Nyerere ulimwona wapi alivaa sare za kijani waliompokea wameshindwa kutofautisha kuwa yeye ni rais wa woteKuna nchi kusini mwa africa rais hatakiwi kuvaa sare ya chama chake anapokuwa kwenye shughuli za kitaifa.
Mchakato wa Katiba mpya siyo jambo la miaka 2 ni 3 kuendelea hivyo 2025... bado itatumika hii ya 1977 labda mdai ile Katiba ya Samia aliyolipa Bunge la Samuel Sita ambayo hamuitaki.Vitu vidogo vidogo hivyo, kama kakubali Katiba mpya hata akitaka tutambeba hadi Ikulu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Oyeeee
Hoyeee
Vyovyote vile.....
KIDUMUUUU
Mimi ccm imezaliwa nikiwa shule Mimi nawe nani anayoijua vema naona wewe ACT roho inakuuma ulitaka chadema kif
KAZI iendeleeMimi ccm imezaliwa nikiwa shule Mimi nawe nani anayoijua vema naona wewe ACT roho inakuuma ulitaka chadema kife
Kumbe we mvulana nilidhani mwanaume. Yani hujawahi kumuona Mwl amevas kijani mabaka akiendesha CC?Nyerere ulimwona wapi alivaa sare za kijani waliompokea wameshindwa kutofautisha kuwa yeye ni rais wa wote
Cc ni kikao Cha ndani siyo kwenye majukwaa analivyokuwa Kwa raia alibaki kama rais au wewe unamwona mwaka 1995 ameshangatuka mie nasema wakati akiwa madarakaniKumbe we mvulana nilidhani mwanaume. Yani hujawahi kumuona Mwl amevas kijani mabaka akiendesha CC?