CHADEMA mkishikwa pabaya muwe mnachutama tu

Did I sound like? second, what did I say that do not manifest CHADEMA?
Yeh you do!! First i didn't mention Chadema anywhere...secondly i don't think they sapport that sht
 
ni sawa kabisa sisi tunajikubali siyo nyie mnasema hamna shida na ofisi mnajenga chama kwenye mioyo ya watu- hapo ndipo tunapo tofautiana.
Ohoo umeshapindisha maneno tena
 
Hilo jengo mbona linaonekana nila zamani sana na halitumiki.au ulitaka wakuite ufute hayo maandishi?.Ccm yenyewe pamoja nakua na vitega uchumi kibao walivyovipora bado ata yenyewe haina majengo ya maana uko vijijini.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…