voicer JF-Expert Member Joined Jul 13, 2020 Posts 5,545 Reaction score 11,935 Mar 15, 2023 Thread starter #41 Sanyambila said: Mimi nilivyo muelewa Lema ni kwamba serikali Ina hesabu Kama boda boda NI ajira rasmi ili Hali haijawa secured na inauwa au kuleta ulemavu saaana kwa vijana Click to expand... Angesema kama ulivyotamka wewe na jamii pia ingemuelewa vizuri. Lakini yeye hakitumia maneno yako bali karopoka kauli kulingana na akili pamoja na ujivuni wake!
Sanyambila said: Mimi nilivyo muelewa Lema ni kwamba serikali Ina hesabu Kama boda boda NI ajira rasmi ili Hali haijawa secured na inauwa au kuleta ulemavu saaana kwa vijana Click to expand... Angesema kama ulivyotamka wewe na jamii pia ingemuelewa vizuri. Lakini yeye hakitumia maneno yako bali karopoka kauli kulingana na akili pamoja na ujivuni wake!