- Thread starter
- #21
Hakuna mitazamo tofauti. Lisu anabainisha mapungufu katika maridhiano. Anabainisha ujanja ujanja wa CCM katika maridhiano. Huko ndiko kutofautiana?Uhuru wa habari shakani.
Kwani mwananchi si wameandika ukweli kuwa Mbowe na Lisu Wana mtazamo tofauti kuhusu maridhiano.
Au nyie hamlioni Hilo?