Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 60
Kila kinachofanyika hapa wao wataendelea kulalamika kwa sababu nia yao ni kuidunisha na kuipondea JF. Walianza kwa maneno mengi tu kuwa imekosa mwelekeo nk bila mafanikio.
Hizi hasira zote na explosion zote hizi zimeanza baada ya mkataba wa Buzwagi kuwekwa hapa. Mambo yakaanza, vioja vikawa vingi kisha wakatulia.
Ilipowekwa mikataba mingine miwili wa Tanesco na Richmonduli ndio wakagundua kuwa JF kuna serious issues zinaendelea kwa hiyo wakatafuta namna ya kuvuruga mambo hapa. Hapo pia wakashindwa.
Hii habari kuwa mikataba zaidi ya madini imevuja ikiwemo ile ya wakati wa JK akiwa madini ndio imewachanganya zaidi na sasa ndio explosions na matusi dhidi ya JF all day long!
Live with it guys, JF is here to stay na mikataba yoooote itawekwa hapa kwa watanzania kuiona kabla haijatafsiriwa kwa kiswahili na kusambazwa bure nchi nzima!
Hizi hasira zote na explosion zote hizi zimeanza baada ya mkataba wa Buzwagi kuwekwa hapa. Mambo yakaanza, vioja vikawa vingi kisha wakatulia.
Ilipowekwa mikataba mingine miwili wa Tanesco na Richmonduli ndio wakagundua kuwa JF kuna serious issues zinaendelea kwa hiyo wakatafuta namna ya kuvuruga mambo hapa. Hapo pia wakashindwa.
Hii habari kuwa mikataba zaidi ya madini imevuja ikiwemo ile ya wakati wa JK akiwa madini ndio imewachanganya zaidi na sasa ndio explosions na matusi dhidi ya JF all day long!
Live with it guys, JF is here to stay na mikataba yoooote itawekwa hapa kwa watanzania kuiona kabla haijatafsiriwa kwa kiswahili na kusambazwa bure nchi nzima!