CHADEMA na kauli za watu tunazotaka kuzisikia

CHADEMA na kauli za watu tunazotaka kuzisikia

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:

Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele

Ameyatamka TAL rais wa wapenda haki hapa nchini.

Katiba mpya ni sasa tuunganishe nguvu zetu.

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Hii sasa ndiyo Ile Chadema tunayoielewa.

Tunasimama na Lissu, alipo tupo

Viva TAL. Ulipo tupo!
 
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:

Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele

Ameyatamka TAL rais wa wapenda haki hapa nchini.

Katiba mpya ni sasa tuunganishe nguvu zetu.

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Hii sasa ndiyo Ile Chadema tunayoielewa.

Tunasimama na Lissu, alipo tupo

Viva TAL. Ulipo tupo!
Mbona humzungumzii Cheamani Mbowe? Au yeye ni asali tu?
 
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:

Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele

Ameyatamka TAL rais wa wapenda haki hapa nchini.

Katiba mpya ni sasa tuunganishe nguvu zetu.

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Hii sasa ndiyo Ile Chadema tunayoielewa.

Tunasimama na Lissu, alipo tupo

Viva TAL. Ulipo tupo!
Naunga mkono 100%
 
Hiyo Katiba Mpya tunayoitaka ni ipi? naona muhimu tuwe specific, kuliko tupoteze muda kuimba Katiba Mpya, mwisho wa siku Samia atuletee Katiba Mpya ya watawala ilimradi atufunge midomo.

Japo kwa mtazamo mwingine hata kuipata hiyo Katiba Mpya ya watawala naamini haitawezekana, kwasababu dalili zinaonesha pakitokea mvurugano kwenye Bunge la Katiba kama CCM watalazimisha kufanya hivyo, basi mwisho wa siku hilo Bunge la Katiba litavunjika, na biashara ya KM iishie hapo.
 
Hiyo Katiba Mpya tunayoitaka ni ipi? naona muhimu tuwe specific, kuliko tupoteze muda kuimba Katiba Mpya, mwisho wa siku Samia atuletee Katiba Mpya ya watawala ilimradi atufunge midomo.

Japo kwa mtazamo mwingine hata kuipata hiyo Katiba Mpya ya watawala naamini haitawezekana, kwasababu dalili zinaonesha pakitokea mvurugano kwenye Bunge la Katiba kama CCM watalazimisha kufanya hivyo, basi mwisho wa siku hilo Bunge la Katiba litavunjika, na biashara ya KM iishie hapo.

Kwamba katiba mpya tunayoitaka hatuijui? Kwani wasiotaka tuipate kabla ya hizi chaguzi nao hawaijui?

Katiba tunayoitaka ina msingi wake mkuu kutokea kwenye ile rasimu ya Warioba. Mengine yatakuwa maboresho kutokana na uzoefu mpya kuzikabili changamoto mpya tulizoziona ndani ya miaka 10 baadaye.

Katiba mpya inayotakikana ni katiba ya wananchi siyo katiba ya watawala. Watawala wabaki nayo ya kwao huko huko waliko.
 
CCM wanacheza na akili za watanzania

Wataendelea kucheza na akili za watanzania hadi ujumbe wa wazi huu utakapoeleweka:

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Tatizo kubwa la watanzania kuwa tayari kufia kwenye ujinga lakini si kwenye tija:

Screenshot_20230528-204040.jpg
 
Kwa nini uchaguzi usiahirishwe kama nia ni njema?
Hakika ni aheri uchaguzi uahirishwe kuliko kupoteza muda wa watu kwa uchaguzi bandia.

Tusikubali anayetaka kuchaguliwa eti ndiye awe msimamizi wa uchaguzi. Ujinga huu ufike mwisho. Madhara tuliyaona wakati wa awamu ya 5.
 
"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.
Kwenye mambo muhimu kama hili la Katiba Mpya, huwa sipendi kuvungavunga kwa kutumia kiswahili kireeeeefu, bila ya sababu yoyote.
Ndiyo maana huvutiwa na mtindo huu wa Lissu, wa kufikisha ujumbe moja kwa moja.
Mwenye kutaka kuelewa, aelewe, asiyetaka, hiyo shauri yake.

Haya sasa. Tulisha sema siku nyingi humu kwamba mizungusho ya Samia haikuwa na nia ya kuleta Katiba Mpya kabla ya uchaguzi, sasa hilo limeanza kuwaingia akilini waliko huko CHADEMA ambao akili zao bado zinafanya kazi.
 
Kwenye mambo muhimu kama hili la Katiba Mpya, huwa sipendi kuvungavunga kwa kutumia kiswahili kireeeeefu, bila ya sababu yoyote.
Ndiyo maana huvutiwa na mtindo huu wa Lissu, wa kufikisha ujumbe moja kwa moja.
Mwenye kutaka kuelewa, aelewe, asiyetaka, hiyo shauri yake.

Haya sasa. Tulisha sema siku nyingi humu kwamba mizungusho ya Samia haikuwa na nia ya kuleta Katiba Mpya kabla ya uchaguzi, sasa hilo limeanza kuwaingia akilini waliko huko CHADEMA ambao akili zao bado zinafanya kazi.

Akili za Chadema original hazijawahi kuacha kufanya kazi ila hawa wengine:

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Cc: denooJ
 
Kwamba katiba mpya tunayoitaka hatuijui? Kwani wasiotaka tuipate kabla ya hizi chaguzi nao hawaijui?

Katiba tunayoitaka ina msingi wake mkuu kutokea kwenye ile rasimu ya Warioba. Mengine yatakuwa maboresho kutokana na uzoefu mpya kuzikabili changamoto mpya tulizoziona ndani ya miaka 10 baadaye.

Katiba mpya inayotakikana ni katiba ya wananchi siyo katiba ya watawala. Watawala wabaki nayo ya kwao huko huko waliko.
Watawala kutuletea ile Rasimu ya Warioba haliwezi kuwa jambo dogo, lazima walazimishwe kufanya hivyo.
 
Watawala kutuletea ile Rasimu ya Warioba haliwezi kuwa jambo dogo, lazima walazimishwe kufanya hivyo.

Katiba mpya kutokea katika rasimu ya Warioba inapatikana hata kesho ila si Kwa lelemama.

Ile miito inayomfanya Odinga inayoifanya Nguvu ya umma kutamalaki hii hapa:


"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Joni karibu Chadema ujinga haulipi:

Ujinga ni kizingiti kikuu kwa Hatma ya hili nchi
 
Hapa ni kauli tokea katika kile chama ambacho wapuuzi hawapendi kusikia kwamba ni tegemeo la wengi:

Lissu: Tusipopata Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi tunyamaze milele

Ameyatamka TAL rais wa wapenda haki hapa nchini.

Katiba mpya ni sasa tuunganishe nguvu zetu.

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Uchaguzi bila katiba mpya wa nini?

Tuna Imani na CHADEMA hii, wala si nyingine

Hii sasa ndiyo Ile Chadema tunayoielewa.

Tunasimama na Lissu, alipo tupo

Viva TAL. Ulipo tupo!
nabii asie na maono. Kila Jambo na wakati wake. Wrong timing for Katiba mpya now.
Sasa waumumini wa nabii hamna mbunge hata moja bungeni, zaidi ya 90% ni wa Chama kimoja, likiundwa bunge maalumu la Katiba hawa wabunge 90% wanakua wajumbe wa bunge maalumu la katiba automatically na for your information, 80% ya wabunge kutoka vyama vya kiraia na makundi maalumu wataungana na kundi 90% na kwahivyo watatengeneza Katiba waitakayo na Kidemokarasia kwakua wako wengi itakua ni halali na hivyo hiyo ndio itakua Katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
NINI KITATOKEA:
1. Nabii asie na maono na wafuasi wake watazira na kususia mchakato njiani lakini kutokana na wingi wa wajumbe wa bunge la Katiba kuunga mkono, mchakato utakua halali hadi mwisho na Katiba mpya itaundwa bila nabii kushiriki 😔.
2. Nabii atajitokeza kuipinga Katiba hiyo mpya kwenye referendum na atashindwa vibaya na hatimae Tanzania itakua na Katiba mpya.

Rejea Rais William Ruto aliipinga Katiba yao mpya 2010 akashindwa vibaya na sasa anafanya kazi zake kulingana na alichokipinga awali na hataki kubadili hata nukta moja.
 
nabii asie na maono. Kila Jambo na wakati wake. Wrong timing for Katiba mpya now.
Sasa waumumini wa nabii hamna mbunge hata moja bungeni, zaidi ya 90% ni wa Chama kimoja, likiundwa bunge maalumu la Katiba hawa wabunge 90% wanakua wajumbe wa bunge maalumu la katiba automatically na for your information, 80% ya wabunge kutoka vyama vya kiraia na makundi maalumu wataungana na kundi 90% na kwahivyo watatengeneza Katiba waitakayo na Kidemokarasia kwakua wako wengi itakua ni halali na hivyo hiyo ndio itakua Katiba mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
NINI KITATOKEA:
1. Nabii asie na maono na wafuasi wake watazira na kususia mchakato njiani lakini kutokana na wingi wa wajumbe wa bunge la Katiba kuunga mkono, mchakato utakua halali hadi mwisho na Katiba mpya itaundwa bila nabii kushiriki 😔.
2. Nabii atajitokeza kuipinga Katiba hiyo mpya kwenye referendum na atashindwa vibaya na hatimae Tanzania itakua na Katiba mpya.

Rejea Rais William Ruto aliipinga Katiba yao mpya 2010 akashindwa vibaya na sasa anafanya kazi zake kulingana na alichokipinga awali na hataki kubadili hata nukta moja.

Umeandika bila kuzingatia maana kamili ya ujumbe huu:

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Nguvu ya umma huamua yote kwa maslahinya umma.

Kwani NEMC au TRA kwa mujibu wa sheria zilizopo Mwanza na Kariakoo leo wanasema je tena?

Kulikoni kujipanga kujezeshwa ngoma na wao tu?

Kwani ngoma za kucheza sisi hatuna au wao kucheza zetu haiwezekani?
 
Umeandika bila kuzingatia maana kamili ya ujumbe huu:

"Tunahitaji kupambana na kulianzisha nchi nzima tumkabili Rais Samia, tumwambie bila Katiba Mpya kabla ya Uchaguzi Mkuu hakitaeleweka. Tukikubali kwenda kwenye uchaguzi kama ilivyokuwa mwaka 2019, na tunyamaze kimya milele," amesema Lissu.

Nguvu ya umma huamua yote kwa maslahinya umma.

Kwani NEMC au TRA kwa mujibu wa sheria zilizopo leo wanasema je tena leo?

Kulikoni kujipanga kujezeshwa ngoma na wao tu?

Kwani ngoma za kucheza sisi hatuna au wao kucheza zetu haiwezekani?
Okay sawa, but it is wrong timing to me. Hakuna nguvu ya kupambana na kulazimisha serikali na Mama Samia afanye chochote before, during or after 2025 general election. Nothing will happen whether ni from opposition, nnjee au ndani ya Bunge. My advice ni kupambania mabadiliko Sheria ya uchaguzi angalau for opposition to have some numbers ktk bunge then at least kutakua na ushawishi, sauti na uwezekano wa kulipambania na hata kulazimisha Jambo fulani ikiwani ni pamoja na Katiba other wise at a moment Nabii Lisu is hiting out of target claiming a goal. Vyama vya siasa 22 kati ya hivyo 21 vina mtazamo sawa kimoja kinamtazamo tofauti 🤭
 
Mbowe akiingiza Chadema katika uchaguzi wakati conditions ni zilezile, tume ileile, Katiba ni ileile basi atakuwa ni msaliti mkubwa wa mabadiliko ya kweli nchini.

Huyuhuyu Samia ndiye wa kumkaba mashati mpaka atupe katiba moya na tume huru ya uchaguzi. Hakuna kuleweshwa kwa asali, mvinyo wala chai ya Ikulu tena!
 
Back
Top Bottom