Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

hata kuibia unashiinfwa? Hapatatizo liko. Wapi mbona unatokwa na povu kohivp?. Jifunze kutafsiri maagizo upunguze. Udivision 5

pingine ujamsoma vyema lissu na dr slaa.

Mkuu hizi kashifa zako hazini yumbishi kabisa.

Tudulissu anasema zitto anaendelea kuwa mwana chama kwa sababu ya mahakama tuu.

Ukimsoma hapo vyema utagundua amesema kuwa walisha mjadili zitto na kumfukuza. Soma kwa makini hizi kejeli si chochote kwangu.
 
Chadema obviously walikuwa wamejipanga kumvua Zitto uanachama na wamezuiwa na mahakama dakika za mwisho....Walilolifanya ni kuchukua tahadhari based on this new development i.e. hawawezi kumfukuza kwa sababu ya mahakama, lakini inabidi wamwekee restrictions kwa kadri wanavyoweza (kwani obviously anaweza akafanya uharibifu zaidi kwa sababu naye anajua anaondoka).....Sasa kama wewe hizo restrictions (ambazo hajawekewa yeye), ila CDM imeshawishi wanachama wake wengine kutohudhuria mikutano yake, wewe ndio unaita wamemjadili na kumvua uanachama endelea kuamini hivyo !

Hata hivyo kama unasema unasema CDM wamemjadili na kumvua uanachama....mahakama itahitaji official doc. au official statement inayoonyesha wamemvua uanachama kama unavyodai.....Itakuwa ni kituko mahakamani ukaibuka ukasema kwamba proof ni kuwashawishi wanachadema wengine wasihudhurie mikutano yake.....

Nadhani kwa hili hatutakubalina, hivyo naomba tukubaliane kutokubalina............


 
Upuuzi Mtupu!!!!! Dah!!!!! SMDH!!!!

Post nyingine bhana!Aarrgghh,kwani ni lazima?by the way umetekeleza kazi ya leo ok wahi B7 yako lumumba.
 
Mimi kwa mtazamo wangu,sioni namna gani Chadema imekiuka agizo la mahakama la kutojadili uanachama wa Zitto.

Kwa kuwa kilichoagizwa na mahakama ni kutojadili uanachama wa Zitto,ndiyo maana waliotimuliwa uanachama wa Chadema ni Dr Kitilya Mkumbo na Samson Mwigamba,na Zitto uanachama wake umebaki pale pale,ingawa hao watatu ndiyo waliokuwa na zile ID za MM, M1,na M2.

Kwa maana hiyo kama Chadema ingetaka kupuuzia amri ya mahakama, ZZK naye jana angekuwa keshatolewa kwa kadi nyekundu!!

Kuhusu kauli ya Dr Slaa kusema kuwa Zitto kwa sasa haruhusiwi kuitisha mikutano ya kwa jina la CDM,naamini yupo sahihi kwa asilimia 100,kwa sababu CC ya Chadema ndiyo chombo cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya chama,na kwa kuwa chombo hicho kilishamvua nyadhifa zote ndani ya CDM,na kwa kuwa Zitto kaamua kulipeleka shauri lake mahakamani,maamuzi ya CC ya kumvua nyadhifa zote ndani ya CDM yabaendelea kuwa halali,hadi pale mahakama itakapoamua vinginevyo kutokana na shauri alilololipeleka ZZK mahakamani hapo!
 
Last edited by a moderator:
Atakayetimuliwa CHAMANI atakuwa ndo failure

Vice Verse is True that atakayebaki CHAMANI ndio mshindi???

Sidhani kama uko sahihi kama mtazamo wako ndio huu. Mimi nadhani tulipaswa hapa tubishane kuwa Je ni halali watu kuandaa mkakati wa ushindi ndani ya chama au hapana? maana yake kama chama kitafika kitakubali kuwa wanachama wanaotaka kumpinga mwenyekiti wako huru kujiandaa na kufanya hivyo basi tunasema kweli chama chetu kina nia ya dhati ya kukuza na kustawisha demokrasia na kama KK itapiga chini mtu yeyeyote kuanza mkakati wa kuchukua mdaraka basi tunasema chama chetu ni Conservative.
 
Hahahahahaha lol!!!! Mambo ya ndani ya CHADEMA yanakuhusu nini!? Unatumia nguvu nyingi sana kumtetea huyu fisadi, ndio ameshafukuzwa rasmi uanachama wake umebaki kupitia mahakama na mahakama hata siku moja haiwezi kukilazimisha chama chochote cha siasa nchini kuendelea kuwa na mwanachama ambaye hatakiwi na chama hicho.

yani Tundu Lissu anasema zitto ni mwana chama lakini papo hapo tamko lao linaonesha haki za zitto kama mwana chama wa chadema amepokonywa.

Ni wazi wameujadili uanachama wa zitto na hapo ndipo walipo kahidi amri ya mahakama.
 
Acha uzuzu wewe.Zito kabwe hakujadiliwa kwenye cc ya chadema.Acha upotoshaji.

Yametimia; wapenzi wa ZZK yawapasa kukubali matokeo, hamkumshauri vizuri .Ni chungu kumeza lakini ndio hali halisi.Muda wa ku team up na kujenga chama kipya bado upo msaidiane kuanzisha wenzenu hawawataki wameshtuka.Kesho kitaeleweka mbivu na mbichi
 
Tatizo la Watanzania ndo maana hatuna maendeleo, Mahakama ilizuia kujadili uanachama wa Zito na si matendo ya Zito katika Chama, Uanachama una maana ya kuendelea kuwa mwanachama au kuondolewa kwenye chama . kitu ambacho CHADEMA haikufanya. Hii haizuii kumchambua Zito kama mwenzao katika matendo na kukusanya ushahidi kuhusu mwenendo wake ili baada ya kesi kwisha uamuzi ufikiwe kukiwa na ushahidi madhubuti dhidi yake kama huu wa Mkono.
 
hebu niambie maneno aliyo sema dr slaa na lissu bado yana maanisha kuwa zitto bado ni mwanachama kutokana kuwa na shauri mahakamani?

Ukiyasoma maneno ya hao wawili vema utagundua kuwa zitto amevuliwa uanachama leo pamoja na shauri kuwa mahakamani.
 
Mhaya kweli wewe au jina la bandia? Maana hata speling zake zinaonyesha wasi wasi huo. Kinachothibitisha ni mtazamo wako!
 
Huwezi kujadili tuhuma dhidi ya Kitila na Mwigamba bila kumtaja Zitto au M2, kwa sababu wote ni sehemu ya issue moja, hivyo in one way or another Zitto anatajwa.....

Lakini mashtaka yanayomhusu moja kwa moja kama yeye sidhani kama yalijadiliwa.....In case Chadema wakishinda mahakamani kesho, Zitto ataitwa kujieleza kabla ya kutoa hukumu kwake (ambayo wote tunajua itakuwa vipi i.e. atapigwa chini).

Kamati kuu inawezwa kuitwa kwa dharura....nadhani hata hichi kikao kilichopita kilikuwa cha dharura !



 

Mi hata sielewi kwa nini Zitto kaenda mahakamani. Lengo lake ni nini hasa? Kwa nini anang'ang'ania kuendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA wakati CHADEMA ni dhahiri hawamtaki? Simwelewi kabisa aisee. Si aondoke tu mwenyewe..

He needs to stop being such a prima donna.
 
Misukule ya Zitto inatapatapa sasa.....Haina pa kwenda wala kula...Subirini Zitto aanzishe chama chake muwe huko.....
 
Uelewa Mkuu Nyani Ngabu!!!! Mie nilidhani huyu shule aliyoenda imemuelimisha kumbe hajaelimika hata kidogo anafanya maamuzi kama hajawahi kukanyaga darasani kabisa.

 
Last edited by a moderator:

Umebaki unatapatapa msukule wewe....Zitto.hajao kwahiyo huenda akakuposa na kukuoa....

Zitto habari yake imekwishaaaaaaaa!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…