Chadema mwisho wenu ulikuwa ni pale mlipoanza kuugeuza ushetani kuwa umalaika

Chadema mwisho wenu ulikuwa ni pale mlipoanza kuugeuza ushetani kuwa umalaika

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Sina. Shaka na uwezo wa kujenga hoja kwa bwana lissu kwangu ni mmoja wa wanasiasa bora wa chache wa dunia ninaowakubali na kuwaheshimu mbowe akiwa mmoja wapo.

Wanachadema mlianza kupoteza ladha pale mlipoanza kuugeuza ushetani wa kipindi chote mlichokuwa mnaupinga lakini ghafra sana ule ushetani mliokuwa mnaupinga mkaugeuza na kuupamba then mkataka ule ule ushetani kama mlivyokuwa mnajiupinga mwaka 2007 ambao ulipelekea mmoja wa watu kuachia ngazi mwaka 2015 ukawa Frontline kutaka kuchukua nchi.

Kuna watu wengine ni wanachadema hawana cognitive reason kama yule bwana mwandishi wa vitabu wao ni bendera fuata upepo but all in all mbowe Amistay strong for almost 30 year kiukweli yeye ni shujaa wa mapambano.
 
Ushetani gani? Hebuu utaje kwani tuujadili.
 
Sina. Shaka na uwezo wa kujenga hoja kwa bwana lissu kwangu ni mmoja wa wanasiasa bora wa chache wa dunia ninaowakubali na kuwaheshimu mbowe akiwa mmoja wapo.

Wanachadema mlianza kupoteza ladha pale mlipoanza kuugeuza ushetani wa kipindi chote mlichokuwa mnaupinga lakini ghafra sana ule ushetani mliokuwa mnaupinga mkaugeuza na kuupamba then mkataka ule ule ushetani kama mlivyokuwa mnajiupinga mwaka 2007 ambao ulipelekea mmoja wa watu kuachia ngazi mwaka 2015 ukawa Frontline kutaka kuchukua nchi.

Kuna watu wengine ni wanachadema hawana cognitive reason kama yule bwana mwandishi wa vitabu wao ni bendera fuata upepo but all in all mbowe Amistay strong for almost 30 year kiukweli yeye ni shujaa wa mapambano.
hofuu ya nini, si utulie tuuu. yajayo yanafurahisaha
 
Binti bora ungekaa kimya kuficha uhayawani wako!
Hata ulichoandika hueleweki kwa uhayawani!
Muda uliotumia kuandika huu utumbo ungemtafuta bwana akununulie chips dume kuua harufu mbaya ya mdomo wako!
 
Nyuzi za chadema zinazidi kuwa nyingi balaa! Kwani ina nini hii chadema?
 
Nimetokea kwenye k yko
.....
FB_IMG_1612012763868.jpg
 
Sina. Shaka na uwezo wa kujenga hoja kwa bwana lissu kwangu ni mmoja wa wanasiasa bora wa chache wa dunia ninaowakubali na kuwaheshimu mbowe akiwa mmoja wapo.

Wanachadema mlianza kupoteza ladha pale mlipoanza kuugeuza ushetani wa kipindi chote mlichokuwa mnaupinga lakini ghafra sana ule ushetani mliokuwa mnaupinga mkaugeuza na kuupamba then mkataka ule ule ushetani kama mlivyokuwa mnajiupinga mwaka 2007 ambao ulipelekea mmoja wa watu kuachia ngazi mwaka 2015 ukawa Frontline kutaka kuchukua nchi.

Kuna watu wengine ni wanachadema hawana cognitive reason kama yule bwana mwandishi wa vitabu wao ni bendera fuata upepo but all in all mbowe Amistay strong for almost 30 year kiukweli yeye ni shujaa wa mapambano.
-77833896%20(4).jpg
 
Back
Top Bottom