Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

Zitto amepata sababu ya kurudi mahakamani kuwashitaki wabaya wake, kwa kosa la jinai (kudharau amri ya mahakama). Tusianze kuhukumu na kujadili suala lililoko mahakamani.
 
Nadhani Strategically, CHADEMA wangeahirisha kujadili hiyo na kuacha wajumbe wote wa 3 wasijadiliwe mpaka shauri la Kimahakama litakapokuwa limekwisha.

Hiyo ni strategically au ulitaka kutumia neno lingine?
 
hata akijadiliwa we unakuhusu nn? Haya basi kajadiliwa kesho katoe ushahidi mahakamani!

mkuu asante kwa kuthibitisha kuwa chadema wame jadili uanachama wa zitto kinyume na agizo la mahakama.
 
Nenda mahakamani ukatoe ushaidi zitto kajadiliwa usilete ujinga hapa na kwataarifa yako Keshatimuliwa sasa hana Tofauti na kafulila
 
Zitto amepata sababu ya kurudi mahakamani kuwashitaki wabaya wake, kwa kosa la jinai (kudharau amri ya mahakama). Tusianze kuhukumu na kujadili suala lililoko mahakamani.

Hiyo amri ya mahakama inatamkaje?
 
Yes, they could do that, lakini kwa mawazo yangu kilichofanyika ndio sahihi ! Kikao kilishaitishwa wajumbe walikuwepo na hoja zilishapangwa, vile vile kisaikolojia nadhani imekuwa nzuri kwa wapenzi na washabiki wa CDM.........Sasa hivi hata huwezi kusikia tena zile propaganda za CCM na mashabiki wa Zitto kwamba CDM wanamwogopa Zitto ! Kwa sababu ni obvious kama si mahakama angekuwa amepigwa chini leo !

Kama CDM wangefanya hivyo unavyosuggest, hizo propaganda zingerudi kwa nguvu na magazeti yaliyokaa kiCCM yangepata nafasi nzuri ya kupiga hizo propaganda !. Vile vile hii inaset tone kwamba hata Zitto akishinda mahakamani kesho, soon or later atapigwa chini....na hiyo ni faraja sana kwetu wanachama na mashabiki wa CDM ambao wengine tulikuwa na wasi wasi kwamba Zitto anaweza kusamehewa, kitu ambacho wengine hatutaki hata kuimagine !

Nadhani Strategically, CHADEMA wangeahirisha kujadili hiyo na kuacha wajumbe wote wa 3 wasijadiliwe mpaka shauri la Kimahakama litakapokuwa limekwisha.
 
Wewe akili yako kama ya k u.k u nalabuk, huitaji akili ya kata kuelewa mamlaka iliyo nayo Institution kubwa kama CHADEMA katika kumjadili ZZK as long as still in CDM as member, hayo yaliyozungumzwa na Dr Slaa yako ndani ya Jurisdiction ya mamlaka yake ya nafasi yake,wewe unafikiri mahakama ni mbumbumbu kama wewe nalabuk acha uchochezi
 
wewe jamaa ni mjinga sana kama unamtaka zitto anzisha chama awe mwenyekiti sio ulalame kwenye keyboard nyambaf

mkuu acha jaziba. Nadhani maneno ya tundu lissu na dr slaa umeyaona na ni wazi wamemfukuza zitto uanachama na wameujadili uanachama wake hivyo wame kiuka agizo la mahakama.
 
Na kikubwa kinachomponza ni ubinafsi na tamaa...popote pale atakapoamua kwenda lazima aunde kikundi cha kumjenga yeye na kumsifiasifia hata pale asipostahili kusifiwa na hatimaye kuharibu mshikamano uliokuwepo.
 
Ahhhh, jamaa zangu wa Bukoba wanafurahisha sana. Nashukuru Mello hana tatizo hilo kwani jukwaa hili ligeliandikwa siku nyingi sana kuwa ni la SiHAsa.
Nashukuru Mwaka umeanza vizuri, vipi kwako na familia?
Hahahaaa wallah umenifanya nicheke bila chuki.

heri ya mwaka mpya Sikonge
 
Reactions: bht
inaonesha wewe ni boya kweli unafikiri chadema wangejadili uanachama wa zitto leo hii huyo zitto angekuwa mwanachama wa chadema
 

Dada Magdalena, ungetuwekea na picha ingependeza zaidi ili tuweze kuchochea kuni mbichi zaidi huku tukimiminia na maji mengi tukijua ni mafuta ya taa
 

mkuu matusi yako hayani yumbishi na wala si chochote kwangu.

Mahakama ina uwezo kuzidi hiyo institution na ndio maana hiyo institution imekatazwa kuujadili uanachama wake na ikakubali kupitia mnyika na leo kupitia dr slaa na tundu lissu wameonesha kuwa wame jadili uanachama wake na wamemfukuza.

!tundu lissu ana sema zitto anaendelea kuwa mwana chama sababu ya mahakama tuu, akimahanisha kuwa wao kama chadema walisha mjadili na kumfukuza kinyume na agizo la mahakama.

Wameenda mbali zaidi waki wasihi wana chama wao kuto hudhuria mikutano ya zitto ina maana wao kama wao walisha toa hukumu kumvua uanachama zitto ndio maana hawamtambui kama mwana chama wao na walishamjadili na kumfukuza.

Alaf cha ajabu zaidi nimemsikia lissu anasema kamati kuu imefanya uchunguzi sasa wao wao ndio wana fanya uchunguzi na hao hao ndio wanatoa hukumu.

Kwakweli nimeshangaa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…