CHADEMA msipochukua nchi 2025 - basi!

CHADEMA msipochukua nchi 2025 - basi!

Rais mla rushwa🐒🐒🐒
 
018100094042.JPG
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Tatizo Chadema walimponda magufuri na wakasema wanaoenda na mama..Hivyo wanakubaliana na mama Kwa kila kitu
 
Wako hoi hawawezi hao walamba asali.

Wanaruka ruka tu hata hawajielewi.
 
Mimi ninapenda, walivyojipanga, pole pole wanazunguka hata kwa watu wachache tarartibu, hadi 2025 watakuwa wameteka mioyo ya wengi sana. na social media inawabeba sana itumieni kwa ufasaha.
nahofia CCM kong'oka kwa aibu.unaporuhusu mikutano ya hadhara wakati hauko smart kujibu hoja sijui walifikiria nini.au watakuja kusema kuwa nchi ina wenyewe kama tulivyoambiwa na NAPE kuwa CCM ina wenywe na mwengine akasema wema hawafi .
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Mbeke ya Jaji Mtungi, Dr Mahera, Jaji Mwijage na IGP hawa hawa?
 
Mnazo sababu nyingi sana za kujadiliana na wananchi ili mpate nafasi ya kuongoza nchi,

1. Wizi umerudi woote kama awali, ufisadi serikalini kama kawaida.

2. Uuzwaji wa bandari za bara ni nyundo nzito sana kwa mpinzani wenu, hii pekee inaweza kuwatoa.

3. Mikataba mingi kusainiwa bila watanzania kujua kinachoendelea, kama dubai tunaambiwa ilisainiwa kama thirty something, tumeujua huu mmoja tu, hiyo mingine tusiyoijua itakuwaje?

4. Maisha magumu kwa wananchi, juzi hapa nimemsikia waziri mabula anasema Dodoma watu wasijenge maduka, nikajiuliza, hataki watu wajenge maduka? anataka wasifanye biashara? hivi kuwa na maduka mengi kuna shida gani kwenye nchi inayochipukia uchumi?

Kwa hayo machache, zungukeni mkiwafafanua hoja hizi kwa wananchi, hadi kufikia 2025 mnachukua hii nchi. ukitaka kujua kilichoko mioyoni mwa wananchi walio wengi hata wale wanaojifanya ni chawa, ongelea haya mambo hapa juu, utajua yapo mioyoni mwao.
Mkuu usemalo halina ubishi, kwa hali irivyo sasa hili dude walilo liamsha ninahakika 2025 halitawaacha salama

Njia pekee ni ccm kubadili gire hangani waje na mgombea mwingine nje ya hapo nchi itaandika historia mpyaa
 
Wakiendesha kampen bila kumdis mwenda zake itawapa credit zaidi
 
CHADEMA imeandaliwa imepikwa imikwiva ipo tiyari kuwaongoza watanzania kutoka utumwani mwa CCM.
 
nawashauri chadema, changamkieni fursa, hata wizi kuna siku Mungu huwa anaingilia kati mtu akaiba kwako halafu akarudishia kwako vilevile akifikiri amehifadhi kwake. the Lord will confuse them, watachanganyikiwa kabisa.
 
nahofia CCM kong'oka kwa aibu.unaporuhusu mikutano ya hadhara wakati hauko smart kujibu hoja sijui walifikiria nini.au watakuja kusema kuwa nchi ina wenyewe kama tulivyoambiwa na NAPE kuwa CCM ina wenywe na mwengine akasema wema hawafi .
sasa kama hoja ya DP world unaijibuje hata kama wewe ungekuwa ccm? mimato itakuwa inakutoka tu unazunguruka huna hata la kusema.
 
Tumtumainie Mungu,
wanasema asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu. Watanzania wamejifunza umuhimu wa wabunge wa upinzani, kipindi wapo mle ndani kina sugu, lema, mbowe, tundu, msigwa na wengine palikuwa panachimbika walau. wamekuwepo ccm wote nchi inabaki inaamuliwa kwa mawazo ya kina msukuma na kibajaji. the whole fate of the country ipo mikononi mwa ndiooooooooooooo, na hakuna wa kusema hapana. Mpina amejitahidi weee wapi.
 
Back
Top Bottom