Pre GE2025 CHADEMA na familia ya Ben Saanane nendeni kwa Makonda awasaidie kumtafuta

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ben Rabiu Saanane alimkosoa magu na phd yake fake kuna mtu akamuonya na ben akatoa taarifa na akaileta hapa pia kwamba anatishiwa uhai. Tundu lissu kushambuliwa kwa risasi magu alisema wazi wakati wa ripoti ya makinikia muda mfupi baadae lissu akashambuliwa . Jiongeze utamjua mtekaji na muuwaji ninani.
 
Mbowe anajua alipo!!
 
Haaaa nani ? Mbowe awezi kuruhusu hilo jambo hata siku moja pia kina Rostam azizi awawezi kukubali kitu hicho kufanyika.kama kuna kitu kinamchukiza mbowe kwa sasa ni jina la Ben saa 8...ukitaja ilo jina mbele ya mbowe basi anaweza kukuzaba makofi hadharani
 
Tupe sababu mkuu,Kwa nn hapend hlo jina,wakati alkuwa msaidizi wake na amepambana kumtafta?
 
Tupe sababu mkuu,Kwa nn hapend hlo jina,wakati alkuwa msaidizi wake na amepambana kumtafta?
Wewe kama unatumia akili umewahi kuona mbowe akiongelea ben saa 8 baada ya kifo cha jpm popote ...liletukio la ben ni mipango ya kumchafua jpm ila wahusika ni wale wale waliokuwa wanamsingizia jpm
 
Wewe kama unatumia akili umewahi kuona mbowe akiongelea ben saa 8 baada ya kifo cha jpm popote ...liletukio la ben ni mipango ya kumchafua jpm ila wahusika ni wale wale waliokuwa wanamsingizia jpm
Kama ni kweli Kwa nn uchunguzi wa polisi na Vyombo vya Dola visije na taarfa kamili,na Kwa nn chadema ndo wanashinikiza uchunguzi ufanyike?
 
Kama ni kweli Kwa nn uchunguzi wa polisi na Vyombo vya Dola visije na taarfa kamili,na Kwa nn chadema ndo wanashinikiza uchunguzi ufanyike?
Chadema kuna siri ...hao chadema unao wasema wewe awajui chochote ila chadema na ccm walio panga huo mpango wa kumchafua jpm kwa kutengeneza tukio la ben wao kamwe awasemi kuhusu uchunguzi ndiyo maana nikakuambia mbowe hataki hata kusikia jina ben ....na kwa sasa kikundi cha ccm kilichokuwa kinamchukia jpm na kushirikiana na chadema kwenye tukio la ben ndiyo kimeshika hatamu ikulu ipo mikononi mwao .... weweunadhani ccm walio mchukia jpm wasingetumia ilo tukio kwa sasa kuthibitisha uovu wa jpm kama ni kweli jpm aliusika nani asiye jua kuwa samia ana mchukia jpm kwanini asinge tumia huo mwanya kudhihilisha uovu wa jpm .
 
Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…