CHADEMA mkishikwa pabaya muwe mnachutama tu

CHADEMA mkishikwa pabaya muwe mnachutama tu

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
1667127501982.png
 
Hiki chama ni cha wapigaji tu mkuu!! Ruzuku ya zaidi ya 1B kwa mwaka kwa miaka 5 yote wamepiga wajuaji nyumbu wapo tu huku kwenye mitandao.
Ndiyo maana Mungu hayuko nao kwa maana Mungu hawezi kusimama na wanafiki
 
Katika eneo la kijijini ambapo zipo nyumba za tembe nyingi hii mbona ni ofisi nzuri tu. Hebu tuonyeshe nyumba zilizopo karibu na ofisi hii.

CCM kama iliona fahari kuweka umeme katika nyumba za tembe, ni nini cha ajabu hapa!? Nyumba kama hizi sehemu nyingi za vijijini ni za kawaida sana. Pengine chenye kupaswa kuchutama ni chama tawala.
 
Katika eneo la kijijini ambapo zipo nyumba za tembe nyingi hii mbona ni ofisi nzuri tu. Hebu tuonyeshe nyumba zilizopo karibu na ofisi hii.

CCM kama iliona fahari kuweka umeme katika nyumba za tembe, ni nini cha ajabu hapa!? Nyumba kama hizi sehemu nyingi za vijijini ni za kawaida sana. Pengine chenye kupaswa kuchutama ni chama tawala.
wewe hauko na hawa ati
 
Katika eneo la kijijini ambapo zipo nyumba za tembe nyingi hii mbona ni ofisi nzuri tu. Hebu tuonyeshe nyumba zilizopo karibu na ofisi hii.

CCM kama iliona fahari kuweka umeme katika nyumba za tembe, ni nini cha ajabu hapa!? Nyumba kama hizi sehemu nyingi za vijijini ni za kawaida sana. Pengine chenye kupaswa kuchutama ni chama tawala.
Kinachoongelewa hapo ni kutelekezwa kwa hiyo ofisi pichani.

Sio suala la mjengo bali uhai wa chama pendwa!
 
Kinachoongelewa hapo ni kutelekezwa kwa hiyo ofisi pichani.

Sio suala la mjengo bali uhai wa chama pendwa!
Siku zote CHADEMA wanaenda kinyume ha maumbile- wanaweza kuhamasisha watu kukusanya mawe kwa ajili ya kuwapopoa polisi lakini hawawezi kuhamasisha watu walewale kukusanya mawe kujenga ofisi zao
 
Katika eneo la kijijini ambapo zipo nyumba za tembe nyingi hii mbona ni ofisi nzuri tu. Hebu tuonyeshe nyumba zilizopo karibu na ofisi hii.

CCM kama iliona fahari kuweka umeme katika nyumba za tembe, ni nini cha ajabu hapa!? Nyumba kama hizi sehemu nyingi za vijijini ni za kawaida sana. Pengine chenye kupaswa kuchutama ni chama tawala.
Hukuwa na sababu ya kuwajibu hawa na mada zao za kimkakati mbenge
 
Tumekuskia mke wangu
Mkuu hivi ulidhani mie mwanaume?! Huo ni ujinga namba moja kwa upande wako. Pili wanaume wote wakiwa CHADEMA hapa duniani- naachika na subiri kuolewa mbinguni
 
Kumbe Comte nidemu....
Kwani hatustahili kuwa humu siyo? sishangai maana kwenu CHADEMA kwa sera yenu ya ushoga ni sawa tu wanawake tukitoweka mnamalizana wenyewe
 
Kwani hatustahili kuwa humu siyo? sishangai maana kwenu CHADEMA kwa sera yenu ya ushoga ni sawa tu wanawake tukitoweka mnamalizana wenyewe
Mbona unapanic unaropoka ropoka? shemela hakulishi muhogo vizuri nini?
 
Back
Top Bottom