Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 239
chadema wabunge 3 ,2005 cuf 20 wa kuchaguliwa ndani ya dodoma duhu sijui nani zaidi
mbona unauliza jibu mkubwa!kwa hivyo mnangojea muwachagulie dk slaa?
duh, kwani mrema kaishia wapi vile hebu nikumbushe
Kwa wale waliofatilia kwa makini uchaguzi wa Marekani wa 2008 watakumbuka jinsi matumizi ya internet yalivyomsaidia rais wa sasa Barack Obama kushinda. kwa wale waliokuwa na access waliweza kupata taariza za kampeni, hotuba, ratiba za ziara na hata videos hii ilisaidia sana kukusanya wanachama wengi na ilikuwa ni nafasi ya kuwafikia wale ambao muda mwingi wako ofisini na hawakuwa na muda kuangalia TV au kusikiliza redio wala kuhurudhuria mikutano ya kampeni.
CHADEMA inapaswa kuona umuhimu wa kuitumia nyezo hii muhimu sana katika dunia ya leo ya utandawazi. Japo wale wenye access ya internet Tanzania si wengi kama Marekani, lakini ni ukweli kwamba wengi wao ni wasomi au ni watu ambao muda mwingi wako oficini na sirahisi kuwaona mikutanoni.
Ukiangalia kwenye website ya CHADEMA utaina taarifa ya mwisho ni ya July 12, inamaana ni karibu ya mwezi hawaja-update taarifa zao.
Najua jamvini JF kuna viongozi wengi ya CHADEMA, bila shaka hata Mkurungenzi wa Habari yupo humu. Ushauri wangu kwa CHADEMA waweke kwenye website yao daily update za safari za mgombea urais, taarifa za wagombea ubunge, picha,Videos, hotuba n.k. Hii itawasaidia hata wale wafanyakazi wanaobanwa au kukosa muda wa kuhudhuria mikutano kupata taarifa na sera za mgombea huyu.
Wanapaswa pia kuitangaza website ili watu waijue hii itawasaidia sana CHADEMA katika kueneza ujumbe kwa wanzania walioko ndani na hata nje ya nchi hii ambao magazeti wala redio zetu haziwafikii na njia pekee ya kuwafikia ni kwa njia ya mtandao.
Nikiangalia Cuf bara haina mvuto wa kuunda serekali 2010 kwani haina viongozi shupavu wa kuweza kuongoza, viongozi wengi wa cuf sio maarufu katka nyanja za siasa ,wengi either fkutoka siasa za chini hadi kuwa cuf. hii tofauti na Cuf zenj ambapo baada ya wengi kungatuka kutoka ccm cuf zenj imekuwa na nguvu na ushawishi mkubwa, maalim seif aliwahi kuwa waziri kiongozi, hamad rashid waziri wa mambo ya ndani, abubak khamis mwanasheria wa gov, Juma duni , machano khamis, Nassor Khamis, marehemu sudi Yussuf Mgeni , ali hajji pandu ni mwanasheria mKuu na wengine ,kama cuf zenj isingekuwa na viongozi mashuhuri na maarufu wanaozijua siasa za tz basi ngalikuwa dhaifu sana na isingeweza kuleta changamoto za siasa za tz kama vile vyama vyengine vilivyopo
kwa chadema nako ndiko hivyo hivyo haina wanasiasa mashuri angalau 50 ambao wanaoweza kuwa mawaziri , manaibu au hata wakuu wa mikoa ambazo wanazijua siasa za tz, wanaoweza kupambana na ccm katika chaguzi lkn wengi wa viongozi wao ni kutoka chini.
kama utaangalia chadema inaviongozi wa 3 tu maarufu kama mbowe, slaa, zito Wengine watz waliochini wanaweza kuwafahamu.
watu wengi sasa wanakimbilia mikutanoni kuangalia helikopa jinsi inavyoruka na kutua na sio kuvutia kwa sera.
ili kiingie ikulu chadema kuna haja ya kuwa na viongozi wengi maarufu kutoka chama tawala, hivi ndivyo ilivyo nchi nyingi duniani kama vile kenya na sio kutegemea wanasiasa wasiomaarufu kama vile chadema
najua wapo wanachadema watakaoukataa ukweli na kuamini wananguvu lkn kila mtz makini anajua hizi ni nguvu za soda zikipoa mwanyaji atakunywa kiulaini
haya ni maoni yangu tu, unahaki ya kuyapinga lkn kwa hoja adhimu