CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

CHADEMA: Mzee Ali Kibao ametekwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama akiwa kwenye basi. Usalama wa Taifa waeleze alipo

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akizungumza na wanahabari mchana wa siku ya Jumamosi Septemba 7, 2024 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam amesema kuwa...

“Kwa aina ya bunduki walizokuwa nazo hao watu waliokuja kumchukua (Mzee Ally Mohamed Kibao ambaye ni mjumbe wa sekretarieti ya chama taifa (CHADEMA)) kwenye basi si bunduki ambazo kwa kawaida hutumiwa na Jeshi la Polisi, ni bunduki ambazo hutumiwa na Idara ya Usalama wa Taifa.

Wakati tukifuatilia taarifa zaidi na wakati tukijiandaa kuchukua hatua zaidi kuja kwenye vyombo vya habari kueleza tu kwamba kiongozi wetu na mwenzetu ametekwa na vyombo vya ulinzi na usalama, nitoe wito kwa IGP wa Jeshi la Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi kueleza iwapo Ally Kibao ametekwa na Jeshi la Polisi, waeleze sababu za kumteka, yupo wapi, na ana hali gani.

Kwa kawaida huwa tunajizuia sana kuzungumza kuhusu Idara ya Usalama wa Taifa lakini kwa sheria ya idara ya Usalama wa taifa kuna mtu mmoja tunaweza tukamtaja na tunaweza kumzungumza, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa natoa wito kwake ajitokeze aeleze iwapo idara ya usalama wa taifa imemteka Mzee Ally Mohammed Kibao, yuko wapi?

Pia soma


- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
 
ukute mzee alijificha kwenye kichaka cha uongozi chadema kumbe mzee mafia au kazurumu alikuwa anakimbia
Kuzurumu, au uwe jambazi hata kama ni gaidi bado sheria za ukamataji zipo pale pale mbona mashehe kibao walikamatwa wamekaa ndani miaka kibao lakini walipo kamatwa walijulikana wamepelekwa kituo gani na wamekamatwa kwa kosa gani. Huu ukamataji wa staili hii utakuja kuleta maafa siku moja. Kwa sabubu watu wakijua kuwa haea hawatu wakikamata watu kwa staili hii hawawapeleki POLISI watu watakuja kuleta resistance to siku moja na ndipo hapo maafa yatatoke. Aina hii ya ukamataji alikuwa anaifanya Idi Amini Dada rais wa uganda na ulikuwa ukikamatwa kwa staili hii hurudi
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akizungumza na wanahabari mchana wa siku ya Jumamosi Septemba 7, 2024 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam amesema kuwa...

“Kwa aina ya bunduki walizokuwa nazo hao watu waliokuja kumchukua (Mzee Ally Mohamed Kibao ambaye ni mjumbe wa sekretarieti ya chama taifa (CHADEMA)) kwenye basi si bunduki ambazo kwa kawaida hutumiwa na Jeshi la Polisi, ni bunduki ambazo hutumiwa na Idara ya Usalama wa Taifa.

Wakati tukifuatilia taarifa zaidi na wakati tukijiandaa kuchukua hatua zaidi kuja kwenye vyombo vya habari kueleza tu kwamba kiongozi wetu na mwenzetu ametekwa na vyombo vya ulinzi na usalama, nitoe wito kwa IGP wa Jeshi la Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi kueleza iwapo Ally Kibao ametekwa na Jeshi la Polisi, waeleze sababu za kumteka, yupo wapi, na ana hali gani.

Kwa kawaida huwa tunajizuia sana kuzungumza kuhusu Idara ya Usalama wa Taifa lakini kwa sheria ya idara ya Usalama wa taifa kuna mtu mmoja tunaweza tukamtaja na tunaweza kumzungumza, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa natoa wito kwake ajitokeze aeleze iwapo idara ya usalama wa taifa imemteka Mzee Ally Mohammed Kibao, yuko wapi?

Pia soma > John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa
CHADEMA bado tu hamjazinduka kutoka usingizini?
 
Hii ni mbaya, mama kaona mwaka mmoja kabla ya uchaguzi, strategy ni kuteka wapinzani...hovyo.
 
Watu wanatekwa hovyo kila siku halafu wote ni wanachama wa Chadema pekee, hii tabia inafanywa makusudi na polisi kwa maelezo maalum, tusipoamua kulaani huu ujinga kwa vitendo wataendelea kutuchezea kama kuku.
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika akizungumza na wanahabari mchana wa siku ya Jumamosi Septemba 7, 2024 Makao Makuu ya CHADEMA, Dar es Salaam amesema kuwa...

“Kwa aina ya bunduki walizokuwa nazo hao watu waliokuja kumchukua (Mzee Ally Mohamed Kibao ambaye ni mjumbe wa sekretarieti ya chama taifa (CHADEMA)) kwenye basi si bunduki ambazo kwa kawaida hutumiwa na Jeshi la Polisi, ni bunduki ambazo hutumiwa na Idara ya Usalama wa Taifa.

Wakati tukifuatilia taarifa zaidi na wakati tukijiandaa kuchukua hatua zaidi kuja kwenye vyombo vya habari kueleza tu kwamba kiongozi wetu na mwenzetu ametekwa na vyombo vya ulinzi na usalama, nitoe wito kwa IGP wa Jeshi la Polisi Mkuu wa Jeshi la Polisi kueleza iwapo Ally Kibao ametekwa na Jeshi la Polisi, waeleze sababu za kumteka, yupo wapi, na ana hali gani.

Kwa kawaida huwa tunajizuia sana kuzungumza kuhusu Idara ya Usalama wa Taifa lakini kwa sheria ya idara ya Usalama wa taifa kuna mtu mmoja tunaweza tukamtaja na tunaweza kumzungumza, Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa natoa wito kwake ajitokeze aeleze iwapo idara ya usalama wa taifa imemteka Mzee Ally Mohammed Kibao, yuko wapi?

Pia soma > John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa
Myika mtalia Lia mpaka lini?
Au mwenyekiti wenu anafurahia hii Hali? Maana hatumwelewe kabisa

Hii si ndio chance ya dhahabu kupindua meza kwa kuwa sababu ipo
Wazi kabisa

Itisheni maandamano yasiyokoma wananchi tutawaunga mkono

Watu wenu wataendelea kutekwa hadi lini nyie mpo kwenye press tu

Huu ni wakati wa action mungu kawatia upofu maadili wa taifaili tupate sababu ya kuwafurusha inabidi tuandamane yatotokee mapinduzi ebo
 
Hii si ndio chance ya dhahabu kupindua meza kwa kuwa sababu ipo
Wazi kabisa

Itisheni maandamano yasiyokoma wananchi tutawaunga mkono

Huu ni wakati wa action mungu kawatia upofu maadili wa taifaili tupate sababu ya kuwafurusha inabidi tuandamane yatotokee mapinduzi ebo
Kumbe kuna watu hamuwajui Watanzania, sisi sio watu wa kihivyo!. Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?

P
 
Back
Top Bottom