CHADEMA mkoa wa Mara waunga mkono Esther Matiko na Esther Bulaya kuvuliwa uanachama

CHADEMA mkoa wa Mara waunga mkono Esther Matiko na Esther Bulaya kuvuliwa uanachama

Uongozi wa Chadema mkoani Mara umeunga mkono kwa kauli moja uamuzi wa kamati kuu ya chama chao wa kuwavua uanachama waliokuwa wabunge wao Esther Bulaya na Esther Matiko.

Source Ayo tv

Maendeleo hayana vyama!
Wivu tu, vile kuna nyumba ndogo kadhaa sasa itabidi zihudumiwe kwa jasho lao wenyewe na sio posho zao za Bunge.

Mbona Aidan walimruhusu akaapishwe kama uchaguzi hawautambui ? AU uchaguzi wanatambua wanaposhinda tu? Kwahiyo ruzuku pia wataigomea?
 
Wivu tu, vile kuna nyumba ndogo kadhaa sasa itabidi zihudumiwe kwa jasho lao wenyewe na sio posho zao za Bunge.

Mbona Aidan walimruhusu akaapishwe kama uchaguzi hawautambui ? AU uchaguzi wanatambua wanaposhinda tu? Kwahiyo ruzuku pia wataigomea?
Aida naye ni viti maalumu?!
 
Nani kakwambia ruzuku inatoewa na CCM ruzuku ni pamoja na kodi zetu na pesa za mababeru watatoa tuu ni takwa a kikatiba siyo hisani. CCM waitaka kufanya mchezo huu wenyewe wameshidwa. Antipus amesema yawepo maridhiano hawakueewa maana yake nini. CCM hawataki kukaa meza moja na CDM, mambo yangekwisha mapema. Jiuize kwa nini Aidan hajafukuzwa?
 
Ndugu shida siyo viti maaum bai ni mchakato wa kuwapata uikuwa mbovu, wa giiba. CDM imewaingiza kingi ccm kukaa meza nao mambo yaishi ccm waitaka kutumia nguvu. Rejea Tundu aisema magufui afanye maridhiano nao ccm hawataki, chaguzi za nyuma Kikwete aikaa nao mambo yakaisha na yakaenda aiwaita hata Ikuuu. Serikai ya CCM inahitaji hivyo viti kupata fedha za wahisani na kuunda kambi ya upinzani upinzani bungeni na kamati tatu ambazo zinatakiwa kutoka upinzani . Kwenye uchaguzi ccm hawakuona hio ndiyo shida iiyopo hapo, wanatumia nguvu na ubabe wapate wabunge hao na CDM wameshikiia mpini. Bashiru kuwakaribisha ccm COVID 19 ni kuwa wamesurrender hapo.
 
Kwani hao wa viti maalum wametokana na nini? Si ni uchaguzi huo huo uliompa Aidan ushindi?

Au wanapinga uchaguzi wa maeneo waliyoshindwa tu?
Chadema wamesema hawajateua wabunge wa viti maalumu!

Swala siyo wabunge kutokwenda bungeni bali wamepatikanaje?

Hili ni swala la kisheria bwashee!
 
Ndiyo siasi iivyo ni timing tuu, na CDM waingefanya maamuzi juzi kesho Covid 19 wangewapiga knockout mahakamani .
 
Uongozi wa Chadema mkoani Mara umeunga mkono kwa kauli moja uamuzi wa kamati kuu ya chama chao wa kuwavua uanachama waliokuwa wabunge wao Esther Bulaya na Esther Matiko.

Source Ayo tv

Maendeleo hayana vyama!

Ungeongelea wa CCM zaidi bwashee.

Nadhani si wa Mara peke yake bali hata CCM taifa wako tayari kuwarudisha bungeni hata kama ni wabunge wa gereji!
 
Wameshindwa kuwekeza kwa wapiga kura, badala yake wamewekeza kwa JUMUIYA ZA KIMATAIFA na MITANDAONI!!!!
Kutwa kuchwa kuombea vikwazo dhidi ya nchi yetu, kunyimwa misaada na kadhalika!!

lakini wanachosahau ni kuwa DUWA LA KUKU HALIMPATI MWEWE!!!
NB: Mbaya zaidi wakaingia kwenye mtego wa HAKI ZA BINADAMU (ushoga) huku wakisahau jamii yetu kwa zaidi ya 100% inapingana na UFEDHULI huo
 
Back
Top Bottom