Uharo wako umeuhamisha kutoka kuishambulia HAMAS umekuja kuhara hukuCHADEMA mna mkakati wowote wa kuwazuia wabunge wa viti maalumu waliopo bungeni wakati huu kutorudi bungeni wakati na baada ya uchaguzi wa mwaka 2025?
Mtawazuiaje ikiwa mtaona wao ndio wamepewa fursa ya kugombea na wanapeperusha bendera ya CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka 2025?
Mtawazuiaje ikiwa mtawaona wao ndio wabunge wa viti maalumu tena baada ya uchaguzi?
Usituharibia nyuzi tafadhali🤬😡Uharo wako umeuhamisha kutoka kuishambulia HAMAS umekuja kuhara huku
Huo ni upande mmoja, vipi wakiingizwa tena bungeni na spika ajaye kama walivyoingizwa na Ndugai??Covid19 walikisaliti Chama katika kipindi kigumu sana sana na kama watarudishwa Bungeni basi nitaamini walisapotiwa all along IMANI yangu kwenye Chama nikipendacho ITATOWEKA.
Na nitaacha kuwa Mwanachama.
Labda kwa Viti maalum CCM.Huo ni upande mmoja, vipi wakiingizwa tena bungeni na spika ajaye kama walivyoingizwa na Ndugai??
Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina ubavu wa kuwakataa hawa wabunge wao.Covid19 walikisaliti Chama katika kipindi kigumu sana sana na kama watarudishwa Bungeni basi nitaamini walisapotiwa all along IMANI yangu kwenye Chama nikipendacho ITATOWEKA.
Na nitaacha kuwa Mwanachama.
Dokta Slaa anarudi huyo tunakubali kwa asilimia 100 na ataingia Bungeni kwa Viti maalum vya Wazee wa CHADEMA.Isitoshe, mwenyekiti atadai, kama anavyodaigi kila mwaka, kwamba hii ni fursa ya pekee kuunganisha nguvu zote (za wafuasi watiifu na wasaliti) ili kuingia Ikulu kwa kishindo, au kama wao waitavyo - mafuriko!
Inasemekana Mwabukusi ni mpinzani wa kweli, wakati Chadema yenyewe ni kivuli tu cha Sisiemu, hususan viongozi wa juu wanaojua kilichomo chunguni.Na tunataka Mwabukusi ili timu yetu ikamilike hao Covid19 waende CCM hawawezi mapambano makali walishafeli wakati wa mikiki mikiki ya Jiwe.
Safari hii Timu itakamilika tu Slaa ndani Mwabukusi ndani Mwanamapinduzi ndani.Inasemekana Mwabukusi ni mpinzani wa kweli, wakati Chadema yenyewe ni kivuli tu cha Sisiemu, hususan viongozi wa juu wanaojua kilichomo chunguni.
Yaan mm nitahamia ccm kabisaCovid19 walikisaliti Chama katika kipindi kigumu sana sana na kama watarudishwa Bungeni basi nitaamini walisapotiwa all along IMANI yangu kwenye Chama nikipendacho ITATOWEKA.
Na nitaacha kuwa Mwanachama.
Huo ni upande mmoja, vipi wakiingizwa tena bungeni na spika ajaye kama walivyoingizwa na Ndugai??
CDM wanacheka na Ruzuku zinazotokana na hao wabunge yaani wanajitekenya na kucheka wenyewe,Msigwa unajua utamu wa Ruzuku.
Hakuna viti maalum vya wazee bungeni, kuna viti maalum vya wanawake tu.Dokta Slaa anarudi huyo tunakubali kwa asilimia 100 na ataingia Bungeni kwa Viti maalum vya Wazee wa CHADEMA.
Na tunataka Mwabukusi ili timu yetu ikamilike hao Covid19 waende CCM hawawezi mapambano makali walishafeli wakati wa mikiki mikiki ya Jiwe.
Hao siyo wanachama wa Chadema. Huyo Rango mwenyewe anajua anawafuga kwa tiketi ya chama gani hapo mjengoni.CHADEMA mna mkakati wowote wa kuwazuia wabunge wa viti maalumu waliopo bungeni wakati huu kutorudi bungeni wakati na baada ya uchaguzi wa mwaka 2025?
Mtawazuiaje ikiwa mtaona wao ndio wamepewa fursa ya kugombea na wanapeperusha bendera ya CHADEMA katika uchaguzi wa mwaka 2025?
Mtawazuiaje ikiwa mtawaona wao ndio wabunge wa viti maalumu tena baada ya uchaguzi?
Usichangie jambo usilolijua,Ruzuku haitokani na wabunge wa viti maalumu bali kutokana na idadi ya kura za mgombea urais, na hata hao wabunge wa wamepata hizo nafasi kutokana na idadi ya kura za mgombea urais.CDM wanacheka na Ruzuku zinazotokana na hao wabunge yaani wanajitekenya na kucheka wenyewe,Msigwa unajua utamu wa Ruzuku.
Wakati wanahangaika na Rufaa. Mahakama kuu iliwaondoa.Wanarudi wote, na watagombea