johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Uongozi wa Chadema mkoani Mara umeunga mkono kwa kauli moja uamuzi wa kamati kuu ya chama chao wa kuwavua uanachama waliokuwa wabunge wao Esther Bulaya na Esther Matiko.
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!
Chanzo: Ayo tv
Maendeleo hayana vyama!