Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Sure nyani wananafuu aseeMkuu unawachukulia poa sana nyani, fuatilia nyani huwa wanakubali kuongozwa na kiongozi wa namna ganiš¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure nyani wananafuu aseeMkuu unawachukulia poa sana nyani, fuatilia nyani huwa wanakubali kuongozwa na kiongozi wa namna ganiš¤
Matumizi ya ndom na nyeto yangeepusha huu upumbavu unaoandikaHii Unyakuo wa Bwana wetu Yesu Kristo yawezekana ulishapita Sisi wala hatuna habari bado tunamsubiri tu
Yaani Vyama vilivyopata vijiji, Vitongoji na Mitaa vinalia Uchaguzi haukuwa huru Vyama vingine 14 vimepata 0% vimefanya na Sikukuu Uchaguzi ulikuwa Huru na Haki na vyote hivi ni Kambi ya Upinzani
Yawezekana siasa zetu bado ni za Level ya Chekechea š
Kwako Ustaadh THE BIG SHOW
Kwani nyie mrishiriki nini?Mzee mzima huoni hata aibu?
Huo upuuzi uliofanyika wa kupoteza pesa za walipa kodi unasema ulikuwa uchaguzi?
Haitandoa huo ushindi wa 0.0771 mliopata hapo MikocheniMatumizi ya ndom na nyeto yangeepusha huu upumbavu unaoandika
Mkuu huko kwetu moshi , nyumbani kwetu ni maeneo ya mwisho kabisa ya makazi ya watu halafu ndio unaingia msitu wa Kilimanjaro.Sure nyani wananafuu asee
Unavyosema "nyie" unamaanisha kina nani?Kwani nyie mrishiriki nini?
CCM ni wajinga sn nyani wana nafuuMkuu huko kwetu moshi , nyumbani kwetu ni maeneo ya mwisho kabisa ya makazi ya watu halafu ndio unaingia msitu wa Kilimanjaro.
sasa kuna usumbufu mkubwa wa nyani kwenye mazao ya watu ,hauwezi amini kiongozi wa nyani alikua na mipango madhubuti kuliko binadamu.
Namna gani ya kukwepa mitego , na kuiba mazao pasipo usumbufu .
Sawa chawa mwenye upumbavu. Mitaa yote miundo mbinu mibovu ila wanarudi matakataka yale yale. Nothing newHaitandoa huo ushindi wa 0.0771 mliopata hapo Mikocheni