Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

Chadema na dharau kwa amri ya mahakama.

tatizo la watanzania ndo maana hatuna maendeleo, mahakama ilizuia kujadili uanachama wa zito na si matendo ya zito katika chama, uanachama una maana ya kuendelea kuwa mwanachama au kuondolewa kwenye chama . Kitu ambacho chadema haikufanya. Hii haizuii kumchambua zito kama mwenzao katika matendo na kukusanya ushahidi kuhusu mwenendo wake ili baada ya kesi kwisha uamuzi ufikiwe kukiwa na ushahidi madhubuti dhidi yake kama huu wa mkono.

maneno ya katibu mkuu na ya mwana sheria wa chadema yana tofautiana na hicho unacho kiongea wewe.

Tundu lissu anasema kuwa zitto anaendelea kuwa mwana chama kwa sababu ya mahakama tuu, hapa ana maanisha kuwa wao kama chama wamesha mfukuza na umeujadili uanachama wake.

Dr slaa ana waagiza wana chadema kuto hudhuria mikutano ya zitto inayo andaliwa kwa jina la chadema, hapa dr slaa ana maanisha kuwa hawamtambui kama mwana chama wao na wameujadili uanachama wake pamoja na wenzie.
 
Uelewa Mkuu Nyani Ngabu!!!! Mie nilidhani huyu shule aliyoenda imemuelimisha kumbe hajaelimika hata kidogo anafanya maamuzi kama hajawahi kukanyaga darasani kabisa.

Mkuu kwani we hujui mfa maji haachi kutapatapa.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
maneno ya katibu mkuu na ya mwana sheria wa chadema yana tofautiana na hicho unacho kiongea wewe.

Tundu lissu anasema kuwa zitto anaendelea kuwa mwana chama kwa sababu ya mahakama tuu, hapa ana maanisha kuwa wao kama chama wamesha mfukuza na umeujadili uanachama wake.

Dr slaa ana waagiza wana chadema kuto hudhuria mikutano ya zitto inayo andaliwa kwa jina la chadema, hapa dr slaa ana maanisha kuwa hawamtambui kama mwana chama wao na wameujadili uanachama wake pamoja na wenzie.

Kesho wito umetolewa uhudhurie mahakamani mapemaa.....Usituletee porojo zako...
 
zitto ni mzito wa kuelewa mnafki na anaonyesha uchawi wake peupe kabisa mwenye macho hato uliza usaliti wa huyu mbulula alie enda shule lakini akawa wa nwiaho dalasan kwa kukaa mwisho wa dalasa na nimvivu wa kufikiri,alikifata chama mwenyewe leo hii anastahili kufukuzwa kama mmbwa shauri ya ufis wake

mbulula ww au na ww ni kimada wa mbowe?
 
Mahakama iliagiza CHADEMA kutokumjadili Zitto popote pale au kwenye kamati kuu tu?
Kamati Kuu, lakini humu JF tunaendelea kumjadili na kwenye magazeti na blogs tunaendelea na tutaendelea kumjadili.
Hawatojadili uanachama wake wapi? Kwenye kikao cha kamati kuu? Mtaani? Majumbani mwao? Kwenye baa? Au wapi hasa?
Kamati Kuu, lakini mitaani, majumbani na kwenye baa tunaendelea na tutaendelea kumjadili.
Mkutano na waandishi wa habari ni sawa na kikao cha kamati kuu?
Hapana, si sawa. Ndio maana kwenye Mikutano na Waandishi wa habari, Zitto anaendelea na ataendelea kujadiliwa.
 
MACHADEMA ni manafiq,mapu.bav. ,mawongo na MAJING. SANA!!

Umeshindwa kunya tuu..

Dahhh nakisifu hiki chama kiimefanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.....

Kesho wahi Mahakani mapemaa Kamnda Mnyika ametoa ombi..
 
maneno ya katibu mkuu na ya mwana sheria wa chadema yana tofautiana na hicho unacho kiongea wewe.

Tundu lissu anasema kuwa zitto anaendelea kuwa mwana chama kwa sababu ya mahakama tuu, hapa ana maanisha kuwa wao kama chama wamesha mfukuza na umeujadili uanachama wake.

Dr slaa ana waagiza wana chadema kuto hudhuria mikutano ya zitto inayo andaliwa kwa jina la chadema, hapa dr slaa ana maanisha kuwa hawamtambui kama mwana chama wao na wameujadili uanachama wake pamoja na wenzie.

hawa wote ni mambulula hakuna kiongozi mwenye uchungu na nchi wanawaza ziara tu wakati chama hakina hata ofisi ya kudumu......unataka kvawala nchi ofisi ya kupanga..,.wizi mtupu!
 
Uelewa Mkuu Nyani Ngabu!!!! Mie nilidhani huyu shule aliyoenda imemuelimisha kumbe hajaelimika hata kidogo anafanya maamuzi kama hajawahi kukanyaga darasani kabisa.

Mimi simwelewi kabisa! Na kwa kweli nimejitahidi sana kutaka kumwelewa lakini wapi bana...kila nikijaribu naishia patupu!

Anachokitaka yeye katika kwenda kwake mahakamani ni nini? Maana tuseme hata akishinda huko mahakamani (na sijui hata atashinda kitu au jambo gani) na akaendelea kuwa mwanachama wa CHADEMA, tayari mahusiano yake na uongozi wa CHADEMA pamoja na sehemu kubwa tu ya wanachama yameshaharibika.

Ataendeleaje kuwa mwanachama wa CHADEMA katika mazingira kama hayo? Kaazi kweli kweli!
 
Ruttashobolwa mbona kauli nyepesi kama hiyo inakushinda kupambanua!!!
 
Last edited by a moderator:
Huwezi kujadili tuhuma dhidi ya Kitila na Mwigamba bila kumtaja Zitto au M2, kwa sababu wote ni sehemu ya issue moja, hivyo in one way or another Zitto anatajwa.....

!
Nadhani Strategically, CHADEMA wangeahirisha kujadili hiyo na kuacha wajumbe wote wa 3 wasijadiliwe mpaka shauri la Kimahakama litakapokuwa limekwisha.
 
Kabisa Mkuu na cha kushangaza pamoja na "umaarufu" wake mkubwa kama ulivyopigiwa debe na wapumbav_ mbali mbali hakuna hata chama kimoja cha siasa nchini ambacho kimetangaza rasmi hadharani kwamba kinamkaribisha akachukue kadi ya uanachama katika chama chao.

Mkuu kwani we hujui mfa maji haachi kutapatapa.....
 
Hahahahahaha lol!!!! Mambo ya ndani ya CHADEMA yanakuhusu nini!? Unatumia nguvu nyingi sana kumtetea huyu fisadi, ndio ameshafukuzwa rasmi uanachama wake umebaki kupitia mahakama na mahakama hata siku moja haiwezi kukilazimisha chama chochote cha siasa nchini kuendelea kuwa na mwanachama ambaye hatakiwi na chama hicho.

mkuu BAK asante kwa kuwaelewesha kuwa zitto amefukuzwa na bila shaka na wewe ume zielewa vyema kauli za Dr.W.Slaa na Tundu Lissu.

bora wewe umesema wazi kulingana na kauli za hao viongozi uanachama wa zitto umejadiliwa na amefukuzwa. lakini chadema wame kihuka amri ya mahakama.

Pia haikuhitaji kuwa mwana chadema kujadili mambo ya chadema.
 
Last edited by a moderator:
Hata akijadiliwa we unakuhusu nn? haya basi kajadiliwa kesho katoe ushahidi mahakamani!
 
Mbona hili lilikuwa linafahamika kabla hata ya mkutano na habari ingekuwa Zitto, Dr na mwenzao kama wameteuliwa na CDM.
Kama haya wanayotomboka viongozi kutoka Pande zote ni kweli basi chama kiwaombe radhi watz, wafadhili na wanachama wake.
Rushwa imo, ufuska, uhahini, ufisadi kuliko wa serikali na CCM.
 
Back
Top Bottom