Kesi ya mauaji Njombe wameshughulikia fasta wakati ya Lissu hadi sasa hajakamatwa hata mtu wa kumsingizia au wa sinema tu kama yule kichaa wa Kova kule KaweInahitajika Subra ya hali ya juu sana kuona mwenzako anafanya kosa halafu haukumiwi wewe kosa lilelile unahukumiwa fastaa UVUMILIVU WAKE HATA MIMI SIUWEZI.
KAFA KADA FASTA WATUHUMIWA WAMEPATIKANA NA DPP KAPROCESS CASE, WENGINE AZORY, SAANANE NA KUPIGWA RISASI LISSU HADI LEO WALE WATU HAWAJAWAHI KUJULIKANA.
DOUBLE STANDARDS.
Hahaha kama ulikuwa hujui kwa serikali hii ya ccm kila mwanachama wa chadema tayari ni mtuhumiwa, wanasubiri kosa wana mkamata mwana chama wa chadema yeyote aliyeko jirani.Inahitajika Subra ya hali ya juu sana kuona mwenzako anafanya kosa halafu haukumiwi wewe kosa lilelile unahukumiwa fastaa UVUMILIVU WAKE HATA MIMI SIUWEZI.
KAFA KADA FASTA WATUHUMIWA WAMEPATIKANA NA DPP KAPROCESS CASE, WENGINE AZORY, SAANANE NA KUPIGWA RISASI LISSU HADI LEO WALE WATU HAWAJAWAHI KUJULIKANA.
DOUBLE STANDARDS.
Ukiiba kuku kwakuwa masoud aliiba pia bila kukamatwa sio sawa. Kazi yako Ni kutoa taarifa polisi na kutoa ushahidi mahakamani dhidi ya masoud ili ahukumiwe badala ya kuiba ukitegemea kutendendewa Kama masoudInahitajika Subra ya hali ya juu sana kuona mwenzako anafanya kosa halafu haukumiwi wewe kosa lilelile unahukumiwa fastaa UVUMILIVU WAKE HATA MIMI SIUWEZI.
KAFA KADA FASTA WATUHUMIWA WAMEPATIKANA NA DPP KAPROCESS CASE, WENGINE AZORY, SAANANE NA KUPIGWA RISASI LISSU HADI LEO WALE WATU HAWAJAWAHI KUJULIKANA.
DOUBLE STANDARDS.