kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kutenda kosa kwakuwa CCM inatenda kosa sio Kinga kwenye adhabu ya kosa ulilotena.
Kama CCM na wagombea wake Kuna kosa la uchaguzi wanalitenda njia sahihi ya kwanza ni kupeleka Tume au kwa msajili kwa maandishi makosa yao. Kama hatua haichukuliwi dhidi ya mlalamikiwa ndio mfikirie kufanya vinginevyo.
Fuateni sheria inavyosema kabla ya kuchukua njia zenu. Makosa mawili hayatengenezi jema moja.
Mkifanya hivyo hata dunia itakuwa shahidi.
Kama CCM na wagombea wake Kuna kosa la uchaguzi wanalitenda njia sahihi ya kwanza ni kupeleka Tume au kwa msajili kwa maandishi makosa yao. Kama hatua haichukuliwi dhidi ya mlalamikiwa ndio mfikirie kufanya vinginevyo.
Fuateni sheria inavyosema kabla ya kuchukua njia zenu. Makosa mawili hayatengenezi jema moja.
Mkifanya hivyo hata dunia itakuwa shahidi.