CHADEMA mnatakiwa kueleweka kwa wapiga kura wako Tanzania sio balozi au jumuiya ya kimataifa au vyombo vya habari vya kimataifa mnatakiwa kueleweka zaidi kwa wapiga kura walioko Tanzania sio Wamarekani, wabelgiji nk au mabalozi wa nchi zao au vyombo vya habari vya kimataifa hawapigi kura hao