johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hii Unyakuo wa Bwana wetu Yesu Kristo yawezekana ulishapita Sisi wala hatuna habari bado tunamsubiri tu
Yaani Vyama vilivyopata vijiji, Vitongoji na Mitaa vinalia Uchaguzi haukuwa huru Vyama vingine 14 vimepata 0% vimefanya na Sikukuu Uchaguzi ulikuwa Huru na Haki na vyote hivi ni Kambi ya Upinzani
Yawezekana siasa zetu bado ni za Level ya Chekechea 😂
Kwako Ustaadh THE BIG SHOW
Yaani Vyama vilivyopata vijiji, Vitongoji na Mitaa vinalia Uchaguzi haukuwa huru Vyama vingine 14 vimepata 0% vimefanya na Sikukuu Uchaguzi ulikuwa Huru na Haki na vyote hivi ni Kambi ya Upinzani
Yawezekana siasa zetu bado ni za Level ya Chekechea 😂
Kwako Ustaadh THE BIG SHOW