Umesema kweli kama Spika anawazuga Chadema waendelee na hoja ya kina Silinde wakati CCM wapo chimbo wanaandika Ilani na kufanya upembuzi yakinifu majimboni. Mmeshawatimua kina Silinde mnahangaika nini wakati uchaguzi ni October ni upuuzi,,,.Kajipangeni . Maamuzi ya Spika yanajulikana .Mimi binafsi Napenda Upinzani utoe changamoto hasa ubunge na udiwani ili biashara ya kuunga juhudi isije kurudia lakini Chadema imekuwa dhaifu.CHADEMA shida yao huwa wanakubali kucheza miziki ya CCM.
CCM wako vizuri sana kuunda ajenda na kuzitumia kwa manufaa yao, ni propagandists wazuri hawa jamaa.
CHADEMA ni wadandiaji wa ngoma ya watu.
Bado hawajachelewa muda ndo huu, wadau tupo hapa with full bundle.
tatizo wewe unakurupuka mno,soma mada basi uelewe,mleta mada kaleta point muhimu sana wewe umeandika pumba.Media zipi unasema wakati ccm nichama cha watu wakijijini wasiojuwa kusoma na kuandika. ..hapa Tz hakuna chama chenye watu wajinga kama ccm ...Hata Nyalali hilo miaka ya 1990+
Hawawezi kukuelewa. Kazi kubwa wanayofanya ni kutukanaChadema haijafa bali itakufa kama isipojitibu. Inatakiwa kuimarisha propaganda kwenye media badala ya kutegemea tweet za Lema Hilda Newton hao kina Mdude na Halima. Lazima kuwe na mifumo ya content na direction.Kwamba wiki hii tunapost kulenga jambo gani, tunaandikaje,nk .Chadema isije tegemea Kigogo atawajeuka. Pia makosa ya Kigogo yasijekuigharimu Chadema kama chama.
uliza wale wa kibiti kiliwapata nini ?walijaribu kushika AK47Vijana hawa wasio na kazi wasio na mbele wala nyuma???? Hili ni bomu ambalo akitokea mtu akawagawia AK 47 moto wake hautazimika leo wala kesho.
Press conference mambo.ya kizamani.sanaChadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia
uliza wale wa kibiti kiliwapata nini ?walijaribu kushika AK47
tena vijana wa chadema walivyolaini laini wataweza kweli ikiwa hata kutoka kuandamana kulazimisha ruhusa ya mikutano hawawezi ndo wataweza shika silaha?.angalau cuf ya zamani waliweza kusumbua polisi ila bavicha hawawezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaa yangu sisi ni watanzania hatuna chuki za kudumu na hii ni asili yetu kabisa.Chadema viongozi ndio waoga, hawasomi alama za nyakati kibiti wale ni wakulima wasio na hatia ambao mliwadhulumu pikipiki zao na mikaa. sasa Taifa unachukua kundi kubwa kuanzia wavuvi mliochoma nyavu zao, machinga, waendesha bodaboda, watu daladala, mateja, walioufutwa kazi, mliowadhulumu ni wengi mno na hata mliowanyima pension zao, pamoja na askari wasiopanda vyeo na hali duni za kazi zao.
Mh vijana wa vyama vingine wanaogopa kubambikiwa kesi za mitandao.Nakumbuka Maxine Mello akitoa tathmini juu ya mchango wa media katika uchaguzi 2015 aliweka wazi kuwa CCM Ilitawala media na kusambaratisha wapinzani. Kuelekea October 2020 sijaona juhudi za dhati za chadema Kukamata kiungo yaani media.
Japo ilionekana kuzidiwa na CCM Chadema walikuwa na nguvu kwenye mitandao mara dufu au zaidi ya sasa.. Ukitazama Facebook ambayo wapiga kura wengi hutumia huoni Amsha Amsha ya Chadema.
CCM Kupitia matawi yao kuanzia kata wilaya MIKOA na jumuiya zao wanafanya juhudi kumjenga mwenyekiti na mgombea wao pamoja na wagombea ubunge kwa kupitia makundi ya mtandaoni. Inawezekana CCM ikawa na utatibu na ugharamiaji wa vijana wao wanaopambana kwenye media.
Chadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia .
CCM walianza kutengeneza ilani ya uchaguzi ujao, siku ile Magufuli alipo apishwa. Tangia hapo wanaendelea kuiboresha mpaka siku ya kampeini zitakapoanza.CCM wamejipanga kimkakati. Wakati mnahangaika na Magufuli kuwa Chato CCM wanamtuma Mbatia Mbeya Tarime etc Bashiru anaandaa ilani. Chadema watazusha ana korona mbona haonekani.
Wakati mnahangaika na kina Silinde CCM wanapanga watu muhimu wa kuwadhibiti ndani ya Bavicha. Mkikusanyika DSM Makonda anaambiwa awatoe kwenye reli mnaanza kumsema Makonda wiki nzima.
Hamjakaa sawa DC anawapanga wazee kumpinga Mbowe ,ile mnahamaki Mdude kakamatwa. Munaitisha media huku mkijua mtazuiliwa huu ni ujuha. Ukiwaahidi wananchi habari ukashindwa kuitoa unakua umeondoa imani yao kwako hawatakufuatilia tena.
Mbowe anazidiwa na kina Zito kwenye namna ya kuwasilisha taarifa. Na kutengeneza network ya habari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na huo ndio ukweli hata kama hawataki kuusikia!Mkuu sio kwamba Chadema imelala
Ila Chadema imekufa, vijana Wengi wameridhishwa na uchapakazi wa Magufuli ndio maana huoni bla bla mtandaoni
Chadema bwana sikilizeni ushauri makamndaNakumbuka Maxine Mello akitoa tathmini juu ya mchango wa media katika uchaguzi 2015 aliweka wazi kuwa CCM Ilitawala media na kusambaratisha wapinzani. Kuelekea October 2020 sijaona juhudi za dhati za chadema Kukamata kiungo yaani media.
Japo ilionekana kuzidiwa na CCM Chadema walikuwa na nguvu kwenye mitandao mara dufu au zaidi ya sasa.. Ukitazama Facebook ambayo wapiga kura wengi hutumia huoni Amsha Amsha ya Chadema.
CCM Kupitia matawi yao kuanzia kata wilaya MIKOA na jumuiya zao wanafanya juhudi kumjenga mwenyekiti na mgombea wao pamoja na wagombea ubunge kwa kupitia makundi ya mtandaoni. Inawezekana CCM ikawa na utatibu na ugharamiaji wa vijana wao wanaopambana kwenye media.
Chadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia .
Chadema is there to stay. Iko kwenye damu. Hapa nikipost tu taarifa za chadema kwa wiki moja tu IGP, DGIS hawalali kunitafuta.....sleepless night pengine hata kutemwa kazi zao. Hiyo ndiyo nguvu ya chadema.Nakumbuka Maxine Mello akitoa tathmini juu ya mchango wa media katika uchaguzi 2015 aliweka wazi kuwa CCM Ilitawala media na kusambaratisha wapinzani. Kuelekea October 2020 sijaona juhudi za dhati za chadema Kukamata kiungo yaani media.
Japo ilionekana kuzidiwa na CCM Chadema walikuwa na nguvu kwenye mitandao mara dufu au zaidi ya sasa.. Ukitazama Facebook ambayo wapiga kura wengi hutumia huoni Amsha Amsha ya Chadema.
CCM Kupitia matawi yao kuanzia kata wilaya MIKOA na jumuiya zao wanafanya juhudi kumjenga mwenyekiti na mgombea wao pamoja na wagombea ubunge kwa kupitia makundi ya mtandaoni. Inawezekana CCM ikawa na utatibu na ugharamiaji wa vijana wao wanaopambana kwenye media.
Chadema bado wana mawazo ya kutumia press conference kitu ambacho hakiwasaidii sana. Press conference zinaingiliwa na Vyombo vya dola na hazidumu kwenye mijadala. Chadema ikishindwa dimba la kati itakuja Lia .
Hahahaa naona machadema feki na ma ID duplicated mmejazana hapa. 🤣🤣
Mbowe si kwamba hajui chama kinapaswa kuwa namna gani .Mbowe anaogopa kuwa na wanachama kwakuwa chama kikiwa na wanachama ipo siku watataka kukiendesha na kukirudisha mikononi mwao.Mbowe anafurahia kuwa na mashabiki na si wanachama.Anajua sifa ya mtu atakaye weza kuwa Katibu mkuu lakini ana hofu ya kuwa na Katibu mkuu mwenye sifa.CCM walianza kutengeneza ilani ya uchaguzi ujao, siku ile Magufuli alipo apishwa. Tangia hapo wanaendelea kuiboresha mpaka siku ya kampeini zitakapoanza.
Lakini CHADEMA hata siku ya kampeini watakuwa hawajatoa ilani yao. Mtu akidadisi hilo ataambiwa aangalie kwenye website ya chama. Ukifungua website unakutana na manene haya - still under construction!