Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Ndio uwaite wasukuma kuwa ni gang? Yaani majambazi?Marehemu ni marehemu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uwaite wasukuma kuwa ni gang? Yaani majambazi?Marehemu ni marehemu tu
Mnatafuta sababu za uchonganishi?Yule ni wa kwenu.Mumuelezee ninyi!Hili la Jiwe mtalikwepa tuu
Impact ya "maliemu" ni ipi kwa uhai wa wengine?Halafu,si kanda yote ya ziwa.Misukule wake wanajulikana wapo wapi na wapi!Usijumlishe wote.Kanda ya Ziwa bila Magufuli ni bora usiende kuongea chochote.
Wewe kajamba nani maskini wa kutupwa utajulia wapi?Impact ya "maliemu" ni ipi kwa uhai wa wengine?Halafu,si kanda yote ya ziwa.Misukule wake wanajulikana wapo wapi na wapi!Usijumlishe wote.
Tungekuwa tunaoneshana uchumi wetu mbona ingekuwa vurugu!Weye bakia na ushuzi wako wa ngomani ujijambie mwenyewe.😜😜😜😜Wewe kajamba nani maskini wa kutupwa utajulia wapi?
Huna uchumi wowote wewe. Mawazo yako yanaakisi ufukara ulionao.Tungekuwa tunaoneshana uchumi wetu mbona ingekuwa vurugu!Weye bakia na ushuzi wako wa ngomani ujijambie mwenyewe.😜😜😜😜
Acha utoto dogo.Kwa hiyo unataka tubishane?Hebu kauze baa huko.Huna uchumi wowote wewe. Mawazo yako yanaakisi ufukara ulionao.
Pili kuniita dogo ni dalili ya ushamba na umaskini. Huna pesa wewe.Acha utoto dogo.Kwa hiyo unataka tubishane?Hebu kauze baa huko.
Dogo,dogo,dogooo!Acha utoto.Sijibizani na mtoto tena.Pili kuniita dogo ni dalili ya ushamba na umaskini. Huna pesa wewe.
We mshamba tu. Prove hapa kama unapesa. Wewe ni chawa siku zote. Na hutokaa umilki vitu vya maana.Dogo,dogo,dogooo!Acha utoto.Sijibizani na mtoto tena.
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜We mshamba tu. Prove hapa kama unapesa. Wewe ni chawa siku zote. Na hutokaa umilki vitu vya maana.
Huna hela wewe chawa. 🤣 🤣 🤣 🤣😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜Huna hela wewe chawa. 🤣 🤣 🤣 🤣
Baada ya kuwa chawa utakuwa kunguni😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
Kunywa maji na nyomi hill LA DJKelele zote kumbe Kanda ya ziwa mko million 16 ilihali nchi Ina watu million 60. Alafu Kanda ya ziwa sio wasukuma pekee mfano Mara na Kagera maeneo ya upinzani hata 2015 yalimkataa JPM so usiwarundike na wasukuma. Kingine huwezi shinda kwa kutegemea 25% ya kanda ya ziwa ilihali Kanda zingine Zina 75% combined.
Mnaikuza sana Kanda ya ziwa kuliko uhalisia hivi hujiulizi upinzani ulipataje 42% 2015 If all haikuambulia kitu Kanda ya ziwa?
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜Baada ya kuwa chawa utakuwa kunguni
Sababu ya EL effect na wakati huo huo CDM ilikuwa na nguvu hasa Mwanza.Baada ya JPM kuwaonyesha nini maana ya uongozi Kanda ya Ziwa 2020 huko huko Kanda ya Ziwa uhalisia ulijionyesha.Mnaikuza sana Kanda ya ziwa kuliko uhalisia hivi hujiulizi upinzani ulipataje 42% 2015 If all haikuambulia kitu Kanda ya ziwa?
Hoja yangu ni kwamba kama upinzani ulipata 42% bila Kanda ya ziwa itakuwaje 2025 ambapo mgombea wa CCM sio tu si wa Kanda ya ziwa ila sio mTanganyika kabisa!!Sababu ya EL effect na wakati huo huo CDM ilikuwa na nguvu hasa Mwanza.Baada ya JPM kuwaonyesha nini maana ya uongozi Kanda ya Ziwa 2020 huko huko Kanda ya Ziwa uhalisia ulijionyesha.