Mnajitambua kwenye lipiKaribu chama Cha watu wenye akili, wazalendo na wanaojitambua
Natamani sana ningekuwa na muda na akili imetulia tujadili mkuu, maanake naona una mambo kadhaa ya muhimu sana kuyajadili.Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Itashangaza sana hawa uliowataja hapa wakienda kupiga kura kuendeleza yaliyowapata miaka hii mitano kwa miaka mingine mitano au zaidi!Na sio Mimi pekee, wenye kadi wengi za ccm lakini ni watumishi wa umma, wastaafu, wanafunzi na vijana wasomi walio maliza elimu za juu bila serikali hii kuwajali hakika KURA ZOTE KWA LISSU
Naunga mkono hoja,Mh.Lissu for Presidency.Huyu ni aina ya Viongozi wabobevu na mwenye unyenyekevu lakini thabiti na imara katika maamuzi ya haki.Tunamhitaji kuja kuponya majeraha iliyoyapata Tanzania baada ya 5th Regimen kuingia madarakani kama alivyoyatibu matundu ya risasi >16.Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Mleta Ni like Chadema time la siku nyingi nalijua hili .Mada zake nyingi Ni za kusifia Chadema sio chama kingine kiwe CCM au chochote
MshangaiMimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Mimi huu mwaka napiga kura kwa lissu for the first time.Mimi ni mwanachama wa CCM. Sio mwanachama maslahi au mwanachama fuata upepo, la hasha Bali mwanachama mwanzilishi hata kama nilijiunga 1978 mwaka mmoja tokea ianzishwe.
Ninafuatilia sana siasa za chama chetu, lakini niseme wazi kuwa tokea mwaka 2016 muda tuu baada ya awamu ya tano kushika hatamu CCM yetu imepotea na kuja kikundi cha aina Fulani kuigeuza CCM yetu kutoka chama chenye heshima na utu na kuwa cha kihuni, uongo na tabia za kihalifu.
Shuhudia chaguzi za serikali yetu na sasa chaguzi zetu za ndani ya chama! Ni uhuni na rushwa ya hali ya juu haijapata kutokea tangu chama kianze.
Uongo ndio usiseme, ona tunabuni mpaka kupanga watu kutoa zawadi eti za jogoo njiani kwa Rais? Kweli Rais anaweza kupewa tuu barabarani jogoo na akampokea mikononi bila kujulikana usalama wa zawadi hiyo?
Sasa kwa ujinga unaoendelea kwa chama changu natangaza rasmi binafsi kujiunga na Chadema kama watamsimamisha Tundu Lissu kugombea Urais ili nimpe kura yangu.
Nategemea wengi ndani ya CCM wataniunga mkono kwa sababu za Lissu zifuatazo;
*Anaheshimu Katiba na sheria.
*Sio muongo anapenda ukweli
*Ana uelewa mkubwa wa ndani na nje ya nchi.
*Anaheshimu Utu wa mwanadamu
*Hana roho ya visasi.
OMBI;
Tanzania ni yetu, kuiacha tena miaka mitano mingine ipotee kama hii iliyopita ni kuitafuta laana ya vizazi vijavyo. Tuungane tufanye mabadiliko chanya, vyama ni vya kupita tuu lakini taifa lipo palepale. Chadema watuletee Lissu nasi tumpe kura.
Wasalaam aleikum!
View attachment 1522282
Mbona rahisi sana EMBU naenda chadema digital chapNaunga mkono hoja , siwezi kukupinga.
Imani ni baina ya .......Ni kuchanganyikiwa kudhani Lissu anaweza shinda uchaguzi haahaha
Mke haachwi kwa kosa moja. Tokea 1978 niko na CCM. Na inawezekana huyu mwenyekiti wa sasa pengine alikuwa hata kujiunga hajajiunga.Mbona hikujiunga mara tu ulipoona ujinga huo wa ccm toka 2016
Kama alisimamia ukweli vipi alipokosa nafasi ya kugombea tena akaukana huo ukweli?Hakuna wa kumlinganisha na Dr slaa hapo chadema kwa Sasa, alisimamia ukweli aliouamini na misingi ya chama hadi pale wenzake wote walipomsaliti kwasababu ya matumbo yao
Nakushukuru sana kwa kunielewa. Ukipata nafasi njoo tujadili tuu kistaarabu kama nikuonavyo Mara kwa Mara ukijadili kwa hoja nzito.Natamani sana ningekuwa na muda na akili imetulia tujadili mkuu, maanake naona una mambo kadhaa ya muhimu sana kuyajadili.
Bahati mbaya sina muda na akili tulivu kwa sasa hivi.
Lakini nimeona jambo moja lililonishangaza kidogo kukuhusu wewe:
CCM ilianza kukuharibikia 2016?
Una maana zile CCM za akina Mwinyi, Kikwete zilikuwa sawa na ile CCM ya 1978 uliyojiunga nayo?
Nikubali, ni dhahiri CCM ya Magufuli ni tofauti na hizo za akina Mwinyi/Kikwete, lakini utofauti wao haufanyi pawepo na unafuu kati ya hizo CCM.
Kwa hiyo wewe unajitambulisha kuwa ni CCM "Huyu ni Mwenzetu?" Nikiri, kuna unafuu wa aina fulani kwa hiyo CCM kuliko hii aliyojibinafsishia Magufuli.
Mwisho, niungane nawe kuhusu Tundu Lissu au mgombea mwingine yeyote mbali ya kumrudisha miaka mitano mingine Magufuli.
Nilichepuka kidogo, nikarudi, nikakuta bado upo, na michepuko yangu inaendelea, sijatulia.Lakini kwanza mpeni bendera Lissu apeperushe alete mabadiliko
Ungejuwa kuwa mwenyekiti wetu ni kilema zaidi ya kawaida nadhani usinge kufuru hivyo unavyo kufuru.Nchi gani umewahi kuona ina rais mlemavu.?
Hakuna kazi katika private company shareholders wanaweza kumpa u-MD mtu kama Lissu.
Taifa lina watu mil 60 hakuna mwenye uwezo wa kuongoza mpaka tumpe mtu ambaye atakuwa anashinda kitandani?