Elections 2010 Chadema na mbinu ya lawama kupata huruma

Elections 2010 Chadema na mbinu ya lawama kupata huruma

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,407
Reaction score
3,260
Wakati zikiwa zimebaki siku 20 kabla ya uchaguzi Oct 31, tuna shuhudia vyama vikiendelea na kampeni zao za kusaka ridhaa kwa wananchi kwa amani na utulivu wa kuridhisha kuliko chaguzi nyingi zilizopita

Pia tunashuhudia wananchi wakipata mwamko zaidi wa kushiriki siasa kwa kuhudhuria mikutano ya kampeni kuwasikiliza wagombea wakinadi sera zao
Kikubwa zaidi ni jinsi vyama mbali mbali vinavyotumia mbinu mbali mbali kuwashawishi wananchi majukwaani na nje ya majukwaa na hasa vyama viwili CCM na CHADEMA vinavyoonyesha kuchuana hasa hasa upande wa bara.

Ndani ya majukwaa CCM wamekuwa wakieleza mafanikio yao na mikakati yao mipya kwa ahadi motomoto, wakati CHADEMA wamekuwa wakikosoa mafanikio ya CCM na kunadi mikakati yao mitamu sana masikioni ya siku 100 nk, kimantiki sina matatizo na hilo
Matatizo yangu yanakuja pale CHADEMA wanapokuwa walalamishi kupita kiasi ambapo ni dalili ya kwanza ya kushindwa

Niajabu kuona online polls mbali mbali zipo in favour of CHADEMA lakini wamekuwa kimya na kujisifu ili hali wakijua matokeo hayo hayana credibility yoyote sababu ni asilimia 1.5 ya watz mil40 wenye access ya net ndio wame vote tena hata mara 100 kwa mtu mmoja,
Lakini REDET wametoa matokeo ya kisayansi imekuwa nongwa CHADEMA hawalali wanali matokeo yamechakachuliwa
Mkuu wamajeshi ametoa tamko linalo husu usalama wa nchi kama vyombo vya usalama, wao wanaanza kuhoji na kulalama
Tume ya uchaguzi imetoa idadi ya wapiga kura, kosa lawama tu kwa chadema
Mara usalama wanapanga kuchakachua matokeo,Hata hapa jf ukiwa tofauti na CHADEMA utasikia mara umetumwa nk.yaani lawama kila kukicha. na nikisema niorodheshe lawama za chadema ambazo hazina mantiki nitajaza page 10

Maranyingi namna hii ya lawama ni kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa wao wanaonewa hivyo waonewe huruma na kupewa kura na pia kujiandaa pindi watakaposhindwa wapata sababu ya kusemea

Mimi nadhani fanye tu kampeni zenu watu walisha chuja siku nyingi mchele na pumba, hii kulia lia sana itawafanya mtakaposhindwa uchaguzi mrudi mbweteke kama ilivyokuwa 2005 na kusubiri huruma ya wananchi kuwapa tena kura 2015 badala ya kujenga msingi na mtandao wa chama hadi sehemu walipo wapiga kura wa ukweli yaani vijijini

Kuna kosa moja kubwa sana CHADEMA wanalo lifanya kutokujua nguvu ya CCM ipo wapi?
Kudai tu tume mara masajili, polisi ni vya CCM hivyo tunaonewa haileti mantiki, wananchi wakiwaamini hata mtawala amiliki nini mtashinda tu
Swali mmefanya nini muaminiwe kiasi hicho ikiwa hata ofisi za chama chenu zimewashinda kujenga?

paulss
 
Tatizo hamtaki kukubali ukweli, wala hamtaki kujibu hoja za Chadema. Pale mnapotakiwa kujibu mnapindisha ukweli, sasa kwa nini tusilalamike? Kuna vitu vingine viko wazi na ukitaka kudanganya watu wanaelewa lazima wakucheke. Kingine ccm bado hamjakubali kuwa watz wa leo wamepuvuka kifikra zaidi ya wale mliokuwa mnawadanganya miaka mitano iliyopita. Tunahitaji sera na majibu ya shutuma mnazopewa siyo huu upupu wa taka taka.
Mkuu inavyoonekana bado uko enzi za mwalimu, yaani ofisi nazo unataka ziwe kama za ccm kila sehemu? Duh kweli mkuu bado, ukubwa wa pua si wingi wa kamasi mzee. Angalia mfano hai bungeni wabunge wa ccm kibao lakini wanaishia kulala na kutoa majungu, lakini wapinzani wako busy kujenga hoja kwa ajili ya hili taifa masikini. Tunahitaji vision siyo ofisi za chama.

Mwisho wangu, kama hupigi kampeni, na huna maslahi kutoka upande wowote kama mimi, basi nauhakika utapenda mabadiliko makubwa katika nchi yetu ili hatimaye tujivunie nchi yetu sote kuwa tumeijenga kwa ajili ya vizazi vijavyo.Lakini kama unaishi kiujanja kwa kupindisha ukweli basi utakuwa mmoja wa watu watakaojilaumu hapo baadae kwa kitendo unachofanya bila kuona mbali.
 
ujanja ujanja tu. Hata vibaka waniga wafanyayo viongozi wa ccm
 
Tatizo hamtaki kukubali ukweli, wala hamtaki kujibu hoja za Chadema. Pale mnapotakiwa kujibu mnapindisha ukweli, sasa kwa nini tusilalamike? Kuna vitu vingine viko wazi na ukitaka kudanganya watu wanaelewa lazima wakucheke. Kingine ccm bado hamjakubali kuwa watz wa leo wamepuvuka kifikra zaidi ya wale mliokuwa mnawadanganya miaka mitano iliyopita. Tunahitaji sera na majibu ya shutuma mnazopewa siyo huu upupu wa taka taka.
Mkuu inavyoonekana bado uko enzi za mwalimu, yaani ofisi nazo unataka ziwe kama za ccm kila sehemu? Duh kweli mkuu bado, ukubwa wa pua si wingi wa kamasi mzee. Angalia mfano hai bungeni wabunge wa ccm kibao lakini wanaishia kulala na kutoa majungu, lakini wapinzani wako busy kujenga hoja kwa ajili ya hili taifa masikini. Tunahitaji vision siyo ofisi za chama.

Mwisho wangu, kama hupigi kampeni, na huna maslahi kutoka upande wowote kama mimi, basi nauhakika utapenda mabadiliko makubwa katika nchi yetu ili hatimaye tujivunie nchi yetu sote kuwa tumeijenga kwa ajili ya vizazi vijavyo.Lakini kama unaishi kiujanja kwa kupindisha ukweli basi utakuwa mmoja wa watu watakaojilaumu hapo baadae kwa kitendo unachofanya bila kuona mbali.
DICTATOR hii yote ni inferiority complex kwa chadema
na kwanini hamjiamini hasa, yaani tayari mmeishashindwa kisaikolojia kilichobaki ni kama mnatafuta sababu, mkuu lawama za kijinga ambazo hazijengi zimezidi
Hivi hizi habari za kuchakachua matokeo mmetoa wapi, kuna matatizo gani mkuu wa majeshi kutoa tamko, kuna tatizo gani kwa RIDET kutoa walichopata ktk tafiti zao, mkuu siasa sio kuoneana huruma mkuu kwa kuwajaza watu ujinga waamin chadema inatengenezewa mazingira ya kupokwa ushindi wao
Nakubaliana na wewe wabunge wa chadema walifanya kazi nzuri bungeni kwa maana ya rahisi kujua yai bovu lakini si rahisi kulitaga yai zima
Mkuu hatuangalii sera pekeyake kwani kuna chama chenye sera mbaya, nahakika hakuna isipokuwa kama unashindwa kujenga chama chako mwenyewe kwa kujenga walau ofisi zenu tu wakati mwingine inatia shaka, anyway tuachane na ofisi
Mkuu napenda sana mabadiliko lakini kwa upande wa ubunge, upande wa urais bado mnahitaji kazi ya ziada kutushawishwi tuwaamini
 
Wakati zikiwa zimebaki siku 20 kabla ya uchaguzi Oct 31, tuna shuhudia vyama vikiendelea na kampeni zao za kusaka ridhaa kwa wananchi kwa amani na utulivu wa kuridhisha kuliko chaguzi nyingi zilizopita

Pia tunashuhudia wananchi wakipata mwamko zaidi wa kushiriki siasa kwa kuhudhuria mikutano ya kampeni kuwasikiliza wagombea wakinadi sera zao
Kikubwa zaidi ni jinsi vyama mbali mbali vinavyotumia mbinu mbali mbali kuwashawishi wananchi majukwaani na nje ya majukwaa na hasa vyama viwili CCM na CHADEMA vinavyoonyesha kuchuana hasa hasa upande wa bara.

Ndani ya majukwaa CCM wamekuwa wakieleza mafanikio yao na mikakati yao mipya kwa ahadi motomoto, wakati CHADEMA wamekuwa wakikosoa mafanikio ya CCM na kunadi mikakati yao mitamu sana masikioni ya siku 100 nk, kimantiki sina matatizo na hilo
Matatizo yangu yanakuja pale CHADEMA wanapokuwa walalamishi kupita kiasi ambapo ni dalili ya kwanza ya kushindwa

Niajabu kuona online polls mbali mbali zipo in favour of CHADEMA lakini wamekuwa kimya na kujisifu ili hali wakijua matokeo hayo hayana credibility yoyote sababu ni asilimia 1.5 ya watz mil40 wenye access ya net ndio wame vote tena hata mara 100 kwa mtu mmoja,
Lakini REDET wametoa matokeo ya kisayansi imekuwa nongwa CHADEMA hawalali wanali matokeo yamechakachuliwa
Mkuu wamajeshi ametoa tamko linalo husu usalama wa nchi kama vyombo vya usalama, wao wanaanza kuhoji na kulalama
Tume ya uchaguzi imetoa idadi ya wapiga kura, kosa lawama tu kwa chadema
Mara usalama wanapanga kuchakachua matokeo,Hata hapa jf ukiwa tofauti na CHADEMA utasikia mara umetumwa nk.yaani lawama kila kukicha. na nikisema niorodheshe lawama za chadema ambazo hazina mantiki nitajaza page 10

Maranyingi namna hii ya lawama ni kutaka kuwaaminisha wananchi kuwa wao wanaonewa hivyo waonewe huruma na kupewa kura na pia kujiandaa pindi watakaposhindwa wapata sababu ya kusemea

Mimi nadhani fanye tu kampeni zenu watu walisha chuja siku nyingi mchele na pumba, hii kulia lia sana itawafanya mtakaposhindwa uchaguzi mrudi mbweteke kama ilivyokuwa 2005 na kusubiri huruma ya wananchi kuwapa tena kura 2015 badala ya kujenga msingi na mtandao wa chama hadi sehemu walipo wapiga kura wa ukweli yaani vijijini

Kuna kosa moja kubwa sana CHADEMA wanalo lifanya kutokujua nguvu ya CCM ipo wapi?
Kudai tu tume mara masajili, polisi ni vya CCM hivyo tunaonewa haileti mantiki, wananchi wakiwaamini hata mtawala amiliki nini mtashinda tu
Swali mmefanya nini muaminiwe kiasi hicho ikiwa hata ofisi za chama chenu zimewashinda kujenga?

paulss

paulss, wake up!
 
Wewe 'paulss' lawana za Chabema ni 'natural' sababu misingi ya upinzani Tanzania haikuanza kwenye 'equal footing' kwa wapinzani. Maana yake ni kwamba, CCM tayari walishahodhi nguvu zote pamoja na rasilimali ambazo hapo awali zilikua za serikali. Kwa upande wa rasilimali, kama kuna haki rasilimali zilizoangukia CCM wakati vugu vugu la vyama vingi lilipoanza, zingetakiwa vile vile zigawiwe kwa vyama vya upinzani kwa sababu zilipatikana kwa fedha zetu wakati huo wa chama kimoja - 'anyway' hilo hi somo lingine! Lawama za wapinzani zinatokana na kukosa 'trust' kwani hata vyombo vya serikali ambavyo vingetakiwa kuwa 'neutal' kipindi hiki, tayari vimeshaonesha wazi wazi kupendelea CCM. Mfano mzuri ni vyombo vya habari kama gazeti la 'Daily News' etc. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ni mteuliwa wa Rais. Kama hakutakuwa na mabadiliko ya Katiba yatakayowezesha kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi, Ofisi Huru ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, etc hizo hofu 'suspicion' zitaendelea kuwepo. Kwa maelezo haya utakubaliana nami kwamba ni vigumu Tanzania kwa vyama vya upinzani kujenga hiyo Misingi imara na mitandao unaosema kwa 'simple reason' kwamba mazingira hayaruhusu. Yanayotokea sasa Tanzania yameshatokea nchi nyingine ambapo baada ya watu kuona hakuna misingi ya kuendesha upinzani, waliamua kutumia nguvu na kuingia mitaani kudai haki zao. Mabadiliko ya katiba yaliyofanyika Kenya ni matokeo ya jitihada za namna hiyo....
 
Madhara ya kupungukiwa uzalendo na nchi yako ndo ayoooooooooooooo
Lazima uwatete CCM kama wanakunufaisha thats common sense
 
Ufisadi uliokithiri ndiyo huwafanya CCM wasione zaidi ya urefu wa pua zao. Lakini watu kama akina paulss na wengine hutupiwa makombo tu (if at all) na kulazimishwa kulamba m***** ya hao wenye kuipeleka nchi hii pabaya! Wake up paulss. Komboa nchi yako!!
 
paulss, wake up!
Mkuu nipo macho sana
Wewe 'paulss' lawana za Chabema ni 'natural' sababu misingi ya upinzani Tanzania haikuanza kwenye 'equal footing' kwa wapinzani. Maana yake ni kwamba, CCM tayari walishahodhi nguvu zote pamoja na rasilimali ambazo hapo awali zilikua za serikali. Kwa upande wa rasilimali, kama kuna haki rasilimali zilizoangukia CCM wakati vugu vugu la vyama vingi lilipoanza, zingetakiwa vile vile zigawiwe kwa vyama vya upinzani kwa sababu zilipatikana kwa fedha zetu wakati huo wa chama kimoja - 'anyway' hilo hi somo lingine! Lawama za wapinzani zinatokana na kukosa 'trust' kwani hata vyombo vya serikali ambavyo vingetakiwa kuwa 'neutal' kipindi hiki, tayari vimeshaonesha wazi wazi kupendelea CCM. Mfano mzuri ni vyombo vya habari kama gazeti la 'Daily News' etc. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ni mteuliwa wa Rais. Kama hakutakuwa na mabadiliko ya Katiba yatakayowezesha kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi, Ofisi Huru ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, etc hizo hofu 'suspicion' zitaendelea kuwepo. Kwa maelezo haya utakubaliana nami kwamba ni vigumu Tanzania kwa vyama vya upinzani kujenga hiyo Misingi imara na mitandao unaosema kwa 'simple reason' kwamba mazingira hayaruhusu. Yanayotokea sasa Tanzania yameshatokea nchi nyingine ambapo baada ya watu kuona hakuna misingi ya kuendesha upinzani, waliamua kutumia nguvu na kuingia mitaani kudai haki zao. Mabadiliko ya katiba yaliyofanyika Kenya ni matokeo ya jitihada za namna hiyo....
Mkuu nakuhakikishia hizo nguvu za CCM na equal footing haitakuwa na nguvu yoyote kama kweli CHADEMA itafanya ushawishi ambao hautaishia kulaumu tu na kungojea kudra za Mungu, kutumia nguvu nyingi wakati huu wa uchaguzi kwa kuwaambia wananchi mtawala kakosea hichi na hicho haitoshi mkuu,
Huko kenya Kanu ilikuwa kama CCM lakini wapinzani walifanya kitu pamoja na KANU kuhodhi kila kitu, ingawa baadae hao waliokuwa wapinzani wakaja kuwa wabaya zaidi kuliko hata Kanu, na damu ikamwagika, kitu ambacho tunakiogopa hapa kwetu kuwa uongozi si kitu cha majaribio ni lazima wapinzani wajipange vizuri
Ndio maana nasema kwa ubunge sawa lakini urais bado
 
os6gxv.jpg


CHADEMA HAILALAMIKI LALAMIKI KAMA UNAVYOSEMA ILA INATAKA FAIR PLAY WENZIO HAPO JUU WAMEAANZA KUELEWA SOMO
 
paulss

Kama unaweza kuyaita maswali haya ni ya kupuuzi basi hujui siasa ni ushabiki umeweka mbele

1. Kuhoji idadi ya wapiga kura kwenye daftari la kudumu
2. Jeshi kuingilia siasa

Achana na mambo ya tafiti na polls ambazo mtu yeyote anaweza kuzitengeneza na kuziita ni za kisayansi, hayo mawili ni muhimu kuyajua kama wewe na mwanasiasa makini.
 
Madhara ya kupungukiwa uzalendo na nchi yako ndo ayoooooooooooooo
Lazima uwatete CCM kama wanakunufaisha thats common sense
Mkuu ninauzalendo sana nchi yangu na nafaidika na CCM au naumia kama wewe na yule
Ufisadi uliokithiri ndiyo huwafanya CCM wasione zaidi ya urefu wa pua zao. Lakini watu kama akina paulss na wengine hutupiwa makombo tu (if at all) na kulazimishwa kulamba m***** ya hao wenye kuipeleka nchi hii pabaya! Wake up paulss. Komboa nchi yako!!
Mkuu mimi si fisadi ndugu yangu ispokuwa nauangalia huo ukombozi kwa njia nyingine tofauti na yako ambayo unadhani ndio sahihi kila mtz kuiamini, ur wrong
 
Mkuu nipo macho sana

Mkuu nakuhakikishia hizo nguvu za CCM na equal footing haitakuwa na nguvu yoyote kama kweli CHADEMA itafanya ushawishi ambao hautaishia kulaumu tu na kungojea kudra za Mungu, kutumia nguvu nyingi wakati huu wa uchaguzi kwa kuwaambia wananchi mtawala kakosea hichi na hicho haitoshi mkuu,
Huko kenya Kanu ilikuwa kama CCM lakini wapinzani walifanya kitu pamoja na KANU kuhodhi kila kitu, ingawa baadae hao waliokuwa wapinzani wakaja kuwa wabaya zaidi kuliko hata Kanu, na damu ikamwagika, kitu ambacho tunakiogopa hapa kwetu kuwa uongozi si kitu cha majaribio ni lazima wapinzani wajipange vizuri
Ndio maana nasema kwa ubunge sawa lakini urais bado

I said, wake up! Naona huelewi kuwa tumechoshwa na ccm especially uongozi wake (Kikwete). ccm wangejirekebisha Chadema leo isingekuwa na mvuto kiasi hicho. For your information, wengi wetu humu tunaopinga ccm tuna kadi za CCM (yangu ni ya tangu 1977) na sio wanachama wa vyama vingine. We want change, whatever it is, tumechoshwa na sera za ccm za kuibia taifa, usultani na kudanganya wananchi kuwa ccm ndio mtetezi kumbe ndiye muuaji wao. Mwingine akija, Chadema, au CUF etc nao wakivurunda tutawapiga boot vile vile, mpaka wote waelewe kuwa wapo kwa ajili ya wananchi na sio vice versa.
 
paulss

Kama unaweza kuyaita maswali haya ni ya kupuuzi basi hujui siasa ni ushabiki umeweka mbele

1. Kuhoji idadi ya wapiga kura kwenye daftari la kudumu
2. Jeshi kuingilia siasa

Achana na mambo ya tafiti na polls ambazo mtu yeyote anaweza kuzitengeneza na kuziita ni za kisayansi, hayo mawili ni muhimu kuyajua kama wewe na mwanasiasa makini.
Luteni with all due respect
Daftari la kudumu la wapiga kura kwani lina matatizo gani mkuu tatizo ni kuwa ninyi mnahisi limechezewa kwa kuleta calculation zenu sijui mmezipata wapi
Mkuu jeshi halijaingilia mambo ya siasa, unajua kufanya mambo kwa mazoea na kugeuza sheria ndio matatizo yake haya, mkuu wa majeshi ametoa tamko kama vyombo vya ulinzi na usalama sasa kuna tatizo gani ? au ulitaka aseme IGP ndio ungeridhika, kweli mazoea mabaya
mkuu tatizo mnaendeshwa na hisia hata pasipo stahiki, ingawa najua mnamadai ya msingi ila si katika hili
 
Mkuu napenda sana mabadiliko lakini kwa upande wa ubunge, upande wa urais bado mnahitaji kazi ya ziada kutushawishwi tuwaamini

Kama unapenda mabadiliko, fuata sera za mabadiliko na viongozi ambao unaona wanaweza kutekeleza sera hizo. Kama unahitaji Rais anayepigia kampeni wabadhilifu, ambaye ameshindwa kuonesha ni vipi tutaondoka kwenye umasikini wakati tuna maziwa makubwa kabisa katika Afrika, bahari, Ardhi nzuri, madini, Mlima Kili pamoja na 'AMANI' basi angalia ni yupi ataleta mabadiliko. Kama umeshajaribu kundi fulani la uongozi na halikutimiza matakwa yako basi jiulize ni wapi wengine wanaweza kutimiza vision yako ya maisha bora. Kama unaona ni sawa ndugu zako wasome shule za kajamba nani wakati watoto wa wenzako wanasoma academy kwa fedha zako, kama unaona sawa wewe na ndugu zako mtibiwe kwenye hospitali zenye harufu wakati wenzako wanatibiwa Afrika Kusini na India kwa fedha zako, kama unaona ni sawa kwenda kwenye kampeni na kuburudishwa na 'fiesta' ya bongo flavor halafu wewe unaenda kwenye dala dala wakati mwenzako anarudi nyumbani na gari yenye AC iliyopatikana kwa fedha ulizoibiwa wewe... basi uamuzi ni wako ndugu yangu...
 
Kwanini wewe unaamini taarifa ya REDET ambayo imwewahoji watu wasiozidi 3000 kati wa nwapiga kura milioni kumi na tisa ambayo ni sawa na 0.016% mbona hiyo hushangai si afadhali ya JF ambayo idadi ya wanaopiga polls ni zaidi ya elfu sita. Tatizo la wakereketwa ni hofu, mabadiliko ni lazima mchachue kura msichakachue!
 
Kama unapenda mabadiliko, fuata sera za mabadiliko na viongozi ambao unaona wanaweza kutekeleza sera hizo. Kama unahitaji Rais anayepigia kampeni wabadhilifu, ambaye ameshindwa kuonesha ni vipi tutaondoka kwenye umasikini wakati tuna maziwa makubwa kabisa katika Afrika, bahari, Ardhi nzuri, madini, Mlima Kili pamoja na 'AMANI' basi angalia ni yupi ataleta mabadiliko. Kama umeshajaribu kundi fulani la uongozi na halikutimiza matakwa yako basi jiulize ni wapi wengine wanaweza kutimiza vision yako ya maisha bora. Kama unaona ni sawa ndugu zako wasome shule za kajamba nani wakati watoto wa wenzako wanasoma academy kwa fedha zako, kama unaona sawa wewe na ndugu zako mtibiwe kwenye hospitali zenye harufu wakati wenzako wanatibiwa Afrika Kusini na India kwa fedha zako, kama unaona ni sawa kwenda kwenye kampeni na kuburudishwa na 'fiesta' ya bongo flavor halafu wewe unaenda kwenye dala dala wakati mwenzako anarudi nyumbani na gari yenye AC iliyopatikana kwa fedha ulizoibiwa wewe... basi uamuzi ni wako ndugu yangu...
Mkuu admissionletter napenda sana mabadiliko ila nayaangalia kwa upande wa pili wa shilingi tofauti na wewe, naamini zaidi kuingiza wabunge wengi waupinzani bungeni ili Vyama vijijenge zaidi Siamini hata kidogo ktkt kumpa Slaa urais kwa sasa, hana timu ya kuongoza taifa hili kwa ahadi anazo zitoa
Sababu siamini kabisa katika sera za kila mtu kumiliki gari lenye kiyoyozi
cha muhimu nikuingiza wabunge zaidi ili wapate uzoefu zaidi na kujenga vyama kisha uraisi utakuja
 
Mkuu nipo macho sana

Mkuu nakuhakikishia hizo nguvu za CCM na equal footing haitakuwa na nguvu yoyote kama kweli CHADEMA itafanya ushawishi ambao hautaishia kulaumu tu na kungojea kudra za Mungu, kutumia nguvu nyingi wakati huu wa uchaguzi kwa kuwaambia wananchi mtawala kakosea hichi na hicho haitoshi mkuu,
Huko kenya Kanu ilikuwa kama CCM lakini wapinzani walifanya kitu pamoja na KANU kuhodhi kila kitu, ingawa baadae hao waliokuwa wapinzani wakaja kuwa wabaya zaidi kuliko hata Kanu, na damu ikamwagika, kitu ambacho tunakiogopa hapa kwetu kuwa uongozi si kitu cha majaribio ni lazima wapinzani wajipange vizuri
Ndio maana nasema kwa ubunge sawa lakini urais bado

Mjomba naona hujanisoma vizuri labda nirudie hoja yangu. Ni kwamba huko 'kujipanga' kwa upinzani unakozungumzia hakuwezekani Tanzania bila mabadiliko ya katiba ili kuwe na 'fair play' kwenye siasa kama nilivyoeleza hapo juu. Si kwamba CCM wana akili sana kuwa na mtandao mkubwa walio nao sasa, ni kwamba walitumia rasilimali za serikali kwa hiyo ili vyama vya upinzani navyo vifanikwie vinahitaji rasilimali pamoja na 'elements' nyingine za 'fair play' kwenye ofisi ya msajili, tume ya uchaguzi, nk. Kama unasubiri vyama vya upinzani 'viimarike' namna unavyotaka hiyo haitatokea Tanzania sababu CCM hawatakubali. Lazima watavididimiza. Hakuna nchi ambayo imeingia kwenye upinzani kama sisi ambapo serikali tawala imesaidia kuimarisha vyama vya upinzani. Kwa taarifa yako, taka usitake, mabadiliko yanahitaji mapambano, lakini si lazima kumwaga damu. Mfano ni hiyo Kenya na Zanzibar (ingawa wao bahati mbaya walimwaga damu). La sivyo watawala hawatakubali kuwa 'seriously challenged' na kubadilika hivi hivi. Mifano ya demokrasia zilizoendelea za magharibi ambapo ushindani wao ni wa kistaarabu haifai kwetu kwa sababu ushindani wao kivyama ni 'fair'...
 
Mkuu admissionletter napenda sana mabadiliko ila nayaangalia kwa upande wa pili wa shilingi tofauti na wewe, naamini zaidi kuingiza wabunge wengi waupinzani bungeni ili Vyama vijijenge zaidi Siamini hata kidogo ktkt kumpa Slaa urais kwa sasa, hana timu ya kuongoza taifa hili kwa ahadi anazo zitoa
Sababu siamini kabisa katika sera za kila mtu kumiliki gari lenye kiyoyozi
cha muhimu nikuingiza wabunge zaidi ili wapate uzoefu zaidi na kujenga vyama kisha uraisi utakuja

Ndugu yangu sijui niseme vipi unielewe. NAZUNGUMZIA UMUHIMU WA WEWE KUSIMAMA KWENYE UKWELI si suala la nani ana UZOEFU, nk. NI KWAMBA HATUNA 'BEST SOLUTION' TUNATAFUTA 'BEST ALTERNATIVE.' KAMA WEWE UNAONA WAZOEFU WANAOTUKWAMISHA NA KUTUAHIDI MABADILIKO AMBAYO NI HEWA WAENDELEE KUONGOZA NI SASA. KUMBUKA HAO WAZOEFU WAMESHAANZA KUWAPA UZOEFU WATOTO WAO ILI NAO WAPATE UZOEFU WA KUNGOZA WATOTO WAKO WEWE. Ni juu yako wewe kuangalia 'best alternative'
 
Back
Top Bottom