CHADEMA muwe mfano wa kuheshimu Demokrasia

CHADEMA muwe mfano wa kuheshimu Demokrasia

Hiyo ofisi pamoja na ofisi ya NEC ni upuuzi mtupu. Wamekuwa chanzo cha matatizo. Ni wanafiki wakubwa. Hii ofisi, kwa unafiki inaofanya, ni aheti ingefutwa, ni hasara, haina faida kwa yeyote. Hizi ofisi mbili zimekuwa kama idara za CCM.

Ujumbe ni sahihi, lakini hawana credibility ya kutoa kauli hiyo. Ni sawa na jambazi la kutumia silaha liwakusanye watoto wanaodokoa uji, liwaambie watoto kuwa wawe waaminifu waache udokozi wa uji.

Na asiwe mnafiki, aeleze wazi ni chama gani hakina demokrasia ndani yake. Kama ana ubavu aitaje CCM, kuwa hairuhusu wagombea wengine wakati Rais aliyepo madarakani anapogombea. Au awaulize kwa nini Rais ni lazjma awe mwenyekiti wa Chama huku wengine wakiambiwa hawatakiwi kuwa na kofia ya chama na Serikali.
 
Miaka 30 Mbowe akiwa mwenyekiti

Japo umesema uwongo, lakini hata kama ingekuwa hivyo, kuna tatizo gani? Amevunja katiba ya chama chao? Wanachama wa CHADEMA wanaliona hilo ni tatizo au faraja?

Umekwishawahi kuchukua muda kuona mambo ya kijinga, ya hatari na kiharamia ambayo ofisi hiyo ya msajili wa vyama vya siasa imekuwa ikishiriki?
 
Back
Top Bottom