CHADEMA mnaweza kuwekwa mtegoni kwa kuingiziwa ruzuku itokanayo na Wabunge wa Viti Maalum msiowatambua

CHADEMA mnaweza kuwekwa mtegoni kwa kuingiziwa ruzuku itokanayo na Wabunge wa Viti Maalum msiowatambua

Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Eti wazirudishe teh teh teh! Aisee yaani Mbowe arudishe labda sio yule ninayemjua mimi...
 
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Waingiziwe mara mbili?!

Unadhani kwanini wamepeleka majina haraka haraka?!
 
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Ruzuku haitokani na wabunge
Inatokana na kura za ubunge
 
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Chadema warudishe pesa?????
 
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Mbowe, mchaga arudishe pesa🙄
Hacha utani huo
 
Sasa wakatae pesa halafu chama kinajiendesha vipi?,maana hata zinazopatikana hazitatosha
 
Hata haujui namna ya ruzuku zinavyotolewa,ruzuku inatolewa kwa kura za rais na sio idadi ya wabunge wa chama fulani
 
Kaka Salary, mnachoamini wafuasi wa CHADEMA linapokuja suala la kujenga taasisi financially most likely sio wanachoamini na kupractice genuinely viongozi wakuu wa Chama

The fact kwamba Aida alienda Bungeni kuapa na hakuna kiongozi hata mmoja aliyempigia japo simu tu ya kumuonya kabla na baada ya kuingia ni indicator tosha.

Time will tell maana tarehe 27 Nov 2020 sio mbali. La msingi tu ni ninyi kuwa na akiba ya maneno maana mtarudi tu kutetea maamuzi ya chama vyovyote yatakavyokuwa
Nadhani suala la Aida ni tofauti kabisa na hawa viti maalum. Aida amekwenda bungeni kwa sababu ameshinda uchaguzi ambao chama kimeona ulikuwa batili, hawa viti maalum wamejipeleka bungeni kwa kugushi nyaraka za umma! Serikali kwa kushirikiana na Bunge na NEC wametenda jinai kitu kinachotilia mashaka uadilifu wa taasisi hizi za umma na hasa serikali.
Serikali hii imejidhihirisha kuwa kutenda haki ni matakwa binafsi ya Magufuli ilimradi ananufaika.
 
Ruzuku haitokani na wabunge
Inatokana na kura za ubunge
Sasa unapokeaje ruzuku inayotokana na matokeo haramu Chadema hili game hamtaliweza mmewekwa mtu kati.KATAENI YOTE YATOKANAYO NA UCHAGUZI VINGINEVYO NI USANII TU.KIFUPI MKUBALI YAISHE TUENDELEE NA MAISHA
 
Screenshot_20201126-114633.png


Mwaka 2015 kwenye vuguvugu la Lowassa kuhamia Chadema, Tumaini Makene aliwahi kutuhakikishia kwamba hilo haliwezekani.

Asichokijua, Mbowe na timu yake walikuwa kwenye majadiliano bila kumshirikisha.

Hiyo screenshot, alikuwa anamjibu The Boss, unfortunately Tumaini hajawahi kurudi kuelezea ilikuwaje wakampokea Lowassa. Ila alipunguza kimbelembele cha kukisemea chama mitandaoni kwa mambo asiyo yajua.

Binafsi naamini hili la viti maalumu lina baraka za viongozi wa juu.
 
Mbowe alishaingiziwa kwenye akaunti yake mapema sana.
tatizo mnazindukaga mambo yashakwisha.
 
Kwangu mimi huu naona unaweza kuwa ni mtego unaofuata kwa CHADEMA ambapo chama kinaweza kupewa ruzuku kwa kigezo cha kuwa na wabunge wa viti maalamu katika Bunge hiili la sasa unless utaratibu unaotakiwa kufuata hauruhusu mbinu hii kutumika(unaweka mazingira magumu).

Kwahiyo, kama ni.swala la kuingiziwa tu fedha kwenye akaunti ya chama kulingana na idadi ya wabunge, basi CHADEMA mjiandae kwa hili kwani linaweza tokea wakati wowote ule.

Hata hivyo, ni Imani yangu mtazirudisha hizo fedha iwapo jambo la aina hii litatokea.

Fedha kwa sasa ndio imekuwa silaha ya watu fulani katika juhudi zao za kutaka kuua upinzani na hasa CHADEMA hivyo mjipange kukabiliana na mambo ya aina hii.
Bora ungejikita saizi kuisaidia cc itakayokaa kesho juu ya maamuzi ya Mdee et al, 2020. Alikuja kwa mkwara, mbwembwe nyingi, kejeri, karudi kwa aibu; bora Mbowe angegombea kuliko yule jamaa. This is a worst ever experience cdm mnapitia, na inahitaji busara kubwa sana katika kikao cha kesho, na mkikurupika tu kesho mtakuwa vipandevipande. After all, humo cdm hakuna mfia chama bana, wengi mpo opportunistic tu, magugu yapo mengi sana tena ya kutosha. It require a total overhaul on the current administration, and install new brain, great thinkers.
 
Bora ungejikita saizi kuisaidia cc itakayokaa kesho juu ya maamuzi ya Mdee et al, 2020. Alikuja kwa mkwara, mbwembwe nyingi, kejeri, karudi kwa aibu; bora Mbowe angegombea kuliko yule jamaa. This is a worst ever experience cdm mnapitia, na inahitaji busara kubwa sana katika kikao cha kesho, na mkikurupika tu kesho mtakuwa vipandevipande. After all, humo cdm hakuna mfia chama bana, wengi mpo opportunistic tu, magugu yapo mengi sana tena ya kutosha. It require a total overhaul on the current administration, and install new brain, great thinkers.
I love Tundu Lissu, May the Almighty God bless him.
 
Back
Top Bottom