Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Wakati sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zikeindelea kushika kasi, CHADEMA nao wameendelea kukisuka chama chao.
Hivi Karibuni Omary Toto amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA mkoa wa Singida, akipata kura 52, sawa na asilimia 59.8% ya kura 87 zilizopigwa.
Soma pia: CHADEMA Singida: Wasimamizi Wasaidizi wa uchaguzi ndio wamewawekea wagombea wa CHADEMA mapingamizi
Pia, wanaCHADEMA wamemchagua Samwel Malow kuwa Katibu wa CHADEMA mkoa wa Singida, kwa kura 56, sawa na asilimia 64.4% ambapo katika kikao hicho, Malow ameagizwa kuanza majukumu yake mara moja kama Katibu kutokana na hali ya vitu ilivyo.
Wakati sarakasi za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa zikeindelea kushika kasi, CHADEMA nao wameendelea kukisuka chama chao.
Hivi Karibuni Omary Toto amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA mkoa wa Singida, akipata kura 52, sawa na asilimia 59.8% ya kura 87 zilizopigwa.
Soma pia: CHADEMA Singida: Wasimamizi Wasaidizi wa uchaguzi ndio wamewawekea wagombea wa CHADEMA mapingamizi
Pia, wanaCHADEMA wamemchagua Samwel Malow kuwa Katibu wa CHADEMA mkoa wa Singida, kwa kura 56, sawa na asilimia 64.4% ambapo katika kikao hicho, Malow ameagizwa kuanza majukumu yake mara moja kama Katibu kutokana na hali ya vitu ilivyo.