CHADEMA mjiandae kuitikia salamu ya "CCM Oyeeee" kesho!

CHADEMA mjiandae kuitikia salamu ya "CCM Oyeeee" kesho!

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. CHADEMA inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Sasa wajiandae NINI na Hali nao ni CCM tu
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Kwani wakisema oyeee kuna shida gani?
 
Haina cha ajabu. Kwenye mikutano ya hadhara waislam huitikia "amina" na wakristo huitikia "aleyikum salaam"
 
Mlitaka mama awe na roho ya kimasikini kama bwana yulee!?
Mama kawabadilikia walitamani aendelee siasa za uadui nchi ya wote rais ni WA watanzania wote watashangaa atakapo anzisha mchakato wa katiba mpya na chadema siyo chama Cha uadui Wala fujo no Hite no fear
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Kila tukio la kitaifa lina itifaki zake. Hii ndiyo maana Rais anakuwa na wasaidizi wenye kumuandalia hotuba, mavazi, muonekano wake wa jumla na hata aina ya uwasilishaji wake wa hotuba. Hii inatokana na mahitaji na matakwa ya wakati.

Kamwe hawezi kuvaa mavazi ya kijeshi kwenye hafla isiyokuwa ya kijeshi. Ama hawezi kuvaa mavazi ya CCM katika tukio la sherehe za Uhuru, hali kadhalika maudhui ya hotuba zake kiitifaki huendana na tukio alilopo kama mgeni mualikwa kwenda kwa hadhira inayomsikiliza.

Hafla hii ya kesho na jumbe ambazo zitatolewa zitaakisi sherehe ya wanawake, haki zao za msingi na changamoto wanazozipitia ili kukabiliana na mambo ya jinsia
 
Mbona kawaida. Cha msingi salamu ya people's iwepo.
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Wakiitikia watakua vilema?
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Sukuma Gang tulizeni vishuzi wakati wenu umepita

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mama kawabadilikia walitamani aendelee siasa za uadui nchi ya wote rais ni WA watanzania wote watashangaa atakapo anzisha mchakato wa katiba mpya na chadema siyo chama Cha uadui Wala fujo no Hite no fear
Kuna nchi kusini mwa africa rais hatakiwi kuvaa sare ya chama chake anapokuwa kwenye shughuli za kitaifa.
 
Kweli Rais Samia ni Profesa wa siasa. Chadema inakufa hivi hivi. Ikumbukwe siasa ni Imani na ni Itikadi. Salamu katika siasa inabeba falsafa ya chama kama ilivyo salamu za dini. Huwezi kuingia msikitini ukasalimia "Bwana Asifiwe". Hiki kitatokea Moshi.

Ni utaratibu wa kawaida Rais wa nchi anapokuwepo mahali fulani hususan mikutano ya Nje ni lazima viongozi wa chama chake ngazi ya Wilaya na Mkoa nao wawepo na hata wabunge pia. Na pia ni lazima kiprotokali wapewe nafasi ya kusalimia na sare zao za kijani.

Nimechungulia ratiba. Nafasi hiyo ipo na viongozi wa CCM nao watasalimia. Kama kawaida salamu Yao no "CCM Oyeeee....mnaitikia "oyeee". Hawatosema "People eeeeees, hapana. Kwa hiyo Chadema huu ni mtihani kwenu na kipimo Cha Itikadi na Imani yenu. Samia ana akili kama mchwa.
Wewe umeona kuna shida hapo?
Watu mna deal na vitu petty kweli!
Yaani wamualike Mwenyekiti wa CCM halafu wakatae kupokea salaam za CCM?
Acheni akili za Kiboya hizo.
Kwani ukienda kwenye shyghuli ya waislam halafu wakakusalimia Asalaam Aleikum na wewe ukaitikia kuna shida?
Au ukienda kwenye shughuli ya Wakristo wakakusalimia Bwana Asifiwe au Tumsifu Yesu Kristo ukaitikia kuna shida?

Acheni kuwa kama Mananga
 
Mama kawabadilikia walitamani aendelee siasa za uadui nchi ya wote rais ni WA watanzania wote watashangaa atakapo anzisha mchakato wa katiba mpya na chadema siyo chama Cha uadui Wala fujo no Hite no fear
CCM OOOHYEEEEE
 
Back
Top Bottom