Uchaguzi 2020 CHADEMA mnatambua wazi mtashindwa Uchaguzi, mmebakiza kuleta visingizio visivyo na mashiko

Uchaguzi 2020 CHADEMA mnatambua wazi mtashindwa Uchaguzi, mmebakiza kuleta visingizio visivyo na mashiko

Ngoja tuone kama wananchi wenye akili watampa Lissu kura . Maana anatetea waliofoji vyeti na anataka watu wajenge kwenye hifadhi za barabara.
Waziri wa Sheria Mwigulu Nchemba anatumia jina la aliyempa cheti ambaye ni Msukuma tokea shinyanga, Bashite alitumia cheti bandia mkamlinda kwa miaka 5 na sasa mnamtafutia vyeo
 
Hizo 10% za kuhisi au unao ushahidi? Una uhakika pesa ya Sgr imepelekwa kwenye kampeni? Au unaharisha maneno kama umekunywa konyagi na kula bangi.
Bila uongo wala kuwaonea CCM tembelea SGR usikie malalamiko ya wafanyakazi ndipo utapata ushahidi huko Huko
 
Waziri wa Sheria Mwigulu Nchemba anatumia jina la aliyempa cheti ambaye ni Msukuma tokea shinyanga, Bashite alitumia cheti bandia mkamlinda kwa miaka 5 na sasa mnamtafutia vyeo
Ndio upuuzi ninao kuambia. Kujilizaliza kama watoto. Hayo unayosema una uhakika nayo? Au minyoo imechachamaa kichwani?
 
Hili halina ubishi wowote kuwa

Chadema mnajifaragua kushiriki uchaguzi ili kuua soo. Lakini ukweli ni kwamba mnajua mnapigwa kipigo cha mbwa mtu kwenye box la kura.

Na baada ya kutambua haya mmebaki kuwa watu wa kujiliza kama mtoto anayelilia toy ili hali anajua wazazi wake hawana uwezo wa kununua. Nasema hivi sababu mnatambua fika wananchi hawana mvuto tena na chama chenu na hamkubaliki. Na sasa mmebaki.kuwa watu wa kuibua visingizio kuwa NEC inawaonea, mara Tbc wanawabania.

Kama msimamizi wa uchaguzi amemuengua mgombea wenu mtupatie sababu alizotoa na kama kuna uwezekano mfuate taratibu na kukata rufaaa. Lakini msitutishe na kutueleza eti NEC wanahatalisha amani.

Sasa hivi mmeanza kuongea pumba za kipuuzi ambazo zinawashushia heshima na kama mnabusara msinngeshiriki huu uchaguzi kabisa. Mgombea wenu anatia aibu kusema anaona barabara zinajengwa na anakubali ni barabara za kiwango kama alikokuwa anakaa Ubelgiji,lakini anasema kuna watu walibomolewa nyumba zao kupisha ujenzi na sasa wanakaa mbali na mji. Sasa yeye kama mwanasheria hajui kuwa walikuwa kwenye hifadhi ya barabara?

Anasema atawalipa fidia waliofukuzwa kwa kufoji vyeti. Yaani mnataka kutuambia anasapoti watu kufanya makosa ya jinai. Tena ambayo yapo wazi?

Kwa ufupi tu ni kuwa mwaka huu ni uchaguzi ambao Ccm inaenda kushinda kwa ulaini sana. Na hii ni sababu upinzani umekosa credibility ya kuikosoa Ccm. Maana hamna cha kuikosoa mkisimama majukwaani zaidi ya kulalama na kutoa tuhuma za kizushi.

Kama kudai NEC wanataka kuhatarisha amani na kutaka kuwaingiza watanzania mkenge ili wajiingize kwenye ghasia zisizo na kichwa wala miguu.

Bahati nzuri watanzania wameshawajua na wanawasikiliza kwa umakini na hamna atayefuata ushauri wa kipuuzi mnaoutoa.
Na.

Mwandishi wetu kigoma.


MGOMBEA UDIWANI CHADEMA KATA YA RUBUGA *OMARY GINDI* AKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA UTAPELI


Mgombea udiwani kata ya Rubuga kupitia chama cha demokrasia na maendeleo akamatwa na polisi na kufungwa kwa kosa la utapeli kama kawaida yake kuwa anauza pembe za ndovu.

Mgombea uyo alikamatwa jana akiwa hoteli na kuanza kuwalaghai na kufanya utapeli huo na baadae kukamatwa na polisi na mpaka sasa yupo ndani

Kigoma inahitaji madiwani safi na sio matapeli kama OMARY GINDI WA CHADEMA KATA YA RUBUGA.

Kigoma yetu safi hatuitaji matapeli kama OMARY GINDI WA RUBUGA TOKA CHADEMA.


KIGOMA YETU
KIGOMA MPYA
 
20200829_220555.jpg
 
CCM itaondoka tu na wote ndani yake watajibu mashataka kwa maovu yao labda wawe wamekufa.
 
Ni wizi wa kura pekee unaweza kuivusha CCM, lakini uchaguzi huru na haki CCM hana chake

Nasema leteni pesa ya beberu ikafanye mzunguko hapa kisha mgombea wenu arudi ubelgiji akalipe Madeni huko
Wakati sisi tunaendelea na JPM
 
Maovu gani? Kuwaletea watanzania maendeleo na amani?
Kuna watu wengi sana wamepotea au kufa katika utawala huu. Kuna ufujaji umefanywa kwa siri kubwa, yatawekwa wazi yote na wahusika watawajibishwa bila huruma yoyote ile ni suala la muda tu.
 
Kuna watu wengi sana wamepotea au kufa katika utawala huu. Kuna ufujaji umefanywa kwa siri kubwa, yatawekwa wazi yote na wahusika watawajibishwa bila huruma yoyote ile ni suala la muda tu.
Hypothetical arguments. Kama wamepotea na unauhakika ni serikali nenda mahakani. Kama una uhakika ubadhirifu nenda Pccb ili hatua zichukuliwe.
 
Hypothetical arguments. Kama wamepotea na unauhakika ni serikali nenda mahakani. Kama una uhakika ubadhirifu nenda Pccb ili hatua zichukuliwe.
Yanayoendelea kuenguliwa wapinzani yamedhihirisha wazi ubovu wa serikali na ccm. Woga wa ajabu sana na unawafikirisha watu mno, kweli ccm imening'inia kwa uzi tu.
 
Yanayoendelea kuenguliwa wapinzani yamedhihirisha wazi ubovu wa serikali na ccm. Woga wa ajabu sana na unawafikirisha watu mno, kweli ccm imening'inia kwa uzi tu.
Kateni rufaa NEC na mtuambie ni sababu zipi zimefanya waenguliwe. Sio kuleta mikwara mbuzi ya kuvuruga amani. Huyo tumbotumbo aseme kweli. Na akishindwa rufaa arudi Igunga akalime mpunga.
 
Hili halina ubishi wowote kuwa

Chadema mnajifaragua kushiriki uchaguzi ili kuua soo. Lakini ukweli ni kwamba mnajua mnapigwa kipigo cha mbwa mtu kwenye box la kura.

Na baada ya kutambua haya mmebaki kuwa watu wa kujiliza kama mtoto anayelilia toy ili hali anajua wazazi wake hawana uwezo wa kununua. Nasema hivi sababu mnatambua fika wananchi hawana mvuto tena na chama chenu na hamkubaliki. Na sasa mmebaki.kuwa watu wa kuibua visingizio kuwa NEC inawaonea, mara Tbc wanawabania.

Kama msimamizi wa uchaguzi amemuengua mgombea wenu mtupatie sababu alizotoa na kama kuna uwezekano mfuate taratibu na kukata rufaaa. Lakini msitutishe na kutueleza eti NEC wanahatalisha amani.

Sasa hivi mmeanza kuongea pumba za kipuuzi ambazo zinawashushia heshima na kama mnabusara msinngeshiriki huu uchaguzi kabisa. Mgombea wenu anatia aibu kusema anaona barabara zinajengwa na anakubali ni barabara za kiwango kama alikokuwa anakaa Ubelgiji,lakini anasema kuna watu walibomolewa nyumba zao kupisha ujenzi na sasa wanakaa mbali na mji. Sasa yeye kama mwanasheria hajui kuwa walikuwa kwenye hifadhi ya barabara?

Anasema atawalipa fidia waliofukuzwa kwa kufoji vyeti. Yaani mnataka kutuambia anasapoti watu kufanya makosa ya jinai. Tena ambayo yapo wazi?

Kwa ufupi tu ni kuwa mwaka huu ni uchaguzi ambao CCM inaenda kushinda kwa ulaini sana. Na hii ni sababu upinzani umekosa credibility ya kuikosoa CCM. Maana hamna cha kuikosoa mkisimama majukwaani zaidi ya kulalama na kutoa tuhuma za kizushi.

Kama kudai NEC wanataka kuhatarisha amani na kutaka kuwaingiza watanzania mkenge ili wajiingize kwenye ghasia zisizo na kichwa wala miguu.

Bahati nzuri watanzania wameshawajua na wanawasikiliza kwa umakini na hamna atayefuata ushauri wa kipuuzi mnaoutoa.

Wanajua wataahidwa au wanajua wataibiwa kura! Seif anasema wasimamizi wa kura ni usalama wa taifa! Sasa hapo kuna demokrasia gani.

wajinga wengi hawajui Chadema hawafanyi kampeni kwasababu ya idadi ya wabunge pekee lakini bali kuongea na wananchi ambao hawakuruhusiwa kwa miaka mitano. Na kukuwa kwa upinzani sio idadi ya viti bali ni support ya Watanzania. Bila tume huru huwezi kuwa na uchaguzi huru lakini hawawezi kuacha kuongea na watu wakati wana watu wengi sana sana wanawafuata.
 
CCM hawaendi na wakati wanatumia mbinu za kishamba sana kuwahujumu wapinzani kwa sasa CCM ni chama cha kishetani na na hovyo mno

Bro, hilo jina lako linakuakisi ulivyo, na akili yako kuna mtu wa kumwibia rais TLS kura, huo ndio urais pekee unaomfaa, sio wa nchi ILIYONYOOKA KAMA TZ. WAPIGA DEAL MMEKATIWA MIRIJA HADI MNSTEMBEZA BAKULI.POLE SANA
 
Back
Top Bottom