Elections 2010 CHADEMA na madiwani Arushaa

Baba Collin

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
456
Reaction score
58
Wakuu mliopo Atown hivi hali ya kisiasa imekaa vipi huko kama kesho kamati kuu ya CHADEMA itaamua kuwafukuza wale madiwani 6 wanaosemekana wamewasaliti Chama? CHADEMA watapona kweli ktk uchaguzi mdogo?
 
chama makini kinatoa maamuzi makini kwa mimi sehemu ya kaloleni wanaomba hataatolewe kesho ili wamuweke diwani wa ccm kwa ushauri wangu nadhani wanataka kupaka rangi upepo kwani wanafuga nyoka unga wa kumpa hawana mfano mala anatofautigani na shibuda
 
Mchuziwanyoka sijaipata vizuri thread yako,may you come again please!
 
Wakuu mliopo Atown hivi hali ya kisiasa imekaa vipi huko kama kesho kamati kuu ya Chadema itaamua kuwafukuza wale madiwani6 wanaosemekana wamewasaliti Chama?Chadema watapona kweli ktk uchaguzi mdogo?
Wewe bila kuangalia ishu ya kupona kwenye uchaguzi mdogo, unaona walichofanya ni sahihi?
Wanapaswa kuhukumiwa kwa walichotenda na si aftermath itakayotokea...Ni bora kuwa na madiwani waaminifu wa ccm kuliko kuwa na vigeugeu wa cdm!
 
Pona ya Chadema,ni viongozi wa ngazi za juu,kuja hapa na kuwaelewesha wananchi!Bila hivyo,hawa jamaa wakiamua kuhamia chama kingine cha upinzani,.....say TLP AU nccr ambako wengine walitoka huko basi wanaweza kurudi madarakani na vigeugeu vyao.PIA KWA HALI YOYOTE ILE CHADEMA KURUDISHA KATA ZOTE NI NGUMU KIDOGO!
 
chama siyo diwani na vipo vyama havina madiwani

chama ambacho hakina sera ya kutaka kushika hatamu.....hakiwezi kuwa na mwelekeo wowote!unafikiri chadema kisingekuwa na wabunge wala madiwani,kingeonekana km chama mbadala!
 
Wewe bila kuangalia ishu ya kupona kwenye uchaguzi mdogo, unaona walichofanya ni sahihi?
Wanapaswa kuhukumiwa kwa walichotenda na si aftermath itakayotokea...Ni bora kuwa na madiwani waaminifu wa ccm kuliko kuwa na vigeugeu wa cdm!
Nimeipenda hiyo kwenye bold.
 
Asikudanganye mtu chama ni wanachama hata wakienda NCCR kama hawana wanachama huko wapiga kura watarudishwa na nani.
 
Chadema Arusha,kipo imara,na kitaendelea kuwa imara tumejidhatiti sana,

Ahsante kiongozi kwa imani na uthabiti wako naamini hawa wasaliti wakiondolewa chama kitakuwa imara zaidi na mshikamano utaongezeka miongoni mwenu. All the best.
 
Watimuliwe hao wanafiki kwani wamekosa nidhamu kwa uongozi wa Chama
 
HTML:

Hizi ni dalii za woga, Wananchi wengi na hasa vijana bado imani yao iko kwa CDM. hata wakiondoka hao sita CDM inabaki kuwa chama imara hapa A town. sana sana Loosers wanabaki kuwa wao kwa sababu walichaguliwa si kutokana na umaarufu wao bali kutokana na umaarufu wa Chama.
 
Sioni sababu yoyote ya kuendelea kubaki na madiwani waasi ndani ya chama.
Hatutaki kusikia busara imeamua kwa sababu busara sii katiba ya chama.
Tanataka tusikie kwa mujibu wa katiba ya chama kifungu NO hiyo hiyo kimemfukuza/bakiza diwani so, so chamani. PERIOD!!

.
 
Sioni sababu ya Kulea uzembe ulio wazi. Dawa ni kuchukua maamuzi magumu tu. Hv 2005 Chadema ilikuwa na Madiwani wangapi Tanzania nzima? Je CDM ilikufa? Haya matatizo ya Madiwani wa Arusha yataleta usaa ndani ya chama. Dawa ni moja tu kwenda baharini na kuchinja then kisu na gloves unatupa huko huko.....Hicho kiburi watakuwa wanapewa na Magamba tu kwa nia ya kwamba wakifukuzwa wahamie huko then wapewe nafasi ile ile. Potelea mbali CDM ondoeni uozo huo. Mi nadhani wanashindwa kuelewa ya kwamba huo muafaka wao umejaa damu. Na kama wanafahamu basi mlungula umepita kwa njaa zao. What I believe CDM Arusha iko Imara sana. Dawa ni kuondoa MAGUGU KWENYE SHAMBA LAKO TU.
 
Hayo ni maoni yako ila jana nilipita mtaa wa philiops bendera za cdm zinapepea kila kona..wana arusha tupo makini sio kama vigeugeu magamba..
 
Mzito kabwela,Uongozi ulijiuzulu,ila bado chama ni imara,na tunaendelea kuwa imara,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…