Wakati zikiwa zimebaki siku 20 kabla ya uchaguzi Oct 31, tuna shuhudia vyama vikiendelea na kampeni zao za kusaka ridhaa kwa wananchi kwa amani na utulivu wa kuridhisha kuliko chaguzi nyingi zilizopita
Pia tunashuhudia wananchi wakipata mwamko zaidi wa kushiriki siasa kwa kuhudhuria mikutano ya kampeni kuwasikiliza wagombea wakinadi sera zao
Kikubwa zaidi ni jinsi vyama mbali mbali vinavyotumia mbinu mbali mbali kuwashawishi wananchi majukwaani na nje ya majukwaa na hasa vyama viwili CCM na CHADEMA vinavyoonyesha kuchuana hasa hasa upande wa bara.
Ndani ya majukwaa CCM wamekuwa wakieleza mafanikio yao na mikakati yao mipya kwa ahadi motomoto, wakati CHADEMA wamekuwa wakikosoa mafanikio ya CCM na kunadi mikakati yao mitamu sana masikioni ya siku 100 nk, kimantiki sina matatizo na hilo
Matatizo yangu yanakuja pale CHADEMA wanapokuwa walalamishi kupita kiasi ambapo ni dalili ya kwanza ya kushindwa
Niajabu kuona online polls mbali mbali zipo in favour of CHADEMA lakini wamekuwa kimya na kujisifu ili hali wakijua matokeo hayo hayana credibility yoyote sababu ni asilimia 1.5 ya watz mil40 wenye access ya net ndio wame vote tena hata mara 100 kwa mtu mmoja,
Lakini REDET wametoa matokeo ya kisayansi imekuwa nongwa CHADEMA hawalali wanali matokeo yamechakachuliwa
Mkuu wamajeshi ametoa tamko linalo husu usalama wa nchi kama vyombo vya usalama, wao wanaanza kuhoji na kulalama
Tume ya uchaguzi imetoa idadi ya wapiga kura, kosa lawama tu kwa chadema
Mara usalama wanapanga kuchakachua matokeo,Hata hapa jf ukiwa tofauti na CHADEMA utasikia mara umetumwa nk.yaani lawama kila kukicha. na nikisema niorodheshe lawama za chadema ambazo hazina mantiki nitajaza page 10
Maranyingi namna hii ya lawama ni kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa wao wanaonewa hivyo waonewe huruma na kupewa kura na pia kujiandaa pindi watakaposhindwa wapata sababu ya kusemea
Mimi nadhani fanye tu kampeni zenu watu walisha chuja siku nyingi mchele na pumba, hii kulia lia sana itawafanya mtakaposhindwa uchaguzi mrudi mbweteke kama ilivyokuwa 2005 na kusubiri huruma ya wananchi kuwapa tena kura 2015 badala ya kujenga msingi na mtandao wa chama hadi sehemu walipo wapiga kura wa ukweli yaani vijijini
Kuna kosa moja kubwa sana CHADEMA wanalo lifanya kutokujua nguvu ya CCM ipo wapi?
Kudai tu tume mara masajili, polisi ni vya CCM hivyo tunaonewa haileti mantiki, wananchi wakiwaamini hata mtawala amiliki nini mtashinda tu
Swali mmefanya nini muaminiwe kiasi hicho ikiwa hata ofisi za chama chenu zimewashinda kujenga?
paulss
Pia tunashuhudia wananchi wakipata mwamko zaidi wa kushiriki siasa kwa kuhudhuria mikutano ya kampeni kuwasikiliza wagombea wakinadi sera zao
Kikubwa zaidi ni jinsi vyama mbali mbali vinavyotumia mbinu mbali mbali kuwashawishi wananchi majukwaani na nje ya majukwaa na hasa vyama viwili CCM na CHADEMA vinavyoonyesha kuchuana hasa hasa upande wa bara.
Ndani ya majukwaa CCM wamekuwa wakieleza mafanikio yao na mikakati yao mipya kwa ahadi motomoto, wakati CHADEMA wamekuwa wakikosoa mafanikio ya CCM na kunadi mikakati yao mitamu sana masikioni ya siku 100 nk, kimantiki sina matatizo na hilo
Matatizo yangu yanakuja pale CHADEMA wanapokuwa walalamishi kupita kiasi ambapo ni dalili ya kwanza ya kushindwa
Niajabu kuona online polls mbali mbali zipo in favour of CHADEMA lakini wamekuwa kimya na kujisifu ili hali wakijua matokeo hayo hayana credibility yoyote sababu ni asilimia 1.5 ya watz mil40 wenye access ya net ndio wame vote tena hata mara 100 kwa mtu mmoja,
Lakini REDET wametoa matokeo ya kisayansi imekuwa nongwa CHADEMA hawalali wanali matokeo yamechakachuliwa
Mkuu wamajeshi ametoa tamko linalo husu usalama wa nchi kama vyombo vya usalama, wao wanaanza kuhoji na kulalama
Tume ya uchaguzi imetoa idadi ya wapiga kura, kosa lawama tu kwa chadema
Mara usalama wanapanga kuchakachua matokeo,Hata hapa jf ukiwa tofauti na CHADEMA utasikia mara umetumwa nk.yaani lawama kila kukicha. na nikisema niorodheshe lawama za chadema ambazo hazina mantiki nitajaza page 10
Maranyingi namna hii ya lawama ni kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa wao wanaonewa hivyo waonewe huruma na kupewa kura na pia kujiandaa pindi watakaposhindwa wapata sababu ya kusemea
Mimi nadhani fanye tu kampeni zenu watu walisha chuja siku nyingi mchele na pumba, hii kulia lia sana itawafanya mtakaposhindwa uchaguzi mrudi mbweteke kama ilivyokuwa 2005 na kusubiri huruma ya wananchi kuwapa tena kura 2015 badala ya kujenga msingi na mtandao wa chama hadi sehemu walipo wapiga kura wa ukweli yaani vijijini
Kuna kosa moja kubwa sana CHADEMA wanalo lifanya kutokujua nguvu ya CCM ipo wapi?
Kudai tu tume mara masajili, polisi ni vya CCM hivyo tunaonewa haileti mantiki, wananchi wakiwaamini hata mtawala amiliki nini mtashinda tu
Swali mmefanya nini muaminiwe kiasi hicho ikiwa hata ofisi za chama chenu zimewashinda kujenga?
paulss