Uchaguzi 2020 CHADEMA mkimsimamisha Lissu najiunga na chama chenu

Mkuu karibu sana kwenye siasa za upinzani
 
Weka jina lako mkuu na namba za kadi yako kama kweli wewe ni CCM
Unataka watuma wasiojulikana? We amini nisemalo maana sijashurutishwa na mtu. Na kwa miaka 40 Niko nayo.
 
Wewe ni muhenga humu JF bila shaka utatimiza adhma yako hii..

Kila la kheri!
 
Nenda kachukue kadi ya CDM ofisi yoyote ya CDM iliyo karibu nawe.
 
Karibu sana Mkuu, imekuwa kweli sala zetu wajumbe wamezifanyia kazi. #NiYeye2020

 
why unashindwa kuelewa utashi wa mtu ,mtoa mada kwa maoni yake ameongea anacho kifikiria , na kwa mfano hata angekua chama gani anamuogopa nani , hajatukana mtu, hajakashifu mtu , na mada yake kaitoa kwa unyenyekevu na bado karuhusu mjadala huru ,kwamaba kama una hoja ya kuzungumza leta yuko tiyar mjadili ,hawa ndo watu nawakubali na kuwaeshim siku zote na ni jambo hili tu tunakosea watumia mitandao, kwamba watu wapingane kwa hoja badala ya matus na kebegh
 
Mimi nakushauri urudi tena DARASANI ukasome siasa kwani point zako wala hazina mashiko....
Kweli mtu mzima umetoka wapi na jogoo??? kwani ndiye Raisi wa kwanza kupewa Jogoo??: Maraisi wangapi wamepewa Jogoo, Mbuzi, Ngombe nk au Wajumbe wamekushika pabaya?
Kwa taarifa yako hata yule jogoo hakupewa yeye; aliambiwa apelekee mama yake.... Pole! nakushauri usiteseke bure; ufuate moyo wako kule unako penda !!! Peoples!!!
 
Umeshachukua kadi ?
 
MKuu najua ushajiunga, tuonyeshe kadi basi au hata screenshort kama umetumia chadema app online kujiunga.
 
Mimi mtaani kwangu sasa cha moto wanakiona.. ni Lissu tu. Mpaka October nitahakikisha kimtaa kizima kinampigia kura Lissu.
 
Nakuja kama tuu mtajitendea haki na kumuweka mgombea sahihi.
Na sio Mimi pekee, wenye kadi wengi za ccm lakini ni watumishi wa umma, wastaafu, wanafunzi na vijana wasomi walio maliza elimu za juu bila serikali hii kuwajali hakika KURA ZOTE KWA LISSU
kamanda sasa ndio muda wa kujiunga chama la wana, umeamini sasa! Karibu mno mno
 
Mimi binafsi nilikua mwana CCM 2015 nilipiga sana kampeni kuakikisha chama chetu kinashinda tangu jana baada ya kumpitisha Lisu nimehamia Chadema sababu kubwa ya kuhama ccm kwenda Chadema kuna sehemu niliachishwa kazi nimefanya kazi muda mrefu MWAKAJANA JANA nikajaza form ili nichukue mafao yangu nipate mtaji nijiajiri cha ajabu hadi leo hakuna hata mia nimewekewa kwenye acount yangu ni zaidi ya mwaka sijalipwa mafao yangu, Nakuomba Mh Lisu ukiingia ikulu akikisha tunalipwa pesa zetu kura yangu nakupa na familia yangu tutakupa
 
.... ..
Nadhani Lissu na serikali yake haitaweka visasi, naye ajitokeze tuu kama Mimi na wengine
Hili ni muhimu Sana Lissu ajue, au afahamishwe. Visasi ni sumu. Atangaze mapema kuwa hatafanya visasi vyovyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…