Pre GE2025 CHADEMA mthibitishe Tundu Lissu kugombea Urais 2025 ili wapiga kura tujiandikishe kwenye daftari la kudumu

Pre GE2025 CHADEMA mthibitishe Tundu Lissu kugombea Urais 2025 ili wapiga kura tujiandikishe kwenye daftari la kudumu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Londonboi

Member
Joined
May 5, 2024
Posts
40
Reaction score
56
Ki ukweli kutokana na uhuni unaofanyika kwenye uchaguzi mkuu hasa wizi wa kura nimeapa kutokuja kupiga kura tena.

Mimi nimpenda demokrasia kwamba napenda nione nchi hii inakuwa na utaratibu mzuri kuruhusu hata upinzani kuongoza nchi.

Kwa mfumo huu wa uchaguzi naona Tundu Lissu ana uwezo wa kupambana na kila hujuma zinazoweza kuratibiwa na chama tawala.

Kiongozi mkuu Mbowe naona yeye asapoti Tundu Lissu kwenye hiki kinyang'anyiro cha urais kwa sababu siasa za jino kwa jino naona zimeshamtupa mkono. Pia tuhuma za ufisadi na kulambishwa asali zinamuondolea sifa ya kuaminika kwa wapinzani naona anaweza kukubali kuwapa ushindi ccm kirahisi sana.

Kwa nafasi ya mgombea mwenza wa CHADEMA napendekeza, apitishwe MMAMA mmoja wa kiislamu ili kubalasi upinzani kutoka kwa wananchi wapiga kura kwa sababu najua hiyo ndio kete ccm watakayoitumia sana kwenye uchaguzi wa 2025.

Hivyo mchakato wa kumpata Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ufanyike haraka ili wananchi tujue tunajiandikisha kupiga kura au lah. Siwezi kwenda kuwapigia kura watu wanaopiga makofi tu bungeni
 
Ki ukweli kutokana na uhuni unaofanyika kwenye uchaguzi mkuu hasa wizi wa kura nimeapa kutokuja kupiga kura tena.

Mimi nimpenda demokrasia kwamba napenda nione nchi hii inakuwa na utaratibu mzuri kuruhusu hata upinzani kuongoza nchi.

Kwa mfumo huu wa uchaguzi naona Tundu Lissu ana uwezo wa kupambana na kila hujuma zinazoweza kuratibiwa na chama tawala.

Kiongozi mkuu Mbowe naona yeye asapoti Tundu Lissu kwenye hiki kinyang'anyiro cha urais kwa sababu siasa za jino kwa jino naona zimeshamtupa mkono. Pia tuhuma za ufisadi na kulambishwa asali zinamuondolea sifa ya kuaminika kwa wapinzani naona anaweza kukubali kuwapa ushindi ccm kirahisi sana.

Kwa nafasi ya mgombea mwenza wa CHADEMA napendekeza, apitishwe MMAMA mmoja wa kiislamu ili kubalasi upinzani kutoka kwa wananchi wapiga kura kwa sababu najua hiyo ndio kete ccm watakayoitumia sana kwenye uchaguzi wa 2025.

Hivyo mchakato wa kumpata Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ufanyike haraka ili wananchi tujue tunajiandikisha kupiga kura au lah. Siwezi kwenda kuwapigia kura watu wanaopiga makofi tu bungeni
Tufanye Tundu Lisu ameshinda Urais, baada ya muda Mungu akampenda zaidi, kwahiyo limama la kiislamu ndio liapishwe kuwa Rais?

Hivi bado hamjajifunza kitu?
 
Ki ukweli kutokana na uhuni unaofanyika kwenye uchaguzi mkuu hasa wizi wa kura nimeapa kutokuja kupiga kura tena.

Mimi nimpenda demokrasia kwamba napenda nione nchi hii inakuwa na utaratibu mzuri kuruhusu hata upinzani kuongoza nchi.

Kwa mfumo huu wa uchaguzi naona Tundu Lissu ana uwezo wa kupambana na kila hujuma zinazoweza kuratibiwa na chama tawala.

Kiongozi mkuu Mbowe naona yeye asapoti Tundu Lissu kwenye hiki kinyang'anyiro cha urais kwa sababu siasa za jino kwa jino naona zimeshamtupa mkono. Pia tuhuma za ufisadi na kulambishwa asali zinamuondolea sifa ya kuaminika kwa wapinzani naona anaweza kukubali kuwapa ushindi ccm kirahisi sana.

Kwa nafasi ya mgombea mwenza wa CHADEMA napendekeza, apitishwe MMAMA mmoja wa kiislamu ili kubalasi upinzani kutoka kwa wananchi wapiga kura kwa sababu najua hiyo ndio kete ccm watakayoitumia sana kwenye uchaguzi wa 2025.

Hivyo mchakato wa kumpata Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ufanyike haraka ili wananchi tujue tunajiandikisha kupiga kura au lah. Siwezi kwenda kuwapigia kura watu wanaopiga makofi tu bungeni
Mwakani uchaguzi ukifanyika ccm watapigwa shoo ya kibabe mpaka wachanganyikiwe, Mgombea urais ndani ya chama ni mchakato so usiipangie nini chama kitafanya , binafsi nami natangaza nia ya kugombea Urais pitia chama changu cha Chadema mbwai mbwai ili nikipata ridhaa ya chama niwapige shoo ccm mpaka wajute kuzaliwa , na uwaziri mkuu nitampa DC WA KIMATAIFA , ila ndugu Lissu akipitishwa sitogombea ila nitashiriki kikamilifu kuwapiga shoo wapinzani (ccm) mpaka wajute

Rafiki wa ihali wa DC wa kimataifa
 
Ki ukweli kutokana na uhuni unaofanyika kwenye uchaguzi mkuu hasa wizi wa kura nimeapa kutokuja kupiga kura tena.

Mimi nimpenda demokrasia kwamba napenda nione nchi hii inakuwa na utaratibu mzuri kuruhusu hata upinzani kuongoza nchi.

Kwa mfumo huu wa uchaguzi naona Tundu Lissu ana uwezo wa kupambana na kila hujuma zinazoweza kuratibiwa na chama tawala.

Kiongozi mkuu Mbowe naona yeye asapoti Tundu Lissu kwenye hiki kinyang'anyiro cha urais kwa sababu siasa za jino kwa jino naona zimeshamtupa mkono. Pia tuhuma za ufisadi na kulambishwa asali zinamuondolea sifa ya kuaminika kwa wapinzani naona anaweza kukubali kuwapa ushindi ccm kirahisi sana.

Kwa nafasi ya mgombea mwenza wa CHADEMA napendekeza, apitishwe MMAMA mmoja wa kiislamu ili kubalasi upinzani kutoka kwa wananchi wapiga kura kwa sababu najua hiyo ndio kete ccm watakayoitumia sana kwenye uchaguzi wa 2025.

Hivyo mchakato wa kumpata Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA ufanyike haraka ili wananchi tujue tunajiandikisha kupiga kura au lah. Siwezi kwenda kuwapigia kura watu wanaopiga makofi tu bungeni
Sawa
 
Back
Top Bottom