CHADEMA msipoyakabili/kuyakemea haya magazeti yatawayumbisha wafuasi wenu na kuleta mgawanyiko, yakemeeni

CHADEMA msipoyakabili/kuyakemea haya magazeti yatawayumbisha wafuasi wenu na kuleta mgawanyiko, yakemeeni

Uhuru wa habari shakani.
Kwani mwananchi si wameandika ukweli kuwa Mbowe na Lisu Wana mtazamo tofauti kuhusu maridhiano.
Au nyie hamlioni Hilo?
Hakuna mitazamo tofauti. Lisu anabainisha mapungufu katika maridhiano. Anabainisha ujanja ujanja wa CCM katika maridhiano. Huko ndiko kutofautiana?
 
Mkuu sipingi angalizo lao, lakini kulingana na uhuru wa vyombo vya habari huwezi kuwazuia kuandika wanachotaka.
Very correct! Waandike wanachokitaka KWA RAHA ZAO, LAKINI Waandike ukweli na si uongo. Ukiandika kuwa Lisu alipigwa risasi, ni true fact and you can prove it.
 
Very correct! Waandike wanachokitaka KWA RAHA ZAO, LAKINI Waandike ukweli na si uongo. Ukiandika kuwa Lisu alipigwa risasi, ni true fact and you can prove it.
Mkuu hao waandishi wameshalemazwa na mfumo CCM, anachosema mwenyekiti wao kila mmoja anafuata hata kama haamini. Sasa wanapoona Mbowe na Lisu kwa baadhi ya maeneo wanapishana kauli, kwao ni mgogoro na sio demokrasia.
 
Mtu akisema UONGO unamkemea, ila humkatazi kuandika anachokiamini! Unamkemea asiandike uongo. Unamkemea asitunge uongo akauandika
Uongo upi?

Ukimya wa mbowe tuliustukia mapema tukaanza kupiga kelele humu!!!

CCCM haijawahi kuheshimu maridhiano SUK ni mfano mzuri, hivyo lazima kwenda nao Kwa makini.

Msimamo wa Lisu ndo msimamo wa watz wengi. Ndo mana hawamlipi madai yake sababu wanataka aufyate.

Mbowe alifanya kosa kubwa sana kukubali kwenda Ikulum bila kujadiliana na chama chake kwanza.
 
nimesema wayakemee, sikusema wayakataze wasiandike, elewa mantiki! Mtu akisema uongo unaukanusha. Silence mens consent
Kukemea maana yake nini?! na kwanini yakemewe? au hamtaki Chadema iandikwe tofauti na vile mnavyopenda?

Hicho kichwa cha habari cha gazeti la Mwananchi hakina tatizo, tatizo lipo kwenu kwa mahaba yaliyopitiliza mliyobeba kwa hicho chama.
 
Mbowe alifanya kosa kubwa sana kukubali kwenda Ikulum bila kujadiliana na chama chake kwanza.
Una uhakika hawakujadiliana na chama chake? ndio uongo huo, kuandika hisia.....tena hisia za kuchonganisha watu....
Hakatazwi mtu /gazeti/ kitabu kuandika anachokitaka, lkn kiwe cha ukweli. Hakatazwi mtu kufanya logical analysis, lakini usifanye illogical /misleading analysis of issues, hasa kama wewe ni mtegemewa wa kuandika researched issues.

If a=B and B=C, then A=C. This is a logical deduction that is true, short of that unaandika illogical/misleading conclusion/deduction...
 
yakemewe?
Kukemea UONGO, siyo ukweli ulioandikwa. Ukimpiga Lisu risasi, Mwananchi wakiandika huwezi kuwakemea. Wakiandika kuwa Lisu alijipiga Risasi, lazima uwakemee
 
Mkuu hao waandishi wameshalemazwa na mfumo CCM, anachosema mwenyekiti wao kila mmoja anafuata hata kama haamini. Sasa wanapoona Mbowe na Lisu kwa baadhi ya maeneo wanapishana kauli, kwao ni mgogoro na sio demokrasia.
Kupishana na mwenyekiti hadharani ni Migogoro
 
Una uhakika hawakujadiliana na chama chake? ndio uongo huo, kuandika hisia.....tena hisia za kuchonganisha watu....
Hakatazwi mtu /gazeti/ kitabu kuandika anachokitaka, lkn kiwe cha ukweli. Hakatazwi mtu kufanya logical analysis, lakini usifanye illogical /misleading analysis of issues, hasa kama wewe ni mtegemewa wa kuandika researched issues.

If a=B and B=C, then A=C. This is a logical deduction that is true, short of that unaandika illogical/misleading conclusion/deduction...
Mbowe: Asubuhi Nilikuwa Mfungwa Jioni nikawa Ikulu
 
Hicho kichwa cha habari cha gazeti la Mwananchi hakina tatizo, tatizo lipo kwenu kwa mahaba yaliyopitiliza mliyobeba kwa hicho chama.
Ndio uandishi wa habari wa ukanjanja, kuuza gazeti. Lisu anabainisha mapungufu katika maridhiano, huyu anesema wanapingana/wametofautiana. Kutofautiana siyo dhambi, ila si kweli mpaka leo hii, hawajatofautiana.
 
Kuliko kuyakemea,wangetoka waeleze ukweli wa Mambo ulivyo,kukemea tu si suluhu,miaka ya mwenda zake aliyakemea tukaona kilichotokea,hii ndo democrasia inayotakiwa
 
Mbowe: Asubuhi Nilikuwa Mfungwa Jioni nikawa Ikulu
Ni kweli kwani wakiandika hivyo ni uongo? Ni ukweli mtupu! True fact!
Mbowe yuko kwenye maridhiano, Lisu anakosoa mapungufu anaoyaona kwa mwenendo wa CCM ndani ya maridhiano, hayo ndiyo kutofautiana?
Of course mwananchi limekuwa likiwaandika vibaya chadema tangu aingie magufuli and samia now!
 
Una uhakika hawakujadiliana na chama chake? ndio uongo huo, kuandika hisia.....tena hisia za kuchonganisha watu....
Hakatazwi mtu /gazeti/ kitabu kuandika anachokitaka, lkn kiwe cha ukweli. Hakatazwi mtu kufanya logical analysis, lakini usifanye illogical /misleading analysis of issues, hasa kama wewe ni mtegemewa wa kuandika researched issues.

If a=B and B=C, then A=C. This is a logical deduction that is true, short of that unaandika illogical/misleading conclusion/deduction...
Hotuba zote za Mbowe hakuwahi kusema alifanya kikao, au kuomba ridhaa ya chama kabla ya kwenda Jumba jeupe.

Lete ushahidi kama nimesema uongo.
 
Tukemee kuandika uongo/hisia. Ukiandika UKWELI hakuna atakayekukemea. hata ukiandika positive UONGO utakemewa. Kwamba tanzania ni developed country, utakemewa kwa kuandika uongo ingawa ni "positive" post
 
Back
Top Bottom