Elections 2010 CHADEMA na kampeni kwa njia ya Mtandao

Mimi naona pamoja na utumbo mtupu anoutoa huyu Malaria Sugu kuhusu hoja mnazozitoa, nadhani ni bora zaidi mngeachana nae. Ukibishana na mpumbavu itakuwa vigumu kutambua nani mpumbavu zaidi -- nyinyi au yeye. Tangu leo mimi naachana naye!
 
chadema wabunge 3 ,2005 cuf 20 wa kuchaguliwa ndani ya dodoma duhu sijui nani zaidi

Soma hoja ya Counterpunch vizuri. Anasema CUF bara haikuambulia kitu mwaka 2005. CUF ni chama cha Wapemba tu, kule ambako walikopata viti vingi na hivyo kujiongezea idadi ya vile vya upendeleo!
 
duh, kwani mrema kaishia wapi vile hebu nikumbushe

hii sio sehemu ya kuulizia watu walio fulia kama huyo Mrema,we jaribu kufikiria wiki moja nyuma anamsifia Kikwete alivyo kiongozi bora wiki inayofuata anasimamimia mkutano wa kumchagua sijui profesa nani hivi? eti agombee urais jamani huko si zaidi ya kufulia jamani?
 
Njaa mbaya.Hivi wanakupa kiasi gani kusambaza sumu hii?
 
Kwa busara zako unadhani unachohangaika kusambaza huku na kule ni kwa manufaa ya nani kama sio mafisadi?Kumbuka kuwa ujira mdogo wanaokupatia unatokana na jasho lako kama mlipa kodi (unless nawe uwe fisadi usiyelipa kodi).Fikiria idadi ya baba na mama zetu wanaokwaza na ufisadi,watoto na wadogo zetu wanaoathiriwa na ufisadi na namna walalahoi wanavyoteswa na mafisadi.

Sawa,Kikwete ni Muislamu mwenzio lakini try to think outside the box.When it comes to Tanzania,mafisadi hawaangalii victims wao kwa misingi ya dini.Uwe Juma au Peter,as long as si mmoja wao,basi lazima watakukalia kooni.

Weka mbele maslahi ya taifa lako badala ya ubinafsi wako

Anyway,najua natwanga maji kwenye kinu kwa vile UKO KAZINI
 
Kwa busara zako unadhani unachohangaika kusambaza huku na kule ni kwa manufaa ya nani kama sio mafisadi?Kumbuka kuwa ujira mdogo wanaokupatia unatokana na jasho lako kama mlipa kodi (unless nawe uwe fisadi usiyelipa kodi).Fikiria idadi ya baba na mama zetu wanaokwaza na ufisadi,watoto na wadogo zetu wanaoathiriwa na ufisadi na namna walalahoi wanavyoteswa na mafisadi.

Sawa,Kikwete ni Muislamu mwenzio lakini try to think outside the box.When it comes to Tanzania,mafisadi hawaangalii victims wao kwa misingi ya dini.Uwe Juma au Peter,as long as si mmoja wao,basi lazima watakukalia kooni.

Weka mbele maslahi ya taifa lako badala ya ubinafsi wako

Anyway,najua natwanga maji kwenye kinu kwa vile UKO KAZINI
 
bora umasikini wa kipato kuliko umasikini wa fikra kama wa malaria sugu
 
Maneno yako ni kweli kabisa ila kwa CUF sio tatizo wao wanamikakati iliyo invinsible na wanaweza kuikwamua nchi hii within a matter of months wanasema siku 99 tu ,Tanzania nzima itanusa mabadiliko ,CUF sio mchezo na huwezi kabisa kuilinganisha na Chadema ,kama ulivyosema ,watu wanajaa kuishangaa helikopta ,mikutano ya CUF watu wanajaa kusikiliza sera.
 
Jina lako malaria sugu linatosha kukujibu kwa hoja adhimu ya "ugonjwa wa malaria sugu"
 

kwa mtazamo wangu,njia ya mtandao ni garama nafuu au hata sawa karibu naa bure kulinganisha na njia zingine.hivyo pamoja na kutumia njia zote,kama tv,fm radio,mabango,sms,posters,na zingine zote zitakazo tumika,mtandao usisahaulike kwani gharama yake ni sawa na bure.

njia zote zitumike,kwani kila njia inamatokeo yake.tusizarau njia yoyote
 
hivi kwa nini Mgombea wa CCM hataki mdahalo naye ni graduate wa univarsiti ya darisalama, tena wauchumi si anaweza kujibu vizuri tu maswali ya kiuchumi na kiutawala, ambayo ni wasifu wa mwanzo kiongozi yoyote anatakiwa kuwa nayo????xxx
 
Mnadhani kwa nini serikali ya CCM iliwalazimisha watu kusajili namba zao kabla ya julai mwaka huu?????
 
Wana JF, nadhani umefika wakati wa kuacha kuchangia mada za MS kwani most of the time anaongea PUMBA, Kwanza ni MDINI kupita kiasi, hana Vision na wala sijui kama ni mtanzania.

Kwa taarifa yako, hutofanikiwa katika kile unachokitafuta, Dr. Slaa anakubalika si kwa sababu ya dini yake, bali ni kwa jinsi alivyojipambambanua kupambambana na WEZI wala rasilimali za nchi hii. Elewa kuwa wewe ni kibaraka wa CCM na huna nafasi katika Forum hii.
 

Tanzania ina watu zaidi ya milioni 40, na wana CCM ni milioni 4 tu. Sasa kwa akili zako fupi na finyu unafikiri hakuna watu makini wa kuongoza nchi toka katika hilo kundi la watu milioni 36?. Hivi unajua Chadema ina wasomi mahili na waliobobea wangapi?. CCM imejaa vilaza tupu ndiyo maana nchi inaendeshwa kinyumenyume.
 
Malaria Sugu,
Unachosema ni kweli tupu. Kwa hiyo kuanzia leo nakuomba uache kutujazia hapa makala kuhusu CHADEMA.
 
Malaria Sugu,
Unachosema ni kweli tupu. Kwa hiyo kuanzia leo nakuomba uache kutujazia hapa makala kuhusu CHADEMA.
 
Maleria Sugu ANA MALARIA kweli ila hajui!!!!!!! Huwezi kutuambia habari za CCM humu kwenye JF, huna chako humu we kula pesa za waliokutuma. Jiandae kumpokea Ikulu Dr. Slaa na Siyo KIWETE mwenye UDAKTARI FEKI!!!!
 
waasisi wa chama cha taa na baadaye tanu walikuwa na umaarufu gani?? ulipozaliwa ulijikuta ukiwa mkubwa kama ulivyo au ulipita kwenye malezi kama wanaadamu wote??? kwako maarufu ni kingunge,tingatinga na wenye mvuto ni ra, el nk nk nk.pole na ugua salama na malaria sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…