Elections 2010 CHADEMA na madiwani Arushaa

Elections 2010 CHADEMA na madiwani Arushaa

CDM inabidi watume ujumbe imara kwa mamluki wa leo na siku zijazo. Busara za leo ndizo zinazojenga busara za kesho. Sheria hufuatwa ikivunjwa lazima iwe na adhabu na ili kuelewana ni kutopindisha sheria, huruma za uso zinazaa mauti. Taratibu zote zikifuatwa ikaonekana madiwani kwa makusudi wamekosea na wao wamegoma kukiri kukosa, kujiuzulu mgawo wa madaraka, kutokutii katiba ya chama na maelekezo ya chama. Kuna kila sababu za kuwafukuza kwani hapo hawatumikii chama wala wananchi waliowachagua wenye mapenzi na CDM.
 
Dawa zingine ni chungu ila coz unataka kupona huna budi kunywa, cdm timueni hao madiwani na muwaelimishe wananchi kwanini mumewatimua watawaelewa na kuwapa tena nafasi, lazima muwe tofauti na ccm. Tunataka maamuzi magumu.
 
kama alizomewa bushoke alipomtaja jk kwenye fiesta tutashindwa kurudisha kata sita arusha. vijana sasa ivi wapo, suala ni kuwafukuza tu hawana nidhamu.
 
Better having few serious leaders than having many ''Shibudas''
 
nawaombea hekima viongozi wote watakaofanya maamuzi
 
Hapo mzee umenena, ukipita vijiweni na maeneo mbali mbali ya mji wa Arusha na viunga vyake utagundua hapa umaarufu ni chama zaidi kuliko watu/viongozi kinachotakiwa ni kulinda kura tu uchaguzi wowote utakaofanyika
<br />
<br />
TUPO IMARA KWA ULINZI WA KURA NA WA2 KILA KONA YA KURUDIWA KURA W2 WAKO ON LINE 100%
 
kuna maandamano yamefanyika yasiyo zidi watu 20 kwa wafuasi wa madiwani wanaounga mkono mwafaka...
 
Leo ni kipimo cha umakini wa CDM. Kusimamia principles au masllahi ya chama
 
CHADEMA wakikaza uzi na kufanya maamuzi magumu ya kuwatema hawa madiwani wakorofi watakua sio tu wamesimamia kile wanachohubiri (haki) bali pia watakuwa wamekomesha (au kutuma message) kwa ccm kuwa tabia yao ya 'kuzunguka' watu imepitwa na wakati.

Nasema hivi kwa sababu mazungumzo ya muafaka kati ya Waziri mkuu na mwenyekiti wa CHADEMA yalikuwa bado yanaendelea, sasa ghafla ccm wanaanza mazungumzo mengine pembeni na kuwahadaa madiwani. CHADEMA waonesheni kuwa tabia ya kuzungukana haikubaliki. watimueni hao madiwani liwalo na liwe.
 
Chama makini kina watendaji makini ni hiyo imo ndani ya cdm.hatuna shaka na hilo.
 
Tuache ushabiki chadema kama mmeamua kuikomboa TZ tufanye kweli sio kubembelezana. Tunachotafuta TZ ni utawala wa sheria na kudhamini raia hata kama ni wa daraja la tatu (masikini). Watu hawa wajibiki kwa sababu wanaogopa kufichuana ili kulindana. Sijui hii tabia imetoka wapi na kwa nini hatubadiliki watanzania. Chadema tumieni katiba kumaliza haya matatizo ya Arusha.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Bila shaka wataamua kama anavyohitaji Slaa.
ndugu, una chuki na mzee Slaa?
Umeambiwa kamati kuu wewe unasema Slaa? Au yeye ndio kamati kuu? Control yourself and give something constructive
BTTT,
kuna katiba sheria na taratibu. Ni vema CDM mkafuata hizo na si vinginevyo. Ni legacy nzuri chama kufa kwa kufuata haki na taratibu kuliko kuishi kama genge la wahuni.
Blessing...
HT
 
Chama siyo diwani na vipo vyama havina madiwani

Ni kweli aliyezoea kunyonga kuchinja hawezi......... wapeni japo nafasi ,,,,,,,kwani si kweli kwamba hawakustahili kwa walioyoamua someni kanuni za serikali za mitaa (mamlaka za miji) maadili ya madiwani za mwaka 2000 kuanzia kifungu cha 5 juu ya jukumu la msingi la diwani, na kifungu cha 6, 7 na 8.
 
Slaa ni mjumbe,kama Katibu Mkuu anainfluence ndani ya kamati kuu hivyo sidhani kama nimekosea.Nasema hivyo kwa sababu matamko yake dhidi ya hawa madiwani yalikuwa as if Kamati Kuu ilikuwa imeisha kaa.Hawezi kuprove wrong kama alivyokuwa ametamka awali,hivyo he has got the role to play in the Central Commettee.
 
ndugu, una chuki na mzee Slaa?
Umeambiwa kamati kuu wewe unasema Slaa? Au yeye ndio kamati kuu? Control yourself and give something constructive
BTTT,
kuna katiba sheria na taratibu. Ni vema CDM mkafuata hizo na si vinginevyo. Ni legacy nzuri chama kufa kwa kufuata haki na taratibu kuliko kuishi kama genge la wahuni.
Blessing...
HT
Acha hasira kwani slaa na wewe mpoje? please declare hizo interest sisi tunaona hivyo kwa uhusiano wa matukio na maamuzi mengi ya hovyo yayotolewa kwa mtu kukomaa na mishipa kumtoka kama makamba vile
 
Slaa ni mjumbe,kama Katibu Mkuu anainfluence ndani ya kamati kuu hivyo sidhani kama nimekosea.Nasema hivyo kwa sababu matamko yake dhidi ya hawa madiwani yalikuwa as if Kamati Kuu ilikuwa imeisha kaa.Hawezi kuprove wrong kama alivyokuwa ametamka awali,hivyo he has got the role to play in the Central Commettee.
kwani yeye peke yake ndiye mjumbe wa kamati kuu? Kwa nini sio wengine bali Slaa?
 
Back
Top Bottom