Baada ya CHADEMA kutangaza maandamano Jan 24, Mh RC Chalamila nae ametangaza kuwa siku ya tarehe 23 na 24 Januari kuwa siku za usafi utakaofanya na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
Mimi nasema hivyo ni vitisho tu, kanyagieni hapo hapo msinyanyue mguu tupo pamoja na ninyi, maana hata sisi tumechoka kuona yanayoendelea ndani ya Nchi yetu. Na sisi tunahitaji ujumbe uwafikie watawala.
Mkiona ngoma itakuwa ngumu badilisheni mbinu ya maandamano, ikiwezekana muagize kila Kata ifanye maandamano katika eneo lao, viongozi wa CHADEMA wa Kitaifa, kanda mbali mbali, na majibo kitaifa waje wagawanywe waongeze nguvu kwenye kila kata tuone kama hayo maandamano hayatafanyika na kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Nasema tena msitishwe na hivyo vitisho vya MH RC Chalamila aliyelewa madaraka na kutaka kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vibaya, kwenye jambo la msingi kama hilo msihofu tupo pamoja.
Pia soma:
Mimi nasema hivyo ni vitisho tu, kanyagieni hapo hapo msinyanyue mguu tupo pamoja na ninyi, maana hata sisi tumechoka kuona yanayoendelea ndani ya Nchi yetu. Na sisi tunahitaji ujumbe uwafikie watawala.
Mkiona ngoma itakuwa ngumu badilisheni mbinu ya maandamano, ikiwezekana muagize kila Kata ifanye maandamano katika eneo lao, viongozi wa CHADEMA wa Kitaifa, kanda mbali mbali, na majibo kitaifa waje wagawanywe waongeze nguvu kwenye kila kata tuone kama hayo maandamano hayatafanyika na kufanikiwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Nasema tena msitishwe na hivyo vitisho vya MH RC Chalamila aliyelewa madaraka na kutaka kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vibaya, kwenye jambo la msingi kama hilo msihofu tupo pamoja.
Pia soma:
- Chalamila: Sina taarifa za maandamano, atakayejifanya takataka naye atabebwa siku hiyo
- Mbona CHADEMA mnalalamikia zoezi la usafi wakati RC Chalamila hajalaumu maandamano yenu?
- Albert Chalamila: Usafi wa Wanajeshi hautoathiri maandamano ya CHADEMA
- Sina hakika kama RC Chalamila anaweza kuligusa kundi hili katika Maandamano ya CHADEMA
- Tetesi: - Chalamila adaiwa kuhusika na ufutaji wa kipindi Wasafi FM
- Kauli za mkuu wa mkoa Chalamila kuhusu siku ya usafi Januari 24
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Umoja wa Vyama vya Siasa: Hatukubaliani na Maandamano ya CHADEMA, walijitenga nasi, sasa hivi wanatushirikisha
- Abdul Mluya: Sisi tulishapigwa, kama CHADEMA wanataka maandamano wajipange na familia zao mbele wapate ladha yake
- Ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA kufanya maandalizi ya maandamano Arusha wakati wananchi na mkoa upo kwenye majonzi na simanzi ya kupoteza wapendwa wao
- Hivi vile vyama 13 vya upinzani, vilivyoamua kuungana na CCM, kuwapinga Chadema, wanajisikiaje hivi sasa baada ya kuona maandamano hayo yamefanikiwa?
- Kitatokea nini endapo Vyama Vingine vya Upinzani vitajiunga na maandamano ya CHADEMA?
- Je, CHADEMA wataahirisha maandamano kufuatia kifo cha Edward Lowassa?
- Dkt. Slaa athibitisha kushiriki maandamano ya CHADEMA jijini Mwanza
- RC wa MBEYA atuhumiwa kuhujumu maandamano ya CHADEMA Mbeya
- Mwanza: Wananchi Wakesha kwenye ofisi za CHADEMA ili kuwahi Maandamano
- CHADEMA yaahirisha Maandamano ya Karatu kwa sababu ya Mafuriko
- Polisi watia fora maandamano CHADEMA: Polisi wanaanza kuelewa kuwa upinzani siyo uadui!
- Chadema: Sasa Maandamano yatakuwa Utamaduni wetu wa maisha
- Wenje na Chief wanaongelea makubaliano chadema na polisi juu ya maandamano yao
- Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024
- CHADEMA Diaspora kufanya Maandamano makubwa Ulaya na Marekani muda wowote kuanzia sasa
- Joti anayapinga maandamano ya CHADEMA?
- Maandamano ya Chadema yaanza kuiunguza CCM, Viongozi wake waweweseka
- Kwanini CHADEMA watashindwa mapema kuelekea 2025 hata baada ya maandamano?
- CHADEMA kuwa chama cha Maandamano!
- Maandamano CHADEMA yasogezwa mbele
- Polisi kuyapiga marufuku maandamano ya chadema!!
- EFM wakejeli maandamano ya CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA ni jogging hayana impact kwa mtawala
- Maandamano ya CHADEMA yamekosa umuhimu, mvuto na ushawishi
- CHADEMA tafakarini kama maandamano ya Februari 15 ni sahihi
- Hivi waratibu wa maandamano ni CCM au CHADEMA, mbona CCM wanayaongelea sana?