kipanga_kipanga
Member
- Aug 30, 2013
- 5
- 0
naomba asee chadema muisimamie hii kitu isiegemee upande mmoja maana mim nimeshaona hata maoni ya watu walioyatoa hayaonekani kwenye hii rasimu ndo maana mzee mmoja aliulizwa kuhsu rasimu hii akasema hata muweke serikali nane mim ninataka maendeleo kwenye jamii tu.