Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

Dada Magdalena, ungetuwekea na picha ingependeza zaidi ili tuweze kuchochea kuni mbichi zaidi huku tukimiminia na maji mengi tukijua ni mafuta ya taa

Kaka picture hujaiona? ongeza bundle mkuu.
 

Hadithi yako inatufundisha nini...?
 

Team Zitto ndo imekula kwenu..
 
inaonesha wewe ni boya kweli unafikiri chadema wangejadili uanachama wa zitto leo hii huyo zitto angekuwa mwanachama wa chadema

mkuu matusi yako hayani yumbishi kabisa unapoteza muda.

Ukisoma kauli ya lissu na slaa utagundua ninacho sema.
 
Atakuwa mwanachama wa Chadema kupitia mahakama lakini ataishi kama nguchiro…ha ha haaa
 
Nenda mahakamani ukatoe ushaidi zitto kajadiliwa usilete ujinga hapa na kwataarifa yako Keshatimuliwa sasa hana Tofauti na kafulila

mkuu parameter nilicho taka kusema nikuwa uanachama wa zitto umejadiliwa na nina shukuru wewe umekuwa muwazi kuelewa kauli za viongozi wako. kwa hiyo tukubaliane kuwa chadema wamedharau amri ya mahakama.
 
Last edited by a moderator:
Ninachoamini hii nyumba yote si safi kama tunavyoaminishwa!Dogo Zitto nae anafahamu uchafu mwingi wa hawa wakubwa na kwakua wameanza kumwaga mboga basi wategemee dogo Zitto hawezi kukubali kufa kibudu,lazima atanyea ugali ndipo hapo watu watabaki wameduwaa!
 
weka bayana kauli ya mahakama neno kwa neno...

shauri uanachama wa zitto ndani ya chadema kutojadiliwa na kamati kuu.

Agizo la mahakama lina wataka chadema kutojadili uanachama wa zitto hadi mahakama itakapo toa hukumu.
 
Ruttashobolwa, tatizo lako ni uelewa wa tafsiri ya sheria na wala sio chuki yako kwa CHADEMA, maana kinachozuiwa hapo ni matamshi yatakayoathiri hukumu ama mwenendo wa shauri lililopo mahakamani; sasa kama umeshawafukuza wasaidizi wa usaliti huyo msaliti amesalimika vipi? Hapo ndo kauli ya Lisu ilipojikita. Kama usaliti umethibitishwa kufanywa tangu 2009 sasa chama kuchukua tahadhari ya kuwataka wanachama wake kutoshirikiana na wasaliti mgogoro na mahakama unatokea wapi.?
Wakati mwingine inabdidi ushabiki uwekwe pembeni ili uwe na amani katika kufata kweli kijana.
 

mkuu amesha anza kumwaga jaribu kutafuta.
 
amri ya mahakama ilikuwa uanachama wa Zitto usijadiliwe ...sio kila kitu kuhusu zito kisijadiliwe..
 
kwenye hili ulihitaji profesa kuelewa tofauti ya kujadili uanachama wa mtu na maelekezo kwa wanachama!
Mbumbummbu wa sheria kama #teamzitto !

mkuu siyumbishwi na matusi yako. Huhitaji kutumia sheria kujua chadema wamejadili uanachama wa zitto.
Mahakama wame wakataza kujadili uanachama wake mpaka mwisho wa shauri.

Na ukisoma maelezo ya slaa na lissu utagundua kuwa wameujadili uanachama wa zitto, sema lissu ajui kuwashauri hila anajua kuwa changanya.
 
Jamani MAHAKAMA HAICHUKUI HABARI KUTOKA MITANDAONI DUUU?UPO UTARATIBU WAKE.
NA HILI NDILO NENO LA MWISHO.
 
Umebaki unatapatapa msukule wewe....Zitto.hajao kwahiyo huenda akakuposa na kukuoa....

Zitto habari yake imekwishaaaaaaaa!!!!!!

tedo una jisumbua bure na haya matusi yako.

LAKINI NAJUA UMEONA NA KUSIKIA KAULI ZA VIONGOZI WAKO ZINA THIBITISHA KUWA UANACHAMA WA ZITTO UMEJADILIWA NA NI KINYUME NA AGIZO LA MAHAKAMA.
 
Last edited by a moderator:
Jamani MAHAKAMA HAICHUKUI HABARI KUTOKA MITANDAONI DUUU?UPO UTARATIBU WAKE.
NA HILI NDILO NENO LA MWISHO.

Hapa tunacho jadili ni kauli za viongozi wa chadema na wameyaongea na wewe umesikia kabisa na ni wazi wame ujadili uanachama wa zitto.
 
Zito hajajadiliwa chama kimetoa tamko kwa wananch wasimung mkono msalit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…