TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
VIPI BANA, KWANI MAGUFULI ANAZUNGUKA NA KIKWETE KILA SEHEMU??? Kwenye kampeni ni kama kwenye mechi, sio kila mtu acheze striker...tatizo chadema ni chama chenye mpangilio mbovu, hata hivyo humuoni katika kampeni zipi?
Nina imani kuna good reason ya zitto kuwa zaidi magharibi na magharibi wanamuhitaji zitto zaidi... kazi anayoifanya ni nzuri sana na slaa pia anafanya kazi nzuri... kumbuka you cant put all eggs in one basket... kwani umemuona mbowe kila sehemu anapozunguka slaa??
Mmeshindwa ya mambo binafsi sasa mnataka kugombanisha chadema, they are smatter than that!!!