Bora ungejikita saizi kuisaidia cc itakayokaa kesho juu ya maamuzi ya Mdee et al, 2020. Alikuja kwa mkwara, mbwembwe nyingi, kejeri, karudi kwa aibu; bora Mbowe angegombea kuliko yule jamaa. This is a worst ever experience cdm mnapitia, na inahitaji busara kubwa sana katika kikao cha kesho, na mkikurupika tu kesho mtakuwa vipandevipande. After all, humo cdm hakuna mfia chama bana, wengi mpo opportunistic tu, magugu yapo mengi sana tena ya kutosha. It require a total overhaul on the current administration, and install new brain, great thinkers.