CHADEMA msipochukua nchi 2025 - basi!

CHADEMA msipochukua nchi 2025 - basi!

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
 
wapiga kura je?mbona huongelei nature yao ilivyo?
ni namna tu ya kuwateka kwa kuwaambia ukweli na uhalisia wa hoja hizo hapo juu. kitakachobaki ni kulinda kura tu. sote tunajua hata Tundu lisu alisumbua sana 2020, alisumbua sana. sema basi tu, alikuwa almanusura achukue nchi.
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Acha kuota mchana mbwisi mkubwa. Hilo li NGO lilishakufa kifo kibaya
 
Tuwe wakweli, chadema watakuwa na wawakilishi wengi bungeni ila hapo juu tutegemee miujiza.
 
Nimeliona sehemu flani.
20230703_183333.jpg
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Ndoto za alinacha na ramli chonganishi.

Kamwe, CCM kuendelea kubakia madarakani haitegemei kupigiwa kura na mwananchi yoyote yule katika uchaguzi wa siasa. Unajidanganya bure na kujisumbua nafsi yako.
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Upinzani ukitaka kuchukua Nchi waanze kuongea na vyombo vya dola. Uwakikishie security baada ya CCM kutoka madarakani, maboresho ya mishahara na marupurupu yao.
 
Autoamaticaly ccm akitoka madarakani na ndoa ya muungano inakufa. Na kingne hakuna mwana ccm anayetaka ccm imfie mikononi mwake. Japo nature ikiamua ni dakika moja
 
Tatizo CHADEMA bado hawajasimama moja kwa moja kwenye itikadi yao, bado wanategemea upepo utakapo elekea ndo wao waende huko.
CHADEMA wangeamua kuwa wapinzani moja kwa moja bila ya kuzunguka zunguka,wangefika mbali zaidi.
 
Back
Top Bottom