawa hapa vyama ndivyo vimeweka wagombea wake Sasa kama chama kimoja kinamuwekea pingamizi mgombea wa chama kingine maana yake chama kinakiwekea pingamizi hicho chama kingine ndiyo maana tunasema hii siyo sawasawa.

Pia nilimsikia Membe anasema yeye alitafuta wadhamini kimya kimya kuogopa kukiuka sheria ni wazi alikuwa anamsema Tundu Lissu kumbe hata hakukuwa na hiyo sheria ya kuogopa ni vile hajuwi sheria lakini kusema hivo haikuonesha Picha nzuri kama anafahamu kwamba Tundu Lissu ni partner wake kwenye harakati za kuondoa CCM madarakani.

Hicho kitendo kinafikirisha sana kama kweli Membe ni mpinzani au amekuja kwa kazi maalum maana haiingii akilini kwanini aseme hivo na ameongea hivo mara mbili
 
Vijana CDM wame kosa mtu wa kuwa shape na kuwalea saivi, hapa ndio utaona pengo la Dr Slaa, hawa wote chini ya Dr Slaa wangekuwa wanang’aa ila saivi wote wanaonekana vichaa tu.

Achana na huyo zilipendwa wapo watu waadilifu ambao siyo wachumia tumbo kama hao madoctor bure kabisa sijawahi kuona madoctor hovyo kama wa kwenye siasa wamedhalilisha sana taaluma yao hadi watu wameona uprofesa na udoctor kwenye siasa ni Sifa ya hovyo kabisa. Mtu muadilifu anatakiwa kusimamia anachokiamini siyo kuruka ruka kutokana na njaa ya tumbo. Wako wapinzani wa kweli siyo kama huyo Dr Slaa alihamia CDM baada ya kukatwa jina CCM watu wa hivo huwa siyo wapinzani ni watu maslahi tu ndiyo maana sasa yuko CCM tena maana amekosa alichokuwa anakitafuta.
 
Vijana CDM wame kosa mtu wa kuwa shape na kuwalea saivi, hapa ndio utaona pengo la Dr Slaa, hawa wote chini ya Dr Slaa wangekuwa wanang’aa ila saivi wote wanaonekana vichaa tu.
We we ndiye kichaa, CCM inagombania vichaa? Mbona wenye chama wanakesha kushawishi vijana wa CDM kuunga juhudi na kuwapa vyeo wanawaacha nyie mataga mnakesha mitandaoni? Pumbav.
 
Kuna tatizo kubwa lipo kwa mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo Mh.Boniface Jacob.
Siasa za upinzani sio za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, lakini anachofanya huyu kitapelekea tatizo kubwa kwa vyma hivi viwili CHADEMA na ACT.

Kwanza kabisa, kuwekewa pingamizi sio kosa bali ni utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria.
Pili, mbali na kuwa wote yeye Boni na Renatus pamba ni wapinzani, lakini wanaweza kuwa na matatizo yao wenyewe binafsi .

Boniface Jacob anakituhumu chama cha ACT kumuewekea pingamizi lakini anasahau kuwa hata kule jimbo la isimani mgombea wa CHADEMA Mh. Ole Sosopi amemuwekea pingamizi mgombea wa ACT ila hakuna sehemu ACT wamekishutumu chama cha CHADEMA.

Hivyo ni wazi ndugu Boni Jacob ana siasa ambazo hazina ustaarabu ndani yake dhidi ya wengine.
Wemgi mtakumbuka kipindi mchakato wa kura za maoni jimbo la Ubungo hali ilivyokuwa na kupelekea wanachama wengi kufukuzwa sababu tu walikuwa hawamuungi mkono huyi Boni Jacob.

Anasahau kuwa haiwezekani kila mwanachama akuunge mkono. Ndugu Boni Jacob akafanya kila namna ya kufukuzwa uanachama hawa watu. CHADEMA linisuru jimbo la Ubungo kwa kukaa chini na huyu jamaa aache siasa anazokwenda nazo.
Acha lizame
 
Boni aka mayuku
Kuna tatizo kubwa lipo kwa mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo Mh.Boniface Jacob.
Siasa za upinzani sio za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, lakini anachofanya huyu kitapelekea tatizo kubwa kwa vyma hivi viwili CHADEMA na ACT.

Kwanza kabisa, kuwekewa pingamizi sio kosa bali ni utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria.
Pili, mbali na kuwa wote yeye Boni na Renatus pamba ni wapinzani, lakini wanaweza kuwa na matatizo yao wenyewe binafsi .

Boniface Jacob anakituhumu chama cha ACT kumuewekea pingamizi lakini anasahau kuwa hata kule jimbo la isimani mgombea wa CHADEMA Mh. Ole Sosopi amemuwekea pingamizi mgombea wa ACT ila hakuna sehemu ACT wamekishutumu chama cha CHADEMA.

Hivyo ni wazi ndugu Boni Jacob ana siasa ambazo hazina ustaarabu ndani yake dhidi ya wengine.
Wemgi mtakumbuka kipindi mchakato wa kura za maoni jimbo la Ubungo hali ilivyokuwa na kupelekea wanachama wengi kufukuzwa sababu tu walikuwa hawamuungi mkono huyi Boni Jacob.

Anasahau kuwa haiwezekani kila mwanachama akuunge mkono. Ndugu Boni Jacob akafanya kila namna ya kufukuzwa uanachama hawa watu. CHADEMA linisuru jimbo la Ubungo kwa kukaa chini na huyu jamaa aache siasa anazokwenda nazo.
 
Achana na huyo zilipendwa wapo watu waadilifu ambao siyo wachumia tumbo kama hao madoctor bure kabisa sijawahi kuona madoctor hovyo kama wa kwenye siasa wamedhalilisha sana taaluma yao hadi watu wameona uprofesa na udoctor kwenye siasa ni Sifa ya hovyo kabisa. Mtu muadilifu anatakiwa kusimamia anachokiamini siyo kuruka ruka kutokana na njaa ya tumbo. Wako wapinzani wa kweli siyo kama huyo Dr Slaa alihamia CDM baada ya kukatwa jina CCM watu wa hivo huwa siyo wapinzani ni watu maslahi tu ndiyo maana sasa yuko CCM tena maana amekosa alichokuwa anakitafuta.
Lisu nini kilimtoa NCCR?!
 
Jackob awezi ipenda ACT kwasababu yeye asemezani za Zito Kabwe.
 
Back
Top Bottom